Picha za kulinganisha hizo mandhari ziko wapi? Na unapata wapi ujasiri wa kulinganisha mradi uliokamilka, na ule ambao bado ujenzi wake bado unaendelea!
 
Babu ulikuwa wapi mzee nimekumiss Sana mkuu had nilifungua Uzi kukuulizia kbsa

VIP kila nikikutafuta sikupati badala yake nampata Yule anayejiita gentamycime

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ujenzi ndo uko 70% sawa na nyumba ambayo umepaua tu haujafanga finishing
 
Umejitahidi kuandikwa na kutujuza! Ila umeandika KiChawa!
Walisema litajazwa maji kipindi cha miaka mbili! Wewe unaandika kinyume.!
Linaendelea kujengwa na liko kwenye asilimia 75 Sasa yanajaa Toka wapi wakati tunalia mito imekauka haijapitisha maji siku 130!!
Hivi Kwa Nini hatuambizani ukweli??
Ama kweli hatufunguki namna hii!!
 
Ehh kumbe bwawa limejazwa tayari
Liko full

Ova
 
Nasikia bwawa linajaa kwa kasi kubwa.
Wale wajuvi wa ukame sijui wako wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…