Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Mbona kama wanijua😥😥😥?Haya tuliza komwe mama...😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kama wanijua😥😥😥?Haya tuliza komwe mama...😅
Tuthibitishie kuwa huo ni ukuta wa bwawa la mwalimu nyerereMaswali ya kitoto
Freemason in the building...Mbona kama wanijua😥😥😥?
Something Contractors.Mkandarasi ni nni?
Ni expansion jointsTanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi.
Hii picha inajielezea.
View attachment 2743927
Kuna ufa wing ya kulia ya Bwawa. Ufa umetokea kwenye construction joint kati ya blocks na zege. Sababu ni shrinkage
🤣🤣🤣🤣🤣Freemason in the building...
Tanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi.
Hii picha inajielezea.
View attachment 2743927
Kuna ufa wing ya kulia ya Bwawa. Ufa umetokea kwenye construction joint kati ya blocks na zege. Sababu ni shrinkage
Hawana huruma na deni tuliloingia hapo?Watu ukiwaambia wanadhani utani, na hapo bado , hilo bwawa wanapanga kulilipua kwa mabaruti kwenye kingo zake ,waseme limezidiwa , huu ni mwanzo wa usaliti mkubwa unaoendelea serikalini
Wanamtumikia nani hawa jamaa?Watu ukiwaambia wanadhani utani, na hapo bado , hilo bwawa wanapanga kulilipua kwa mabaruti kwenye kingo zake ,waseme limezidiwa , huu ni mwanzo wa usaliti mkubwa unaoendelea serikalini
Tangu hawajaweka maji nilisha tahadharisha Juu ya kuvunjika kwa kuta za bwawa hilo. Nadhani tujiandae kisaikolojia by November 2023!Tanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi.
Hii picha inajielezea.
View attachment 2743927
Kuna ufa wing ya kulia ya Bwawa. Ufa umetokea kwenye construction joint kati ya blocks na zege. Sababu ni shrinkage
Kwanini mkuuAcheni uchochozi
Tuthibitishie kwamba huo sio ukubwa wa bwawa la mwalimu nyerere.Tuthibitishie kuwa huo ni ukuta wa bwawa la mwalimu nyerere
Ndio kuliwa tena
Mkuu unaogopa kuliwa..?Wewe mweka mada uwe na adabu swala la kuliwa umeliwa wewe! Komamanga mkubwa wee!.
Halijajazwa vipi bwawa wakati lina maji sasa hivi?Tanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi.
Hii picha inajielezea.
View attachment 2743927
Kuna ufa wing ya kulia ya Bwawa. Ufa umetokea kwenye construction joint kati ya blocks na zege. Sababu ni shrinkage