CAG aongea na waandishi wa habari - Aprili 8, 2021

CAG aongea na waandishi wa habari - Aprili 8, 2021

Tamasha la utalii pana upigaji wa takribani 1.5 B maana tamasha hili halikuwemo ktk bajeti za wizara ila iliamuliwa kila mamlaka chini ya wizara kutoa 250m kufanikisha na fedha hizi matumizi yake CAG hakupata vielelezo, ambapo Clouds walilipwa 600+m na TBC 250+m lakini malipo haya hayakuwa na uthibitisho maana risiti za kielektroniki hazikutolewa
Hilo ndilo deals za Dr Kigwangalla. Awajibishwe tu
 
... unapenda kweli kuwahi kuleta habari but with no details or very shallow. Usiwe unakimbilia ku-post; unaziba nafasi ya mwenye nia ya kutuletea habari kwa ukamilifu! Hata hizo UPDATES zako zitakuwa very shallow I guess!

Dukuduku lako umetuwasilishia wengi Ndugu na umesema vyema kabisa kwani Jamaa anaboa japo lenyewe hudhani kufanya Scooping ( tena hata isiyo detailed ) ni Sifa ya Kiumaarufu hapa JamiiForums.

Sasa bora basi ziwe hata zimekamilika 100% ila nyingi kama siyo zote huwa hazikamiliki na Yeye furaha yake ni Kuona tu amekuwa wa Kwanza Kuileta hapa Jamvini.

Kama ni katika Mchezo wa Ndondi ( Ndonga ) hii post yako yenye Ukweli mtupu Kwake ni sawa umempiga Ngumi Moja Takatifu ya Chembe na Kichwani ambayo imemlaza chini Kimoja na kukupa Ushindi ' Mujarab ' kabisa wa TKO.

Na lilivyo na Kiburi wala halitobadilika!!!
 
Dukuduku lako umetuwasilishia wengi Ndugu na umesema vyema kabisa kwani Jamaa anaboa japo lenyewe hudhani kufanya Scooping ( tena hata isiyo detailed ) ni Sifa ya Kiumaarufu hapa JamiiForums.

Sasa bora basi ziwe hata zimekamilika 100% ila nyingi kama siyo zote huwa hazikamiliki na Yeye furaha yake ni Kuona tu amekuwa wa Kwanza Kuileta hapa Jamvini.

Kama ni katika Mchezo wa Ndondi ( Ndonga ) hii post yako yenye Ukweli mtupu Kwake ni sawa umempiga Ngumi Moja Takatifu ya Chembe na Kichwani ambayo imemlaza chini Kimoja na kukupa Ushindi ' Mujarab ' kabisa TKO.

Na lilivyo na Kiburi wala halitobadilika!!!
Hahahaaaa...... Genta ndio anabadilika kila siku kwa sababu ni muoga!
 
... unapenda kweli kuwahi kuleta habari but with no details or very shallow. Usiwe unakimbilia ku-post; unaziba nafasi ya mwenye nia ya kutuletea habari kwa ukamilifu! Hata hizo UPDATES zako zitakuwa very shallow I guess!
You are a wildebeest carcas to say the least! Hizo ni tit bits za presser ya CAG kama unataka habari kamili weka bando nenda online mwenyewe kama ni kapuku huna bando keep your mandibles shut, the willing wanufaike na hizo nyepesi nyepesi! Narabuk!
 
]Mil 89 zilizotumiwa na makumbusho ya Taifa kwa matumizi yasiyoendana na shughuli za utalii.
nimekua napenda sana historia na maeneo haya ya vivutio.ila nimeona kitu hapo National Musuem hapako katika viwango vya ubora .
kwa nini tusichkue wataalam hata kwa majiran zetu ,exhibitions are not properly organized.
historia ya nchi hii ni kubwa national musuem ndio sehem mtu mgen akifika for the first time anafika pale,maana ndio anaelewa jamii yote ya nchi ile,
ushaur Nationa museum irekebishe setting ya exhibitions iendane na content kuwa na lights za kutosha display ziwe za ubora na kiwango cha kimataifa.funds are every where[/b]
 
Tatizo ni kwamba either alikatazwa au alisahau kusema, na aliyejaribu kusema alijikuta hana huo U-CAG

Ndio maana jamaa akauliza haya yanayosemwa leo yalitokea lini (sababu kwa alivyokuwa kimya majuzi unaweza ukasema yametokea jana)

Wapi Lini ulishaona report ya CAG ambayo hajafichua madudu?
 
89 zilizotumiwa na makumbusho ya Taifa kwa matumizi yasiyoendana na shughuli za utalii.
nimekua napenda sana historia na maeneo haya ya vivutio.ila nimeona kitu hapo National Musuem hapako katika viwango vya ubora .
kwa nini tusichkue wataalam hata kwa majiran zetu ,exhibitions are not properly organized.
historia ya nchi hii ni kubwa national musuem ndio sehem mtu mgen akifika for the first time anafika pale,maana ndio anaelewa jamii yote ya nchi ile,
ushaur Nationa museum irekebishe setting ya exhibitions iendane na content kuwa na lights za kutosha display ziwe za ubora na kiwango cha kimataifa.funds are every where
Injinia soma hiyooooo
 
Nasubiri report ya ununuzi wa yale madege tu uwenda ikawa n htr sn upgaji


Na uwenda hayo mabilion yamekwapuliwa na maccm wkt wa kampen za meko eti haijulikani zliko.
 
... unapenda kweli kuwahi kuleta habari but with no details or very shallow. Usiwe unakimbilia ku-post; unaziba nafasi ya mwenye nia ya kutuletea habari kwa ukamilifu! Hata hizo UPDATES zako zitakuwa very shallow I guess!
Hahahahahahahaha Bwana Dudus ....
 
Back
Top Bottom