Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Uwe unaweka akiba ya maneno.. Ona sasa unafedheheka... unapenda kweli kuwahi kuleta habari but with no details or very shallow. Usiwe unakimbilia ku-post; unaziba nafasi ya mwenye nia ya kutuletea habari kwa ukamilifu! Hata hizo UPDATES zako zitakuwa very shallow I guess!
Ttzo lenu WA-TANZANIA mnataka kila kitu mletewe km ni muhabarishaji mzuri kwa nini usiilete kwa marefu na mapana hii hbr??? Watu weusi mnatab sana... unapenda kweli kuwahi kuleta habari but with no details or very shallow. Usiwe unakimbilia ku-post; unaziba nafasi ya mwenye nia ya kutuletea habari kwa ukamilifu! Hata hizo UPDATES zako zitakuwa very shallow I guess!
CAG ana sura yake personal
Hahahahahah nimecheka sanaCAG kama trafiki lazima akukute na kosa akikuchunguza.
Kuna mdada anamuita baby [emoji1]CAG ana sura yake personal
Kuna mengine atakaushaHuu ni mwanzo tu. Watakimbia wengi sana.
Na hapo taarifa ya BOT Mama anasubir [emoji1][emoji1][emoji1]
View attachment 1746766
Baada ya ufisadi wa Kigwangala kuwekwa hadharani hatimaye amekimbia kurasa zake za mitandao.
Ameenda mbali zaidi na kufunga kurasa zake ili watu wasimseme mbaya kwa wizi aliofanya
View attachment 1746767
Bro kipi muhimu kichwa au makalio!Haisadii lolote. Ni Sawa tu na mbuni kuficha kichwa mchangani huku makalio yako nje nje.
Labda atumie viza ya tembo card!KAma vipi si aondoke nchini Tu kuliko kukimbia kivuli chake
[emoji16][emoji16][emoji16]Kuna mdada anamuita baby [emoji1]