Hivi kuna ID hapa JF ya hilo Jina Ndugu?
Ipo Mkuu, yaani ni full utata.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kuna ID hapa JF ya hilo Jina Ndugu?
CAG: MIRADI INAYOTEKELEZWA INA TOZO YA RIBA YA BILIONI 14.9
Mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali(CAG) amesema miradi mbalimbali inayotekelezwa nchini ina riba ya bilioni 14.9 kama adhabu ya kuchelewesha kulipa hati za madai ya wakandarasi kinyume na masharti ya mikataba
Nyingi mkuu nenda youtube utaona.Chaneli gani inarusha Live ..?
#Bwashee
Utabadilisha sana id lakini kitu cha " mdigo" kitakuning'inia milele huko ikweta.Naitwa Generalist siyo huyo Mumeo ok?
Na yule Dr. Abbas alikuwa mratibu wa hii kitu...Tamasha la utalii pana upigaji wa takribani 1.5 B maana tamasha hili halikuwemo ktk bajeti za wizara ila iliamuliwa kila mamlaka chini ya wizara kutoa 250m kufanikisha na fedha hizi matumizi yake CAG hakupata vielelezo, ambapo Clouds walilipwa 600+m na TBC 250+m lakini malipo haya hayakuwa na uthibitisho maana risiti za kielektroniki hazikutolewa
Mbona mipesa mingi hivyo inayotajwa
Mimi sishangai, ila watu waliaminishwa kwamba madudu yalikwisha na yaliondoka na Jakaya....Wapi Lini ulishaona report ya CAG ambayo hajafichua madudu?
Wewe si uko eda baada ya kufiwa na mumeo jpm..huku unafanya nini mbwa weweUmekasirika?
Huyu jamaa alikuwa mwizi sana pale maliasili. Na lazima atwiti tu ngoja nikamuwekee notification.Kigwangala huu ndiyo muafaka wa kutwiti sasa, CAG anakuchafua kijana mchapakazi, mzalendo, Waziri mstaafu.
Everyday is Saturday............................... 😎
Mkuu kuna vitu huwezi kuficha..vinakutambulisha..moja ni hilo la kujibu kwa hovyo..ulianza kwa jina la dawa,ukaja sijui mzunguko na sasa hili.Naitwa Generalist siyo huyo Mumeo ok?