Bwana Tundu Lissu, Hoja ya Chato na Maendeleo ya sasa inajibika Kimantiki

Jaduong, maswali gani ya kitoto? Ahaaaa
Kuna mambo ya kimkakati yalitakiwa kufanyika makao makuu ya mkoa , na yasingeleta manung'uniko. Lakini haya ya kuyakimbiza kijijini kwetu chato lazima pafananishwe na Gbadolite . Kwani unadhani Mobutu kuyapeleka maendeleo Gbadolite alikuwa na nia mbaya ?!.

Natamani na rorya wangetujali namna hiyo. Ukizingatia kila uchaguzi tunawapa wabunge.

Odhis *
 
We unaweza kujua kama JPM asingekuwa rais huu uwanja usingejengwa? Mbona Chafo ina barabara ya lami kwenda Bk ambayo inathamani kubwa kuliko huu uwanja? Chochote kinaweza kutokea.

Barabara thamani yake inapimwa kwa urefu wake, unaweza kufananisha na uwanja wa ndege? Hii inaonyesha umekosa la kutetea hayo matumizi mabaya ya madaraka, ndio maana unatoa mifano isiyobeba utetezi wako.
 
We unaweza kujua kama JPM asingekuwa rais huu uwanja usingejengwa? Mbona Chafo ina barabara ya lami kwenda Bk ambayo inathamani kubwa kuliko huu uwanja? Chochote kinaweza kutokea.
Barabara thamani yake inapimwa kwa urefu wake, unaweza kufananisha na uwanja wa ndege? Hii inaonyesha umekosa la kutetea hayo matumizi mabaya ya madaraka, ndio maana unatoa mifano isiyobeba utetezi wako.
Na hata hiyo barabara, nayo ilileta manunguniko kwa nini ilichepushwa bila kupita makao makuu ya wilaya wakati huo (biharamulo).

Kumbuka ni nani alihusika na mabarabara wakati huo.

Odhis *
 
Barabara thamani yake inapimwa kwa urefu wake, unaweza kufananisha na uwanja wa ndege? Hii inaonyesha umekosa la kutetea hayo matumizi mabaya ya madaraka, ndio maana unatoa mifano isiyobeba utetezi wako.
Uwanja wa ndege Chato ni runway ambayo inaweza kubeba ndege kubwa. Na hapo ndio mnachanganya mambo mpaka mnajidharirisha. Tofauti ya runway ya ndege na barabara ni kidogo sana.
 
Na hata hiyo barabara, nayo ilileta manunguniko kwa nini ilichepushwa bila kupita makao makuu ya wilaya wakati huo (biharamulo).

Kumbuka ni nani alihusika na mabarabara wakati huo.

Odhis *
Jaduong nacheka tu, hivi milima ya Geita mjini ilivyo wapi tungeweka kiwanja cha ndege? Barabara kupita Chato ili kupunguza umbali wa kuzungukia Biharamulo ni kosa?
 
Jaduong nacheka tu, hivi milima ya Geita mjini ilivyo wapi tungeweka kiwanja cha ndege? Barabara kupita Chato ili kupunguza umbali wa kuzungukia Biharamulo ni kosa?
Haikuleta maneno maneno ?

Nilishakujibu swali uwanja wa ndege ulitakiwa kuwa wapi. Miezi kama mitano nyuma, sijui ilikuwa uzi wa nani !!. Nyuma ya milima hiyo ya Geita eneo ni kubwa na ya kumwaga .

Odhis *
 
Haikuleta maneno maneno ?

Nilishakujibu swali uwanja wa ndege ulitakiwa kuwa wapi. Miezi kama mitano nyuma, sijui ilikuwa uzi wa nani !!. Nyuma ya milima hiyo ya Geita eneo ni kubwa na ya kumwaga .

Odhis *
Jaduong unajua, ndege kubwa inavyoruka na kutua,unadhani Airbus inaweza kutua kwenye milima ya Geita kama unaenda Nzera? Acha ushabiki wa kisiasa.
 
chato ni sehemu ya Tanzania hamna shida kukiwa na miradi ya maendeleo,mbona hamlalamiki kuhusu maendeleo yanayofanyikaa Da es saalamu,dodoma fungeni midomo yenu
 
Mtu asipopaendeleza kwao shida
Akipaendeleza napo shida[emoji23][emoji23][emoji23]
Ubinadam kazi sana

Ova
Rais wa nchi kwao ni TANZANIA sio Chato.

Alichaguliwa na watanzania
Uchaguzi ulifanyika kwa kodi za watanzania
Akaapa kuilinda katiba ya JM Tanzania
Kuwatumikia Watanzania sio wanachato

Anachokifanya Rais kwasasa analigawa Taifa, anaweka rehani upendo, umoja na mshikamano. Tunu muhimu walizopigania waasisi wa Taifa hili kwa jasho na damu.
Anaweka rekodi mbaya kuwahi kutokea kama Rais, kibaya zaidi hili litatumika kama Precedence (marejeo) kwa Marais watakaofuata
Tusipokemea sasa hatutaweza kukemea baadae.

Yeyote mwenye akili timamu ni lazima akemee uovu huu.
 
Bandari ya nyamirembe?
Daraja la Busisi?
Bohari ya dawa?
Kijiji cha Nyantimba kinachosadikika kuwa na dhahabu GN ya Biharamulo?

Asiyependa kwao ni mtumwa!!!
 
Kwahiyo huo wa Geita umejengwa ili kushika nafasi ya huo wa Mwanza kwakuwa ni mdogo?
Usiniulize mimi muulize anayepiga kambi kujenga Chato kwanza, Morogoro nasikia mizimu ya mababu ilikataza kujenga uwanja wa ndege. Ni vigumu kuelewa madhumuni ya serikali kupigana kambi Chato na kuitelekeza Dodoma! Ghatama nchi inayoingia kuwalipa mania ya watumishi wa umma ambao wamekwenda Chato kupokea wageni na magwaride hazina tija kwa taifa.
Wakati wa East African Airways Kenya ililalamika ndege kwenda kila mkoa kasoro Morogoro bila abiria wa kushuka wala kupanda zaidi labda kuacha barua mbilitatu!
 
chato ni sehemu ya Tanzania hamna shida kukiwa na miradi ya maendeleo,mbona hamlalamiki kuhusu maendeleo yanayofanyikaa Da es saalamu,dodoma fungeni midomo yenu
Dodoma na Dar ni miji ya kiserikali IMO ndani ya sheria za nchi kiutawala, usidhani serikali na mashirika ya umma yapo kwenye miji hiyo kimagumashi.
 
Kwa kifupi ni kwamba MAGUFULI anajenga miradi nchi nzima.
Na huyo LISSU analijua sana hilo.

Ndio maana kwenye uchaguzi ulioisha alikuwa akisema wao chadema wanataka maendeleo ya watu na sio vitu.

Anajitoa akili kuandika makala ndefu isiyo na uhalisia ili mradi tu mabwana zake (mabeberu)wasimuoe kama amebweteka na kula bure.
Kumbukeni kwamba ile story ya ICC imegonga mwamba. Ni baada ya kutokidhi vigezo vya hadhi ya ukubwa wa mahakama hiyo.(hili sisemi mimi bali toka kinywa chake LISSU ambaye amekaririwa na vyombo vya habari duniani).
Kwa sasa Amsterdam amekwisha tia kibunda chake mfukoni na anaendelea na maisha yake.

Viva #JPM [emoji1241]
 
Jibu hoja, acha mipasho
 
Kwa kuwa Mwanza kuna uwanja ndio Geita usijengwe uwanja? Unajua umbali wa Chato to Mwanza

Mimi sitetei, sioni sababu za msingi kunishawishi kupinga Chato kuwa na uwanja.
Changu wa madoa acha utoto. Huoni sababu za msingi. Unaona zipi? Unajua umbali? Dar mpaka terminal 3 wakati Kibaha au Kisarawe hakuna uwanja! Pengine huo uwanja ungejengwa Geita ingeeleweka. Hata ungetupwa Katoro bado shida ingekuwepo. Tunazungumzia uwanja wa kimataifa! Chato hata wa wilaya si muafaka. Kete ya Katoro hiyo. Tena acha ufala Geita si Chato. Hovyo!
 
Utopolo fc...
 
Unatumia muda mwingi kutetea ujinga. Sijui hata wazazi wako au wanao wakijua kuwa baba anatetea pumba za Magu watakuelewaje. Too low for a scholar
Bado siamini kwamba CCM hii nayoijua imekosa watu wa kujenga hoja kiasi hiki.... hii ni takataka!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…