Bwala la kufua umeme la Mwl. Nyerere, limeanza kutoa nyufa
Tanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi. Hii picha inajielezea.
Nyufa kwenye Maji? Watajua hawajui😆😆😆
 
Tanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi. Hii picha inajielezea.
Kwa hiyo hii nyufa unafikiri unashida gani?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi. Hii picha inajielezea.
Expansion joint
 
Tanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi. Hii picha inajielezea.
Bora tuanze fuata falsafa za china na muasisi wake MAO ZE DONG

AUWAWE MMOJA ILI KUTISHA WATU 1000

ZIDUMU FIKRA ZA MAO ZE DONG
 
Tanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi.

Hii picha inajielezea.

View attachment 2743927

Tuhakikishie kuwa huu ni ukuta wa bwawa, isijekuwa ni nyumba ya mtu kule kwa Mtogole!
 
Sina uhakika kama hiyo structure kwenye picha ni huo ukuta wa Bwawa ama sio.

Ila hiyo ni nyufa, sio expansion joint kama wengi wanavyodhani humu.

Ukitaka kuamini hilo angalia namna wanavyohangaika kuziba hizo nyufa kwa hizo materials.
 
Back
Top Bottom