CAF wametumia vigezo gani kupata timu katika mashindano ya Africa Football league (AFL)

Yaani at least kwa miaka ya hivi karibuni Wangesema Rivers kidogo ingeingia akilini.
Haya mashindano ni bonanza
 
Ningependa kujua vigezo vilivyotumiwa na Caf kuanzisha haya mashindano kwa sababu kama wamechukua timu bora kila ukanda Kwa hivi sasa Rivers ni bora kuliko Enyimba
CAF ni watu wa dili tu kama akina karia...
 
Ningependa kujua vigezo vilivyotumiwa na Caf kuanzisha haya mashindano kwa sababu kama wamechukua timu bora kila ukanda Kwa hivi sasa Rivers ni bora kuliko Enyimba
Labdah waliangalia timu zinazofanya vizuri kwa ukanda na pia ndani ya miaka ya karibuni zilikuwa vema kwenye CCL
 
Ningependa kujua vigezo vilivyotumiwa na Caf kuanzisha haya mashindano kwa sababu kama wamechukua timu bora kila ukanda Kwa hivi sasa Rivers ni bora kuliko Enyimba
Wewe ulitumia vigezo Gani kuwa na huyo michuano yao hata angetaka kumpa Ihefu shida nini
 
Ni sawa, ila amecheza semi final confederation 2018, 2021 na 2021 amefika quarter finals confederation.
Kwenye CAF 5 years ranking Enyimba ni wa ngapi na ana point ngapi hadi sasa?
 
Mwaka 2020 enyimba alitolewa hatua ya awali ya ligi ya mabingwa africa.. hakufika makundi ya ligi ya mabingwa

Unatudanganya
Sasa wewe (Yanga) unaejiona bora na kuona kwamba ulistahili kuweko badala ya Simba Sc, hiyo miaka (1998-2022) ulikuwa unaishia hatua gani CAFCL.?

Kama Enyimba hastahili kwakua alikuwa akiishia hatua za awali, inakuwaje wewe ustahili ikiwa ulikuwa unaishia hatua za awali kwa miaka 25.?

Hebu tujadili taratibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…