Bwana Tundu Lissu, Hoja ya Chato na Maendeleo ya sasa inajibika Kimantiki

Ulio karibu kwa umbali wa Mwanza na Chato kwa kiwango cha huo wa Chato?
Unahangaika bure kamanda mkuu. Kwa usalama hata kama ndege kubwa imeshindwa kutua Mwanza, basi chato ni karibu.

Pia kama ilani ya Ccm ilitamka kuwa kila mkoa uwe na uwanja wa ndege sioni kama ni tatizo.
 
Uwanja wa ndege aliojenga Mobutu kijijini kwake
 
Hatakama unajipendekeza kwa watawala ndio unaujidhalilishe kwa kiwango hiki?

Why Chato
Kwanini isiwe Sumbawanga au Tunduru?

Nimeishi sana Chato, sioni sababu ya kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa hapo
Sioni sababu ya kujenga majengo makubwa ya TRA chato
Najiuliza mahakama ya Chato inafanana na mahakama nyingine za wilaya?

Kwanini Chato na sio Geita?
 
Arusha na Moshi kuna viwanja vya ndege ambavyo ni vidogo, viwanja hivi vilijengwa kwenye kila mji wakati wa ukoloni na KIA ukajengwa kushika nafasi ya hivyo viwili, usipotoshe.

Kwahiyo huo wa Geita umejengwa ili kushika nafasi ya huo wa Mwanza kwakuwa ni mdogo?
 
Wewe ni mwelewa sana.Nimekutunuku u doctor.
 
Mpaka wewe umecomment!
Basi hili jambo ni zito na limegusa wengi
 
Unahangaika bure kamanda mkuu. Kwa usalama hata kama ndege kubwa imeshindwa kutua Mwanza, basi chato ni karibu.

Pia kama ilani ya Ccm ilitamka kuwa kila mkoa uwe na uwanja wa ndege sioni kama ni tatizo.

Mbona sikuelewi, huo uwanja wa Chato ni backup ya uwanja wa ndege wa Mwanza, au ni kwakuwa ilani ya ccm inataka kila mkoa uwe na uwanja mkubwa wa ndege? Maana Utetezi wako wa mwanzo naona kama unauacha.
 
Umaskini ndio unawasumbua watu mpaka wanashindwa kufikiri vizuri. Hii nchi niliyopo ina viwanja vya ndege kila mji kama sio kila kijiji, yaani unaweza ukawa na kandege kako unatoka zako Mbagala unatua Ubungo kula bata ukimaliza unaruka unatua Kibaha kumsalimia pisikali halafu unarudi kulala Kndoni
 
Mbona sikuelewi, huo uwanja wa Chato ni backup ya uwanja wa ndege wa Mwanza, au ni kwakuwa ilani ya ccm inataka kila mkoa uwe na uwanja mkubwa wa ndege? Maana Utetezi wako wa mwanzo naona kama unauacha.
Huwezi kuelewa maana unajibu mada kwa chuki.

Lakini ukweli ni kuwa ili kuwa na usalama wa urukaji ndege,kiwanja cha Mwanza lazima kiwe na kiwanja kama cha Chato,kama kuna dharula.

Mbali ya hayo,hakuna tatizo mkoa wa Geita kujengewa uwanja maana ilani ya Ccm imetanabaisha kila mkoa kuwa na uwanja wa ndege.
 

Na backup ya huo uwanja wa ndege ikaonekana Chato ndio sehemu sahihi na sio Geita mjini? Na unataka niamini kuwa Magufuli asingejuwa rais, huo uwanja ungejengwa Chato na sio Geita mjini?
 
Na backup ya huo uwanja wa ndege ikaonekana Chato ndio sehemu sahihi na sio Geita mjini? Na unataka niamini kuwa Magufuli asingejuwa rais, huo uwanja ungejengwa Chato na sio Geita mjini?
Maswali ya kichawi siwezi kujibu.
 
Unapaswa kudharauliwa na kupuuzwa maana unajipitisha mdomo juujuu kama changuflani
 

Kama unataka kujua tabia ya Dikteta Magufuli ni sawa na ya dikteta mwenzake Mobutu Seseseko wa Zaire........Jiulize ILE FEDHA YA KUJENGA:
1. UWANJA wa ndege.
2. MBUGA YA WANYAMA BURIGI.
3. CHATO REFFERAL HOSPITAL.
4. CHUO CHA VETA CHATO.
5. STREET LIGHTS MJINI CHATO.
6. n.k.
Ni Bunge gani lilipitisha Bajeti ya miradi mikubwa kama hii kama siyo Magufuli na mtoto wa dadake Dotto James.?...?
 
Nimecheka kwa nguvu mpaka mtoto wangu mdogo ameamka usingizini. Hii aibu haijibiki boss.
We unaweza kujua kama JPM asingekuwa rais huu uwanja usingejengwa? Mbona Chafo ina barabara ya lami kwenda Bk ambayo inathamani kubwa kuliko huu uwanja? Chochote kinaweza kutokea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…