Uchaguzi 2020 CASE STUDY - Jimbo la Hai - Walitumia teknolojia gani kupata matokeo sahihi ya kila kituo ndani ya saa 8?

Uchaguzi 2020 CASE STUDY - Jimbo la Hai - Walitumia teknolojia gani kupata matokeo sahihi ya kila kituo ndani ya saa 8?

Yaani lijama wewe ni zero. Unaleta hisia. Basi ujue huyo tapeli wako keshashindwa na hatokuja kuwa mbunge tena wa Hai.
Wewe ndiyo tapeli kwa kunajisi kuubaka kuulawiti uchaguzi jimbo la Hai
 
No no no no..., Usimshut risasi. Wewe mwenyewe unaijua nchi yetu jinsi inavyodhibiti watu wakweli. Mara nyingine shinikizo linakuwa kubwa kuzid ukweli.
Walisha jiwekea uzio kwamba wao ndio wenye mamlaka ya kutangaza matokeo ma sivinginevyo!
Hakuna uchaguzi umefanyika Tanzania bali ni CCM wameulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi kwa njia haramu za kishetani
 
Bila kudhibitisha/verify utambulisho wako kuwa ni mfanyakazi wa serikali sehemu ipi, namba ya kitambulisho chako, kituo ulichoshiriki kusimamia uchaguzi, mkuu wa usimamizi wa uchaguzi kituoni hapo, barua ya utambulisho kutoka NEC kuwa wewe ni msimamizi halali wa uchaguji; moja kwa moja tunakuweka kwenye kundi la watu waongo na wenye nia mbaya dhidi ya watanzania. Na kwa kweli Vyombo vya usalama vikikupata vikutendee haki yako kwa wewe kutaka kuhatarisha maisha na mali za watanzania.
Si afadhali kweli kama kungewa na vyombo vya usalama.

Watendaji wa jinai wanaoongoza ni hao hao unaowaita vyombo vya usalama.

Ndio wapangaji na wafanikishaji zoezi la kukwapua uchaguzi.
 
Take these words...
One day yes...
Hatuwezi kwenda kinyume na aliyoyapanga ALLAH. Anasema Yeye yuko na wenye kusubiri
 
Sawa kabisa. Sasa kwanini msikusanye huo ushahidi wote then mkaenda mahakamani. Ni muhimu kutumia huu uzalendo ulionyesha hapa kwa kusema ukweli utumike huko, uwe shahidi upande wa kina mbowe ili wapate haki yao otherwise utaonekana ni mnafiki au unatumiwa tu..

Kwanini kusumbuka na kesi moja moja mahakamani kama kuna ushahidi wa karatasi za kupigia kura zikiwa zimezagaa katika nchi nzima, si ni bora kuiambia dunia kulichokea ili uchaguzi uweze kufutwa
 
Uchaguzi haufutwi, hautorudiwa, Kura zilihesabiwa na mawakala wakasaini.

Miaka mitano si mingi kama kuna uzima, mhimu ni kujiandaa kwa wakati ujao.

Hongera Watanzania kwa kufanya na kumaliza uchaguzi salama.Walioshinda ni Watanzania wote bila kujali itikadi zao.
 
Jimbo la Uchaguzi la HAI liko mkoa wa Kilimanjaro. Ni jimbo ambalo "the most wanted person" na watawala wa CCM, mwenyekiti wa taifa wa chama kikuu cha upinzani Tanzania - CHADEMA ndugu Freeman Aikael Mbowe aligombea ubunge kupitia chama chake hicho...
Sasa hapo uthibitisho uko wapi? Maana kwenye title umesema una uthibitisho.
 
Jimbo la Uchaguzi la HAI liko mkoa wa Kilimanjaro. Ni jimbo ambalo "the most wanted person" na watawala wa CCM, mwenyekiti wa taifa wa chama kikuu cha upinzani Tanzania - CHADEMA ndugu Freeman Aikael Mbowe aligombea ubunge kupitia chama chake hicho...
Lete takwimu siyo porojo, watu wangapi wangapi waliojiandikisha, wangapi waliopiga kura na kila mgombea alipata kura ngapi tuone Kama Kuna kura feki.

Vinginevyo kubalini tu hiki Kipigo Cha shoga mwizi.
 
hichi cha hai ni kituko kingine
Siyo kituko ni upumbavu.

Lakini haya yote tuliyapalilia sisi wenyewe wananchi mwanzo wa uchaguzi.

Kama tungeweza kushinikiza tume irejeshe wagombea wa vyama vingine Tume ingeogopa kufanya uhuni wa wazi wazi.

Ukimya wetu unachukuliwa kama approval na watawala wetu.

Hebu imagine mtoto kama Sabaya anawinda mtu kwa bunduki na wananchi wako kimya huoni kuwa tunampa uhalali wa kuendelea na huo upuuzi ?
 
Jimbo la Uchaguzi la HAI liko mkoa wa Kilimanjaro. Ni jimbo ambalo "the most wanted person" na watawala wa CCM, mwenyekiti wa taifa wa chama kikuu cha upinzani Tanzania - CHADEMA ndugu Freeman Aikael Mbowe aligombea ubunge kupitia chama chake hicho...
Mkuu umenena ukweli mtupu,ccm imejitangaza kwa kura za kupika walijua watanzania hawawataki...kilichobaki wabunge wao na rais hawajiamini wanajua wamepita kma viti maalum
 
Kwa mfano Mbowe Kashindwa, hivi Unapata faida gani kushindwa kwa mtu huyu. Subiri Utafurahia kushidwa kwa Mbowe na Wapenzani wote Pale baada ya Miaka Miwili...Mitatu.

Kama miaka Mitano Umeinjoy then Jua Mitano Mingine utaenjoy mara dufu.

Kama ulikuwa Kajambanani/Chokola then jua utakuwa hivyo mara dufu.
Iko siku atawaambia mshahara hakuna ndio makalio watawawasha vizuri tuwakune na tupa.
 
Nawashauri - NENDENI KWA PILATO! Kwa vile wewe unao ushahidi na ulikuwepo hapo kituoni, GOOD washauri mwende Mahakamani kudai hiyo "haki" yenu badala ya kulalama humu JF! Anyway bado mnao muda, jaribuni kukusanya mashahidi na ushahidi wa kutosha ili kumrudisha Mbowe kama KIONGOZI WA UPINZANI Bungeni.
 
Siyo kituko ni upumbavu.

Lakini haya yote tuliyapalilia sisi wenyewe wananchi mwanzo wa uchaguzi.

Kama tungeweza kushinikiza tume irejeshe wagombea wa vyama vingine Tume ingeogopa kufanya uhuni wa wazi wazi.

Ukimya wetu unachukuliwa kama approval na watawala wetu.

Hebu imagine mtoto kama Sabaya anawinda mtu kwa bunduki na wananchi wako kimya huoni kuwa tunampa uhalali wa kuendelea na huo upuuzi ?
Mkuuu Muda mwingine Naona kama viongozi wa upinzani wamezingua
huwezi kwenda kwenye uchaguzi na tume kama hii
Ni kama unaingia uwanjan na matokeo mkononi ukijiaminisha mpira una dunda....
Tume tunaikosoa kila siku miaka nenda lud
Maamuz tuliyoyafanya mwaka jana ilibid mwaka huu tuyaige hayo hayo
Bora kususia uchaguzi kuliko hii triumph ya urafi iliyofanyika....
 
Jimbo la uchaguzi la HAI liko mkoa wa Kilimanjaro. Ni jimbo ambalo "the most wanted person" na watawala wa CCM, mwenyekiti wa taifa wa chama kikuu cha upinzani Tanzania - CHADEMA ndugu Freeman Aikael Mbowe aligombea ubunge kupitia chama chake hicho....
Nilishani unatuwekea ushahidi hapa. Kumbe porojo hat hujataja kilomita za jiografia unayotegemea na matokeo ya mwisho yaliingia saa bgapi?
Hapa umepiga hekaya kama za abunuwasi tu.
 
Sawa kabisa. Sasa kwanini msikusanye huo ushahidi wote then mkaenda mahakamani. Ni muhimu kutumia huu uzalendo ulionyesha hapa kwa kusema ukweli utumike huko, uwe shahidi upande wa kina mbowe ili wapate haki yao otherwise utaonekana ni mnafiki au unatumiwa tu.

Na hayo yote yanatokea kwanini nyinyi kama wasimamizi na mawakala mnakubari kama sio kushiriki kwenye dhurma? au hujapata mgao wako?

Watu kama nyinyi ni kutia risasi kabisa, maana mnashiriki kuiangamiza nchi.
Hakuna anayeweka karatssi ya mayokeo hapa. Porojo zimezidi
 
uchaguzi uweze kufutwa
'Tanzania inaendeshwa na watanzania'. Na watanzania ni sehemu ya dunia. Dunia si mmiliki wa watanzania na Tanzania yao. Mkuu, naomba ulewe hivyo. Usidanganywe!
 
Mkuuu Muda mwingine Naona kama viongozi wa upinzani wamezingua
huwezi kwenda kwenye uchaguzi na tume kama hii
Ni kama unaingia uwanjan na matokeo mkononi ukijiaminisha mpira una dunda....
Tume tunaikosoa kila siku miaka nenda lud
Maamuz tuliyoyafanya mwaka jana ilibid mwaka huu tuyaige hayo hayo
Bora kususia uchaguzi kuliko hii triumph ya urafi iliyofanyika....
Huwezi kususia uchaguzi bila plann B.

Kususia uchaguzi kusingebadilisha chochote kwenye tume ya uchaguzi.

Tumesusia serikali za mitaa nini kimetokea.

Uchaguzi ni political platforms ya kueleza reforms unazozitaka ni njia pia ya kufanya political engagement na wananchi.

Unaposema wasusie uchaguzi watumie platform ipi kupigania reforms tunazozitaka ?
 
Back
Top Bottom