Dr.adams faida
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 1,888
- 3,352
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Ana shida Sana na hajitambui ili ajirekebishe! Ni kiherehere mno!... unapenda kweli kuwahi kuleta habari but with no details or very shallow. Usiwe unakimbilia ku-post; unaziba nafasi ya mwenye nia ya kutuletea habari kwa ukamilifu! Hata hizo UPDATES zako zitakuwa very shallow I guess!
Sasa nimeelewa kwanini hakutaka vyombo vya habari vifunguliwe.Na yule Dr. Abbas alikuwa mratibu wa hii kitu...
Kama anaongea LiVE inakuwaje hakuna video bwaashee?!!!CAG Kicheere anaongea na waandishi wa habari muda huu.
Updates;
========
CAG: NILIBAINI WAKALA NNE ZA SERIKALI ZILIKUWA ZINADAIWA BILIONI 783.39
TANROADS ilikuwa na deni kubwa lenye thamani ya bilioni 770.1 kutoka kwa wakandarasi na wahandisi washauri kutokana na kuchelewa kupata fedha za kutekeleza miradi kutoka hazina, wakala wa majengo bilioni 1, RUWASA bilioni 12 na TARURA milioni 125
-Ni madeni ya wakandarasi, watoa huduma na washauri katika hizo taasisi nne
CAG: MIRADI INAYOTEKELEZWA INA TOZO YA RIBA YA BILIONI 14.9
Mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali(CAG) amesema miradi mbalimbali inayotekelezwa nchini ina riba ya bilioni 14.9 kama adhabu ya kuchelewesha kulipa hati za madai ya wakandarasi kinyume na masharti ya mikataba
-CAG amesema malipo hayo hayana tija kwani yangeweza kuepukika kwani baadhi ya pesa ni za wafadhili ambazo zipo lakini mlolongo mrefu wa malipo kwa serikali unakwamisha
MALIASILI NA UTALII
CAG: Nilifanya ukaguzi maalum wizara ya maliasili na utalii, nilibaini bilioni 6.8 zililipwa kutoka kwenye mfuko wa tozo ya maendeleo ya utalii bila idhini ya afisa masuuli kinyume na kanuni ya fedha. Pamoja na haya nilibaini matumizi ya jumla ya bilioni 16 yalifanyika bila kuwa na hati za malipo pia yalibainika matumizi ya bilioni 11 ambayo hayakuwa na nyaraka toshelezi na milioni 89 zilizotumiwa na makumbusho ya Taifa kwa matumizi yasiyoendana na shughuli za utalii.
Kwa maoni yangu mkurugenzi wa utalii na mhasibu waliokuwa wanahusika walitumia vibaya fedha za tozo ya utalii jumla ya Tshs Bilioni 34
CAG: BODI YA WAKURUGENZI YA ATCL HAINA MJUMBE MWENYE UZOEFU NA MASUALA YA ANGA
Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali amesema hayo na pia kuongeza kuwa Shirika linadaiwa hivyo inakuwa changamoto kuruka kwenye baadhi ya maeneo
Pia Viwanja vya Ndege vimetajwa kuwa na changamoto
😅😅😅😅You are a wildebeest carcas to say the least! Hizo ni tit bits za presser ya CAG kama unataka habari kamili weka bando nenda online mwenyewe kama ni kapuku huna bando keep your mandibles shut, the willing wanufaike na hizo nyepesi nyepesi! Narabuk!
Nilikua naamini kipindi cha mzee huu mchezo usingelitokea kumbe wajanja wanafanya yaoclouds fm ililipwa milioni 600 bila mkataba, tbc milioni 200 bila mkataba wa tamasha la utalii. Kigwangala anatakiwa akamatwe kwa madudu yaliojitokeza kwenye tamasha la utalii festival
Hata wa wakijifunika turubai au mabati, ni bure wapo uchi, manyang'au hawa muangiki kabisa.CAG anawaweka uchi huko...daah inasikitisha sana
Dr Kigwangalla anajifanya kuuza maziwa kunduchi kumbe nyuma ya pazia ananukia nukia ufisadini!Nilikua naamini kipindi cha mzee huu mchezo usingelitokea kumbe wajanja wanafanya yao
... naona umekuja kwa id nyingine; mjinga!You are a wildebeest carcas to say the least! Hizo ni tit bits za presser ya CAG kama unataka habari kamili weka bando nenda online mwenyewe kama ni kapuku huna bando keep your mandibles shut, the willing wanufaike na hizo nyepesi nyepesi! Narabuk!
Sijui yule rais wa wanyonge alikuwa anafanya nini na mtandao wake wa wasukuma nchi nzima.
Mwendazake alikuwa mpenzi wa mapambio na yeye Kigwangala akamjulia, ikawa kumsifia ngonjera na mashairi, kumbuka alipeleka mpaka sanamu lililokuwa linafanana na kinyago cha mpapure??😂Nilikua naamini kipindi cha mzee huu mchezo usingelitokea kumbe wajanja wanafanya yao
Nawa-ZoomHivi anayoyasema huyu CAG yalifanyika chini ya uongozi gani jamani 😢😢😢😢?
Maaniineeer zao wallah!Watu wanapiga tu mpunga halafu wanatuambia sisi tujiajiri
CAG Kicheere anaongea na waandishi wa habari muda huu.
Updates;
========
CAG: NILIBAINI WAKALA NNE ZA SERIKALI ZILIKUWA ZINADAIWA BILIONI 783.39
TANROADS ilikuwa na deni kubwa lenye thamani ya bilioni 770.1 kutoka kwa wakandarasi na wahandisi washauri kutokana na kuchelewa kupata fedha za kutekeleza miradi kutoka hazina, wakala wa majengo bilioni 1, RUWASA bilioni 12 na TARURA milioni 125
-Ni madeni ya wakandarasi, watoa huduma na washauri katika hizo taasisi nne
CAG: MIRADI INAYOTEKELEZWA INA TOZO YA RIBA YA BILIONI 14.9
Mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali(CAG) amesema miradi mbalimbali inayotekelezwa nchini ina riba ya bilioni 14.9 kama adhabu ya kuchelewesha kulipa hati za madai ya wakandarasi kinyume na masharti ya mikataba
-CAG amesema malipo hayo hayana tija kwani yangeweza kuepukika kwani baadhi ya pesa ni za wafadhili ambazo zipo lakini mlolongo mrefu wa malipo kwa serikali unakwamisha
MALIASILI NA UTALII
CAG: Nilifanya ukaguzi maalum wizara ya maliasili na utalii, nilibaini bilioni 6.8 zililipwa kutoka kwenye mfuko wa tozo ya maendeleo ya utalii bila idhini ya afisa masuuli kinyume na kanuni ya fedha. Pamoja na haya nilibaini matumizi ya jumla ya bilioni 16 yalifanyika bila kuwa na hati za malipo pia yalibainika matumizi ya bilioni 11 ambayo hayakuwa na nyaraka toshelezi na milioni 89 zilizotumiwa na makumbusho ya Taifa kwa matumizi yasiyoendana na shughuli za utalii.
Kwa maoni yangu mkurugenzi wa utalii na mhasibu waliokuwa wanahusika walitumia vibaya fedha za tozo ya utalii jumla ya Tshs Bilioni 34
CAG: BODI YA WAKURUGENZI YA ATCL HAINA MJUMBE MWENYE UZOEFU NA MASUALA YA ANGA
Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali amesema hayo na pia kuongeza kuwa Shirika linadaiwa hivyo inakuwa changamoto kuruka kwenye baadhi ya maeneo
Pia Viwanja vya Ndege vimetajwa kuwa na changamoto