Congressman
JF-Expert Member
- Jun 2, 2020
- 781
- 2,305
Hakuna maandamano ila ni wanachama, wafuasi wa chadema wataenda kumpokea mgeni wao Lissu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana yake,halafu akikamatwa ataona kaonewa.Unataka kusema amezimishwa ili kuzima mapokezi? Au nimekuelewa vibaya.
Lissu ana bahati nzuri sana. Huyu ndo angekuwa kizingiti kikuu katika kuzuia Tundu Antipas Lissu kutangazwa kuwa mshindi wa Uchaguzi Mkuu mwaka huu October 2020.ingawa hii imetokea kama bahati mbaya,ila kiukweli lissu ana bahati mbaya.
hiyo jtatu tunaiingiza kwenye siku za maombolezo kitaifa,jifanye unawashwa nyanyua kongoro zako nyumbani kwenu[emoji38][emoji38][emoji38].
Wewe ni mtu wa kufunga jela! Nani katangaza maandamano? Weka ushahidi kama mamlaka za CDM zimetangaza maandamano of any type? Wewe inabidi ufungwe kwa kusema UONGO, ni kosa la jinai!Kama kichwa kinavyojieleza hatutaki kuona maandamano yenu Jumatatu kwa kumpokea mtu wenu huyo tuko katika majonzi makubwa kwa kuondokewa na Rais wetu mstaafu marehemu Me. Benjamin Mkapa. Na Mungu wetu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. Amina.
Waambie hawa Mkuu.Wakati Lissu anapambania uhai nyie mlisitisha shughuli zenu?so ndio kwanza mlikuwa bize mkifurahi na kugawana vyeo?
Leo mnataka watu waache ratiba zao kwa ajili ya mtu aliyewaita wapinzani wapumbavu na malofa
Kwani hata kukiwa na maandamano ya amani ya mapokezi kama ya Hussein Mwinyi juzi unguja na pemba shida iko wapi???Wewe ni mtu wa kufunga jela! Nani katangaza maandamano? Weka ushahidi kama mamlaka za CDM zimetangaza maandamano of any type? Wewe inabidi ufungwe kwa kusema UONGO, ni kosa la jinai!
Kweli ushamba ni mzito kama mzigo wa kuni.ingawa hii imetokea kama bahati mbaya,ila kiukweli lissu ana bahati mbaya.
hiyo jtatu tunaiingiza kwenye siku za maombolezo kitaifa,jifanye unawashwa nyanyua kongoro zako nyumbani kwenu[emoji38][emoji38][emoji38].
Usikute kafa kwa kihoro kusikia ujio wa Lissuingawa hii imetokea kama bahati mbaya,ila kiukweli lissu ana bahati mbaya.
hiyo jtatu tunaiingiza kwenye siku za maombolezo kitaifa,jifanye unawashwa nyanyua kongoro zako nyumbani kwenu[emoji38][emoji38][emoji38].
mhhh dah.Lissu ana bahati nzuri sana. Huyu ndo angekuwa kizingiti kikuu katika kuzuia Tundu Antipas Lissu kutangazwa kuwa mshindi wa Uchaguzi Mkuu mwaka huu October 2020.
Huyu ndo alizuia Maalim Seif kutangazwa kuwa mshindi na Jecha 2015.
Hakuna shida, au inabidi kusiwe na shida by principle. Lakini kwa vile tunaishi kwenye persecution era, shida itakuwepo!Kwani hata kukiwa na maandamano ya amani ya mapokezi kama ya Hussein Mwinyi juzi unguja na pemba shida iko wapi???
aisee kazi ipo.Usikute kafa kwa kihoro kusikia ujio wa Lissu
mbona povu!!!Kweli ushamba ni mzito kama mzigo wa kuni.
Hivi,kuna uhusiano gani kati ya msiba uliopo na kurudi nyumbani kwa mheshimiwa Lisu?
Kwani watu wakiandamana kumpokea kiongozi wao anawazuiaje ninyi kuhuzunika na kuomboleza kifo cha huyo mpendwa wenu??
Ama ni ujinga tu umekujaa kichwani hata kuongea na kuandika huu ujinga wako??
Kama wanatafuta kuumia wambie waandamane.
Yani sisi tunaomboleza wao waandamane?
Haki ya mama ataumia mtu.
Jibu ni hakuna shida yeyote na Lissu atapokewa na watanzania wote na pia mkapa ataendelea kuombolezwa na watanzania woteHakuna shida, au inabidi kusiwe na shida by principle. Lakini kwa vile tunaishi kwenye persecution era, shida itakuwepo!
Kama kichwa kinavyojieleza hatutaki kuona maandamano yenu Jumatatu kwa kumpokea mtu wenu huyo tuko katika majonzi makubwa kwa kuondokewa na Rais wetu mstaafu marehemu Me. Benjamin Mkapa. Na Mungu wetu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. Amina.
Kila mtu apambane na hali yake!