Uchaguzi 2020 CHADEMA, kazeni buti zenu, you are almost there. Adui yuko hoi, ushindi uko wazi mno!

Unasema?
 

Attachments

  • 20201005_140736.jpg
    63.7 KB · Views: 1
Huyo kibaraka wa mabeberu akishinda mi nahama nchi
Akili zako zimeshahama,zimeshatoka nje ya mwili wako,bado wewe tu kuhama,mtahama hata na huyo bwana wenu kwa aliyoyafanya hawezi stahimili kubaki nchini
 
Amini nakwambia CCM imechokwa kwelikweli. Hata unaowaona wako humo ni wale kwa maslahi binafsi ila sio kwa mapenzi ya itikadi kweli.
Nafikiri hujajua Kwa nini watanzania wamefikia hatua hata ya kusema hizo barabara si lolote si chochote!! Sababu kuu mnafanya hayo yote huku mkiumiza wengine tena wengi vibaya sana. Mbaya zaidi mnaumiza na kutesa wengi alafu ikitokea kitu kama fly-over mnakitangaza Kama mmefika mbinguni vile na hapo ndo watu wanafanya comparison na nchi nyingine ambapo Kuna nzuri na za kisasa zaidi ya hizi zenu na kuishia kuwakejeli.

Mbaya zaidi tena mnaharibu kwingine kama kwenye kilimo, biashara alafu mnataka bado msifiwe
 
ukihisi baridi KALI basi kunakaribia kucha!!
 
"Kila.sifa ya uovu..."!!!
Unahitaji kuombewa wewe. Hata Shetani hana kila sifa ya uovu. Hapa na pale anatenda mema hata kama ni kwa lengo la hatimaye uanguke.

Hakuna kiumbe anayeweza kuwa na kila sifa ya uovu.
 
Muda wote unamrejelea Mungu wa Israel, je sisi Watanzania hatuna Mungu? Je Mungu wa Israel ni tofauti na wa Kwako wewe Mmakonde?

Mungu ni mmoja TU, Muumba Mbingu na ardhi wanadamu, mimeo na vyote ulimwenguni. Ndiye aliyemuumba Adam, Yesu, Muhammad, mimi na wewe. So, huna haja ya Kumtaja Mungu wa wapi.

Nimeona, nikupe hili kwa upande huo; ingawa kwa upande wa hoja kisiasa upo sawa
 
kwahio ukaona lissu akiwa raisi, mbowe waziri mkuu, lema waziri wa fedha, halima mdee waziri wa afya nchi itaenda swwa?

Kwani wewe ndiye mpanga nani awe waziri mkuu, wa fedha au wa afya?

Pia wewe ndiyo mwenye vipimio kuona kama nchi inaenda sawa?

Mbona vichwa vyenu mnavitumia kwa kazi zisizo?

Ni matumizi mabovu kutumia kichwa kufugia nywele.
 
Rais Mteule Tundu Lissu akishatangazwa kuwa ndiye mshindi, ndipo wana CCM nao watakapo tambua ubaya na maudhi ya matangazo ya mgombea wao yaliyotapakaa nchi nzima. Yaani ni kama yamchoresha tu.
 
Mbinu za kutisha zinazotumika ni ishara kubwa sana kuwa wapo hohe hahe, matumizi ya wasanii wakubwa, sasa hivi watu hawaangalii ahadi kedekede za hicho chama bali mabadiliko peke yake.

Tumechoka kuahidiwa maji Safi na salama, tumechoka kuahidiwa afya bora, tumechoka kuahidiwa elimu bora, tumechoka kuahidiwa umeme kila kijiji badala ya kila kaya, tumechoka na stori za njaa.

Tanzania ilipaswa kuwa tumeachana na hayo mambo kitambo kama miaka thelasini iliyopita. Tulipaswa sasa kuangazia mambo makubwa kama VIWANDA na vinginevyo lakini kuahidiana afya, maji, elimu, chakula na umeme n dharau sana kwa WATANZANIA.

Miaka karibu 60 ya UHURU tunaahidia mambo msingi kabisa ambayo yalipaswa yameshatekelezwa miaka mingi iliyopita.

Watanzania lazima tujitafakari kwanza Ni muda wa kuachana na ushabiki.

Let's go with LISSU akifeli tupige tu spana na kwake mpaka tufike tunakotaka kwenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…