Pre GE2025 CCM yamchagua Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza katika Uchaguzi wa Oktoba 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hahaha sasa nyie mambo ya ccm yanawahusu nini?

Mlitaka awe nani sasa Philip Mangula?
 
This time rough plays zitakuwa za kutosha, yale yale ya Gezaulole Kigambonini.
 
kwa nini siyo P.Mpango? haijawahi kutokea tanzagiza raisi akabadilisha mgombea mwenza ngwe ya pili, nafikiri kuna kitu kinaendelea na sii kidogo kwenye nchi yetu, mficha ugonjwa kifo kitamuumbua …
Kaomba kupumzika
 
kwa nini siyo P.Mpango? haijawahi kutokea tanzagiza raisi akabadilisha mgombea mwenza ngwe ya pili, nafikiri kuna kitu kinaendelea na sii kidogo kwenye nchi yetu, mficha ugonjwa kifo kitamuumbua …
Kikwete alibadili kwenye muhula wake wa pili baada ya Dk Shein kwenda kugombea Uraisi wa Zanzibar
 
Wanaweza kumkaribisha akawe mgombea mwenza
 
Mapichapicha tu....
🚮🚮🚮
 
Naskia January na Nape wamelia kwa uchungu sana
 
Kwahiyo yule aliyeogopa kukalia kiti mama aliposafiri ndiyo anatoswa mazima
 
 

Attachments

  • IMG_4035.JPG
    35.5 KB · Views: 2
Nchimbi kutoka kambi ya Lowasa ana nguvu sana jamaa
 
Angempendekeza mzanzibar ili pale Ikulu wapitishe mswada kuwa Tanganyika iwe Zanzibar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…