CHADEMA kuingia madarakani ni ngumu kuliko ngamia kupita kwenye tundu la sindano

Chama cha Mbowe kimekuwa level moja na chauma kwa sasa.
Chama chako kikowapi?!!..wenzako wanaofisi nnchi nzima,wanawatu wanalipwa mishahara,wanavitega uchumi!!..wewe uko hapa unashabikia kitu ambacho hupati hata elfu moja!!
 
Ushabiki mgumu sana!!..watu mnaongea msivyovijua kwasababu tumekua na Uhuru huo!!..Vipi Hamza nae mmeamua kumpumzisha!!
Hamza alishughulikiwa kwa njia aliyoichagua kama ambavyo mdude atashughulikiwa atuonyeshe anavyotumia zile wembe zake๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ


Nilichojifunza ni kwamba tunapenda matokeo kuliko njia zilizotumika!!..kuna Mwenzako hapa nimemuuliza haya chadema hawezi kuchukua nchi Sawa!!..Nyie vipi mnayo nchi kila siku mbona bado mnanjaa?
Nyie mlipenda matokeo ya kushika dola yakawafanya wehu hadi mkasahau kama mnayempa hiyo nafasi ni yuleyule mliyemwita fisadipapa. Alipowanunua mkampa ile nafasi njaa zenu hazikwisha???



Kama wewe hulipi Kodi kama lowassa Sawa!!..Kama na wewe unalipa Kodi basi inabidi utafakari jinsi yako ya kufikiria!!
Una uhakika Lowasa hajawahi kulipa kodi nchi hii? Nawewe pambana ufikie pa kutokulipa kodi.... maisha ni mapambano acha kudeka๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Kwani umeambiwa Tanzania aina katiba? Tanzania katiba ipo ila kuna baadhi ya watu wanataka katiba mpya(nyingine) kwa haraka na Serikali inawaambia wasubiri kwanza
 

AMEN
 
Mimi ni mmoja wa watanzania wachache kama lowassa ambao hatulipi hizo Kodi zenu!!...Ndio nimekwambia wewe na Ushabiki wako wote unalipa Kodi hii ni ajabu sana!!.
 
Unataka kucheza kamari kwa kuiweka nchi bondi ๏ธโ™ฃ๏ธโ™ฆ๏ธโ™ ๏ธ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Mungu wa Burigi ndie aliejaribu kucheza KAMARI na moto wa covid 19.
Sasa hivi hata aliyekuwa mshirika WAKE mkuu katika UCHAWI, Mhe Ndugai , anakimbizana kisawasawa na yaleyale waliyokuwa wanayabeza ili sio tu kujiokoa, bali pia kufaidi mapato maneneya mjengoni, kwa mahangaiko kidogo zaidi.
 
Bwege ni wewe unaeujua ukweli halafu unajidanganya kujiridhisha nafsi. Wewe ulikula sh ngapi kwa mauzo mliyofanya kwa Lowasa?

Wafuasi wa Chadema wa 2015 hadi sasa mnatakiwa mkapimwe akili๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Mmekaa kitapeli mno mfyuu
afu we mama nimimiss mzigo wako huo ujuee
 
S chadema Tanzania hatuna upinzan serious Bali tuna upinzan wachumia tumbo Hakuna upinzan Tanzania kuna upinzan njaaa
 
Reactions: nao
Mimi ni mmoja wa watanzania wachache kama lowassa ambao hatulipi hizo Kodi zenu!!...Ndio nimekwambia wewe na Ushabiki wako wote unalipa Kodi hii ni ajabu sana!!.

Kwani kulipa kodi ni ujinga? Au kutokulipa kodi ndio ujanja? Kama silipi kodi natakiwa kujisifia kama unavyofanya wewe?

Uwage unatafakari kabla ya kuongea wewe maana kuna sifa zingine za kijinga
 

Wewe unamwona na kumuita mwanadamu Mungu! Yeye wapi alijiita Mungu?
Ushabiki mwingine wa kitoto ujue๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Japo kuwa huna akili lakini ngoja nikusaidie , Hichilema aliambiwa kama hivi hivi ila leo ni rais wa Zambia
upinzani wa zambia ni wa akili kabisa, hichilema ni mfanya biashara mkubwa na alielekeza hoja zake kwenye uchumi wa nchi, tafauti ya hawa wetu wanaokazia madaraja ya mfugale
 
Wewe unamwona na kumuita mwanadamu Mungu! Yeye wapi alijiita Mungu?
Ushabiki mwingine wa kitoto ujue๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
POLE ndugu,
Ni kwa jinsi nyie mlivyokuwa mnamtukuza na kujivunia kumwabudu.
Hata hivyo yaonekana ujumbe umekufikia vizuri kabisa, na pia umeelewa vizuri kabisa kiasi kuja waelewesha na wenzio/wengine.
AMEN
 
POLE ndugu,
Ni kwa jinsi nyie mlivyokuwa mnamtukuza na kujivunia kumwabudu.
Hata hivyo yaonekana ujumbe umekufikia vizuri kabisa, na pia umeelewa vizuri kabisa kiasi kuja waelewesha na wenzio/wengine.
AMEN

Kujivunia NDIO, hata sasa! Ila kumwabudu big NO
JPM atabaki kuwa Mwamba Shujaa na rais wa karne. Ameenda ila bado anawapeleka mbio.... KAZI INAENDELEA na ironlady๐Ÿ‘‘๐Ÿ’ช
Hutaki kwenda mbio hama nchi๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Kwani kulipa kodi ni ujinga? Au kutokulipa kodi ndio ujanja? Kama silipi kodi natakiwa kujisifia kama unavyofanya wewe?

Uwage unatafakari kabla ya kuongea wewe maana kuna sifa zingine za kijinga
Hahahaha wewe wanakutoza makodi na unawasifia tu!!..Ndio nashangaa ulivyokua
 
Kwani kulipa kodi ni ujinga? Au kutokulipa kodi ndio ujanja? Kama silipi kodi natakiwa kujisifia kama unavyofanya wewe?

Uwage unatafakari kabla ya kuongea wewe maana kuna sifa zingine za kijinga
Mimi ni mmoja wa Raia wa jamhuri wa Muungano ndio maana nipo kwenye kundi hili tusiolipa kodi!!..Unaumia nini?!!..Najuhudi zako zote Hadi umauti utakukuta hautafikia hapo na bado unafurahia na kushangilia upumbavu!!..
 
Hahahaha wewe wanakutoza makodi na unawasifia tu!!..Ndio nashangaa ulivyokua

Mimi ni mmoja wa Raia wa hasa wa jamhuri wa Muungano ndio maana nipo kwenye kundi hili tusiolipa kodi!!..Unaumia nini?!!..Najuhudi zako zote Hadi umauti utakukuta hautafikia hapo na bado unafurahia na kushangilia upumbavu!!..

Hata kama silipi kodi siwezi kufanya matangazo popote maana ni ulimbukeni kuja mtandaoni kutangaza kwamba hulipi kodi

Nimegundua hujielewi kiasi kwamba sikutakiwa hata kukujibu

Hakuna ninalojifunza kwako na wala hufundishiki.... sasa nimekupuuza rasmi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ