Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,740
- 7,679
Hata gongo wazi hawatamkawiza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua unapenda kubisha ili mradi okay.Hakuna tatizo kuhusu rotation
Nyinyi mnapotaka kujenga hoja kuwa USM Algier ambao mliwasubua ndio hao waliomfunga Al Ahly.
Kitu ambacho sio kweli kwasababu wachezaji waliocheza na nyie kwenye fainali 90% hawakuwepo kwenye mechi ya Super Cup
Hamna content mnaandika kama Kunguru wa kufuga!Baada ya kuona groups zilizotoka Leo Kwa kweli nimesikitika sana .....then baadaye nimecheka sana
Tuseme tu Makolo mwendo wameumaliza [emoji23][emoji23] Kwa like kundi hakuna mechi watakayoshinda View attachment 2773827
SIMBA 0-3 AHLYAahaaaa,wanauruka huo mtego,Kwa kuwa tarehe 20 mwezi huu wanakutana naye taifa
Unatupangia jinsi ya kuchambua draw?Basi midomo itawaponza tulieni mpira uchezwe na iyo robo tuione uwanjani na sio hadithi za abunwasi
Sasa we huoni kuna mabadiliko ya wachezaji zaidi ya 5 hapo?Najua unapenda kubisha ili mradi okay.
View attachment 2773832kikosi kilicho cheza na Al Ahly
View attachment 2773834
Kikosi kilicho cheza na Yanga second round.
Hiyo 90% umeipata wapi.
Kuna wakati unaoneshaga ujinga wa kipekee sana.Mshuka daraja yule.
Alimfunga Al Ahly akiwa amefanya rotation ya kikosi chake alichocheza fainali kwa 90%
Maana yake isingeweza kutamba kwa Al Ahly kama ingekuja na kikosi kile cha washuka daraja ambacho walicheza na nyie.
Hao tu jwaneng galaxy wanaenda kuwatoa jasho hawa makoloEbu tuongee hili kwanza, timu iliyoshindwa kuchukua points hata 3 kwa Power Dynamo hivi kweli wataweza kuchukua point hata 1 kwa Asec na Wydad??
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wachezaji wawili pekee.Sasa we huoni kuna mabadiliko ya wachezaji zaidi ya 5 hapo?
ulikutana na rivers utd, marumo gallants, zote mbovuuuMwaka jana mlisema hivihivi, tukafika fainali
Makundi yote yana team ngumu kaka.Kund A kam gum hivi
Wa mention hao watano maana unabishana mpaka na picha.......?Sasa we huoni kuna mabadiliko ya wachezaji zaidi ya 5 hapo?