Naughty by nature
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 2,123
- 2,359
Chizi ww upelekwe milembeWatu ukiwaambia wanadhani utani, na hapo bado , hilo bwawa wanapanga kulilipua kwa mabaruti kwenye kingo zake ,waseme limezidiwa , huu ni mwanzo wa usaliti mkubwa unaoendelea serikalini