GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Naona Mkewe unetetea tu Ndoa yako.Umewekewa kipande Cha ukuta wa bar kinyerezi tayari umeamini,uwe unafikiri,acha kuwa komamanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona Mkewe unetetea tu Ndoa yako.Umewekewa kipande Cha ukuta wa bar kinyerezi tayari umeamini,uwe unafikiri,acha kuwa komamanga
Hata kama itakuwa nimpango ovu kuuwa legacy ya Magufuli. Mungu atashuka nakuzishika hizo nyufa kwa miaka 200 pasipo kupasuka ili Dunia na wenye kufikiri mabaya wajuwe yupo Mungu. Mwalim Nyerere Dam itadumu na kudumu hata miaka 1000Tanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi.
Hii picha inajielezea.
View attachment 2743927
Kuna ufa wing ya kulia ya Bwawa. Ufa umetokea kwenye construction joint kati ya blocks na zege. Sababu ni shrinkage
Watasema ni expansion jointsTanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi.
Hii picha inajielezea.
View attachment 2743927
Kuna ufa wing ya kulia ya Bwawa. Ufa umetokea kwenye construction joint kati ya blocks na zege. Sababu ni shrinkage
NdioSamia ndio kajenga ilo bwawa?;
Kuna member hapa anaitwa @poisonous ...alisema hii hujuma itatokea....
Ingekuwa chinai, baada ya taarifa hii, wahusika wangekimbia wenyewe kujimaliza kabla hawawekwa kati.Hata kama itakuwa nimpango ovu kuuwa legacy ya Magufuli. Mungu atashuka nakuzishika hizo nyufa kwa miaka 200 pasipo kupasuka ili Dunia na wenye kufikiri mabaya wajuwe yupo Mungu. Mwalim Nyerere Dam itadumu na kudumu hata miaka 1000
Serikali imesha set mtego kuna watu mtawasikia muda sio mrefu , hamtaamini masikio na macho yenu .Infact serikai imeamkaWhy Dola inawaachia hawa watu?
Mmmbwa nyie🐕,yule dikteta ndo wakulaumiwaNdio
Are u trying to discredit me?
Au tukawahamishe wamasai kule, unaonajeMmmbwa nyie🐕,yule dikteta ndo wakulaumiwa
In fact china wanapatia sana. Kuna jambo ukithibitisha mtu kalifanya, apigwe risasi hadharani mchana kweupe mbele ya kadamnasi. Inauzi sanaIngekuwa chinai, baada ya taarifa hii, wahusika wangekimbia wenyewe kujimaliza kabla hawawekwa kati.
Yaani hata nusu ya robo ya mkopo hatujafikia yanatokea haya?
Pan African shit inazidi value and quality, cha ajabu huyo mwarabu will never Africans kwenye project kubwa kama hii, ujinga ni mzigoYes, kutoka Misri, nimekumbuka. Of all expertise around the world mkamuona mwarabu.... kweli mwarabu?
Mawazo mfu kabisa hayo....Hata kama itakuwa nimpango ovu kuuwa legacy ya Magufuli. Mungu atashuka nakuzishika hizo nyufa kwa miaka 200 pasipo kupasuka ili Dunia na wenye kufikiri mabaya wajuwe yupo Mungu. Mwalim Nyerere Dam itadumu na kudumu hata miaka 1000