Unafikiri kwanza kabla ya kuandika au unandika kwanza halafu ndio unafikiri..ni lini mazozano ya matumizi ya mto nile yalikwenda vzr??? kampuni ni ya serikali halafu unasema wao wanaangalia mslahi tu..hizo pesa watalipwa kujenga dam zina thamani sana kuliko maji ya nile yakipungua kwao???Hawa ni wakandarasi, wanaangalia maslahi yao tu
Na suala la mto Nile ni suala la kitaifa na yalienda vizuri
Unanielewesha auUnafikiri kwanza kabla ya kuandika au unandika kwanza halafu ndio unafikiri..ni lini mazozano ya matumizi ya mto nile yalikwenda vzr??? kampuni ni ya serikali halafu unasema wao wanaangalia mslahi tu..hizo pesa watalipwa kujenga dam zina thamani sana kuliko maji ya nile yakipungua kwao???
Mkuu maneno yako mengi busara hakuna,unaingizaje issue ya Mo kwenye mradi wa stigla ?,nilitegemea uuchambue mradi tu,issue ya Mo imepita,kujadili ni waste of time men,wake up!Kuwa mtizedi ni kutokuhoji ukweli? Tofauti yangu na yako, ww unapima utizedi wako kwa kukubali chochote cha serekali bila kuhoji, wakati mimi nahoji chochote cha serekali. Isitoshe hiyo miradi haujengwi kwa uzalendo zaidi bali kisiasa zaidi, hivyo kupelekea sisi wengine kuhoji.
Nasema hivi kwa sababu mwanzo ilisemekana hizo 3t za huo mradi zipo na nilisema toka mwanzo hizo pesa hakuna. Mnaosifia kila kitu mkaingia hadaa eti kwa kuwa tender ilishatangazwa. Baadae muda ulivyosonga ukweli ukawa peupe kwamba ni mkopo unatafutwa. Hivyo nimehoji pesa zipo sio wa bahati mbaya bali najua ni utapeli kama utapeli mwingine.
Mkuu maneno yako mengi busara hakuna,unaingizaje issue ya Mo kwenye mradi wa stigla ?,nilitegemea uuchambue mradi tu,issue ya Mo imepita,kujadili ni waste of time men,wake up!
Mmmh?,sawaMkuu huyo niliyemjibu namfahamu na nimemuliza hivyo makusudi, hilo la kumtaja Mo ilikuwa kumpandisha mori ili ajichanganye. Kwa bahati mbaya ww umenunua ugomvi, hivyo kula jeuri yako. Hao wanaotekeleza huo mradi wangekuwa serious tusingeona huu upuuzi wa movie ya MO.
Sasa hivi jitihada zote ni kutafuta ajenda mbadala. Kufifisha aibu ya ajabu sana ambayo haijapata kutokea ndani ya Taifa hili.
Huwa sielewi wanataka uhuru gani.Yaani hata huu wa kutukana hawaoni kama ni UHURUMnasema mtakavyo mpaka mnatukana watu vya nguoni hiyo haitoshi kuwa demokrasia au mnataka kuachiwa mlale morogoro road kuanzia fire mpaka chalinze aah hiyo haiwezekani!
Swala lako limekosa msingi kwa kumtaja MoSwali la msingi hapo ni mkopo umepatikana?
TANZANIA SASA KUNA NEEMA TELE ATAKAE AJE TUKampuni ya nchini Misri inayomilikiwa na serikali, Arab Contractors imeshinda tenda ya kubuni/kusanifu na kujenga bwawa la Stiegler's Gorge katika maporomoko ya mto Rufiji.
Baada ya Kampuni hiyo kushinda tenda, Rais wa Misri, Abdel-Fattah al-Sisi amempigia simu Rais Magufuli na kutoa shukrani huku akimwambia kama atamkaribisha atapenda kuhudhuria katika sherehe ya uwekaji wa jiwe la Msingi la ujenzi wa bwawa hilo kuonyesha mahusiano ya karibu ya kiuchumi kati ya nchi yake na Tanzania.
Rais Abdel-Fattah al-Sisi aliwahi kutembelea Tanzania mwaka 2017. Kabla ya Al Sisi, Rais wa mwisho kutoka Misri kuitembelea Tanzania ilikuwa mwaka 1968.
Kampuni ya Al Moqaweloon Al Arab iliyoshinda tenda inasifiwa kwa kazi mbali mbali za ujenzi ambazo inazifanya hasa katika nchi nyingi za Mashariki ya Kati na barani Afrika.
Hii ni kampuni ambayo imejenga bwawa linaloitwa Aswan high dam mwaka 1970 ambalo liko nchini Misri. Bwawa hili liligharimu zaidi ya US $1 bilioni.
Inakadiriwa bwawa la Stiegler's Gorge likimalizika kujengwa litatoa umeme wa zaidi ya 2,100 MW. Kwa sasa Tanzania ina uwezo wa kuzalisha umeme wa 1,540 MW nchi nzima.
Wafananishwe na yenyewe inayopokea kila 'size'!Kwani kipi kilianza, MO kutekwa au mchakato wa ujenzi wa bwawa?
Mnakejeli kila jambo linalofanywa na serikali ya JPM. Sijui mfananishwe na nini?
Kwenye form of tender (experience of the company)kuna kipengele kinataka, experience of similar nature under taken for the last five years)Kampuni ya nchini Misri inayomilikiwa na serikali, Arab Contractors imeshinda tenda ya kubuni/kusanifu na kujenga bwawa la Stiegler's Gorge katika maporomoko ya mto Rufiji.
Baada ya Kampuni hiyo kushinda tenda, Rais wa Misri, Abdel-Fattah al-Sisi amempigia simu Rais Magufuli na kutoa shukrani huku akimwambia kama atamkaribisha atapenda kuhudhuria katika sherehe ya uwekaji wa jiwe la Msingi la ujenzi wa bwawa hilo kuonyesha mahusiano ya karibu ya kiuchumi kati ya nchi yake na Tanzania.
Rais Abdel-Fattah al-Sisi aliwahi kutembelea Tanzania mwaka 2017. Kabla ya Al Sisi, Rais wa mwisho kutoka Misri kuitembelea Tanzania ilikuwa mwaka 1968.
Kampuni ya Al Moqaweloon Al Arab iliyoshinda tenda inasifiwa kwa kazi mbali mbali za ujenzi ambazo inazifanya hasa katika nchi nyingi za Mashariki ya Kati na barani Afrika.
Hii ni kampuni ambayo imejenga bwawa linaloitwa Aswan high dam mwaka 1970 ambalo liko nchini Misri. Bwawa hili liligharimu zaidi ya US $1 bilioni.
Inakadiriwa bwawa la Stiegler's Gorge likimalizika kujengwa litatoa umeme wa zaidi ya 2,100 MW. Kwa sasa Tanzania ina uwezo wa kuzalisha umeme wa 1,540 MW nchi nzima.
Kwani wananchi kutekwa sio aibu? Unataka ninindio uone aibu. Mtu aje nyumbani kwako kumteka mkeo?Inawezekana pengine sisi wengine hatufahamu vizuri suala la kutekwa kwa 'Mo'...Hivi ni aibu gani hii inayozungumziwa na ambayo mnasema "ni aibu ya ajabu sana ambayo haijapata kutokea ndani ya taifa hili"...kuna nini hasa kuhusu kutekwa kwa 'Mo' zaidi ya kile tunachoelezwa na kusikia kuwa 'Mo' alitekwa na sasa amepatikana???
Swala lako limekosa msingi kwa kumtaja Mo
Kumbe kuna mashindanoHaoa ndio napata raha ya demokrasia. Mnayumba huku mnajaribu kutoa kabali na sisi t unazidi kubana humo humo, mkijifichia kwenye uzalendo tunaweka mizengwe yenu hadharani. Nikikumbuka miaka miwili ya mwanzo ya awamu hii tulikuwa hatunywi maji. Saa hii ndio mmekuwa hivi mlivyo.
Kumbe kuna mashindano