CAG aongea na waandishi wa habari - Aprili 8, 2021

... unapenda kweli kuwahi kuleta habari but with no details or very shallow. Usiwe unakimbilia ku-post; unaziba nafasi ya mwenye nia ya kutuletea habari kwa ukamilifu! Hata hizo UPDATES zako zitakuwa very shallow I guess!
Uwe unaweka akiba ya maneno.. Ona sasa unafedheheka
 
... unapenda kweli kuwahi kuleta habari but with no details or very shallow. Usiwe unakimbilia ku-post; unaziba nafasi ya mwenye nia ya kutuletea habari kwa ukamilifu! Hata hizo UPDATES zako zitakuwa very shallow I guess!
Ttzo lenu WA-TANZANIA mnataka kila kitu mletewe km ni muhabarishaji mzuri kwa nini usiilete kwa marefu na mapana hii hbr??? Watu weusi mnatab sana
 
Wangekuwa wanawajibishwa ingesaidia, badala yake tutaishia kuwacheka tu huku mitandaoni maisha yanaendelea, next year tena CAG atakuja na ripoti ya wizi mwingine, tutashangaa tena then maisha yataendelea, yaani tumegeuzwa mazuzu sana na CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…