Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akifa Al Ahyl nje ndani basi huko mbele hakuna wakututishaNaiona Yanga nusu fainal.
Ahly amenusurika mara mbili kutandikwa na Yanga akiwa kwake sioni akiepuka kipigo kwa sasa.
Shikamoo mkuuHuyu Medeama ana point zetu 6,Al Ahly ana 3 zetu na CR ana point zetu 4.
6+3+4=13.
Young to the quarter final.[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpira hauchezwi mdomon yaani tayari unamatokeo yako mfukoni maisha sio marahisi hivyoSimba itavuka na Wydad hilo halina ubishi
Ishu ipo kwa majirani zetu
ifuzu kwenda wapi? Hahaha. Eti yanga ikifuzu...!!Tunashukuru sana kwa kukiri kuwa kundi la Yanga ni gumu, sasa Yanga ikifuzu msije na lugha nyingine
Hapo katikati kipindi mnacheza na washuka daraja mlianza na kunenepa.Naiona Yanga nusu fainal.
Ahly amenusurika mara mbili kutandikwa na Yanga akiwa kwake sioni akiepuka kipigo kwa sasa.
Niamini mimi,Tena Ahly atapata pointi 3 kwa goli la penati nyumbani kwao.Shikamoo mkuu
UtopolonianNdg zako ni akina nani?
Utakua former mwanapcmaker mwenzangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu Medeama ana point zetu 6,Al Ahly ana 3 zetu na CR ana point zetu 4.
6+3+4=13.
Young to the quarter final.[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wababe wa al-ahly wale usm alger ni wajapani?Uhakika ambao wanaweza kujihakikishia ni sare.
Kumfunga mwarabu sio rahisi
Niamini nakuambia [emoji28][emoji28]Utakua former mwanapcmaker mwenzangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumtandika al-ahly nje ndani sio rahisi.Akifa Al Ahyl nje ndani basi huko mbele hakuna wakututisha
Imeisha hiyo haina mjadala.Huyu Medeama ana point zetu 6,Al Ahly ana 3 zetu na CR ana point zetu 4.
6+3+4=13.
Young to the quarter final.[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamewafunga fainali na kwenye makundi ya Shirikisho.Uhakika ambao wanaweza kujihakikishia ni sare.
Kumfunga mwarabu sio rahisi