Cecil Mwambe ashindwa vibaya uchaguzi Kanda ya Kusini

Bado hujatuonesha uhusiano wa kuanguka kwao na wao Kugombea uenyekiti Taifa
 
Mkuu kama kilishatoka basi, maana katiba za vyama zinapelekwa kwa msajili.msiishi kwa historia.hata katiba ya ccm haina ukomo Wa nafasi ya mwenyekiti Mkuu.
 
Tafsiri ya wasaliti kulingana na Kamusi ya Chadema;

Msaliti= " Mwanachama yeyote anayetaka kuchukua nafasi ya Mbowe kama mwenyekiti"
Kama membe Leo anaandamwa Na bashiru kisa kutaka kumpinga magu hivi vyama basi tu.
 
Saws nakubaliana Na mtazamo wako, lakini haki ya kutogombea ni ya MTU mwenyewe.kama katiba yao haina ukomo shida ni nin kwa mbowe akiamua kugombea? Jambo La msingi kila mwanachama aruhusiwe kuchukua fomu ili wanachadema waamue Siku ya kura.mbona lipumba hadi Leo ni mwenyekiti Wa cuf toka 1995, vipi mrema? VIP mbatia
 

Blah blah blah

Sanduku la kura limeongea

Malalamiko yako ya nini?

Pandikizi limekosa kura,so?

Kagombane na sanduku!
 

Hakuna kifungi cha katiba kinafutwa bila kikao halali na signatures za wenye dhamana

Mabadiliko yoyote ya sheria yanakua enacted na msajili baada ya kuhakikisha!

Pia,kama anapendwa,sanduku liongee!

Sanduku ndio ultimate!

Au Mbowe anaiba kura?
 
Mtu kufa ni mipango ya Mungu ukweli nikwamba Mimi naww tuko nyuma ya keyboard tunamwaga povu hata majina tunayotumia humu ni fake changamoto wanazokutana nazo wale jamaa Sisi nikubwa ambazo pengine Sisi hatujui kwa undani wanafunguliwa mikesi mingine yakipuuzi tu Mimi naww tunakula ugali na familia zetu! nisaidie kujua kwanini CUF...NCCR zimekufa! ni hivi mkuu Mbowe ataondoka atakuja Lisu maisha yataenda ikiwa unaSupport mageuzi tuwe pamoja hebu niambie ingekuwaje Waitara angekuwa mwenyekiti wa cdm kwenye vyama vya upinzani mamluki na watumikia tumbo ni wengi kuliko inavyofikiriwa angalia kila mahali wenyewe wanakwambia wanaunga juhudi na haya utayasikia vyema kuanzia January so kuwa kiongozi wa upinzani sio issue yakitoto kumbuka kwa sasa Nchi yetu haishindani na cccm inashindana na dola unaweza kuelewa namaanis sha nini
 
Reactions: F9T
Katiba yao inasemaje kuhusu Kiongozi aliekaa mamlakani muda mrefu !
Alipaswa kuacha nafsi hiyo wazi kwa mwanacdm halisi. Nijuavyo mimi watu hushawishiwa kuchukua nafasi, na watu hao wapo ndani ya cdm. 2010 Slaa hakuwa amejiandaa kugombea urais, bali alishawishiwa. Hata sasa hilo lilipaswa kufanyika.
 

Sio lazima ww uniunge mkono, ninasimamia ninachoamini kuwa mwisho wa uongozi ni miaka 10, zaidi ya hapo ni utapeli kama utapeli mwingine. Nimependeza njia hiyo sio kwakuwa nakubali kiongozi akae zaidi ya miaka 10, bali ni wangalau kupunguza dhana mbaya ya kuchezea uchaguzi. Lakini kwamba kwangu mwisho wa kiongozi bora ni miaka 10, wala sibadilishi.
 
Umesema kweli mkuu.Maana hii tabia ya kushuku shuku watu ni mbaya sana.Inaweza kumfanya mtu kujiona mnyonge na akaamua kuwaacha kweli
..cdm mnatakiwa mvumiliane.

..ushindani ktk uchaguzi isichukuliwe kuwa ni uadui.

..siyo vibaya kushangilia ushindi, lakini pia mhakikishe wale wanaoshindwa mnawa-embrace na kuwatia moyo.
 
.....kwahiyo shida yako kubwa ni Mbowe kukaa madarakani miaka 15, na kumbe sio kazi imemshinda!, naamini CDM wanaangalia uchapakaji kazi, na sio kukaa madarakani miaka 15, na akiendelea hivi sitoshangaa akiendelea mpk miaka 20!
 

Siamini kwenye mtu imara naamini kwenye taasisi imara. Sipingi maelezo yako mazuri sana na yenye wingi wa busara, lakini kwangu huo Utetezi wa kiongozi kukaa madarakani muda wote huo bila kujenga uwezo wa taasisi kujiongoza, hata sielewi unaniambia nini. Naona unajaribu kunipa mifano ya kunitisha ili niamini usemayo, nasema hivi, zaidi ya miaka 15 mtu kukaa madarakani kwa sababu zozote zile hapana. Siko kwenye mageuzi ya kweli eti kisa Mbowe ni mwenyekiti wa cdm, labda uniambie bila Mbowe kuwa mwenyekiti wa cdm, basi hatuwezi kuwa na mageuzi ya kweli.
 
.....kwahiyo shida yako kubwa ni Mbowe kukaa madarakani miaka 15, na kumbe sio kazi imemshinda!, naamini CDM wanaangalia uchapakaji kazi, na sio kukaa madarakani miaka 15, na akiendelea hivi sitoshangaa akiendelea mpk miaka 20!

Akishinda sasa tayari atakaa miaka 20, labda useme 20+. So yeye ndio pekee mchapakazi huko cdm? Hizo lugha za kitapeli ndio ziliwaweka madarakani muda kibao kina Mugabe, Museveni nk.
 
Makapi yadhibitiwe kwa ili nipo na chadema 100% sio kufanya uchaguzi leo mwakani mtu anaunga mkono juhudi ili halikubaliki hata kidogo makapi yachujwe yote.
Tangu lini ccm wakawashauri viongozi wazuri wa kuwaongozeni,
Kikubwa wao wanataka viongozi cheap wa kuwanunua, nadhani walionunuliwa mnawakumbuka
 


Hao akina Lipumba, Mrema nk ndio unanitolea mfano boss, au umekosa cha kuchangia nini? Ni mafanikio yapi hivyo vyama vyao vimeyapata kwa wao kuendelea kuwa viongozi wa muda mrefu?
 
Hakuna kifungi cha katiba kinafutwa bila kikao halali na signatures za wenye dhamana

Mabadiliko yoyote ya sheria yanakua enacted na msajili baada ya kuhakikisha!

Pia,kama anapendwa,sanduku liongee!

Sanduku ndio ultimate!

Au Mbowe anaiba kura?

Mahali popote kiongozi akikaa madarakani zaidi ya miaka 10, box la kura huwa kiini macho zaidi.
 
Katiba yao inasemaje kuhusu Kiongozi aliekaa mamlakani muda mrefu !

Hata sitaki kujadili hilo la katiba kuhusu kifungu cha ukomo wa uongozi, mambo mengine ni aibu ndio hasa chanzo cha hii vuta nikuvute. Ni vyema uelewe tu kuwa miaka 15 inatosha sana kwa kiongozi anayejali demokrasia, nje ya hapo ni uhuni kama uhuni mwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…