CHADEMA kukataa mualiko wa NEC wakati wanasubiri mualiko wa Rais Samia ni kichekesho

Cdm hawajioni bora, bali kila chama ni tofauti na chama kingine. Hata kutaka kuonana na rais cdm waliomba kivyao wala hawakuomba kwa niaba ya vyama vingine. Vyama vingine vikitaka vitaomba kwa muda wao. Kila mmoja ana matatizo yake na mitazamo yake.
 
Chadema hawajui kutumia fursa walitakiwa kwenda
 
Ni kwa mwenye ufinyu wa akili tu ndiyo anaweza kuandika hivi. Mpaka hapo nchi itakapoingia kwenye machafuko ya kutisha kwa UCHAFUZI wa uchaguzi ndiyo mtatia akili kichwani.
Hayo machafuko hayatatokea iwe mchana au usiku
 
Kuwa CHADEMA inatakiwa usiwe na akili hata moja
 
NEC ni office ya CCM ,hawana la maana zaidi ya unyang'anyi wa haki za raia
 
NEC ni boya tu na hawana meno unakutana nao kuongelea kitu gani, hawana uwezo wa kubadili au hata kuhoji chochote popote bali hupokea directives kutoka kwa watawala hivyo ni bora kuongea na watawala direct hata kama hao watawala wameukwaa utawala kwa njia haramu.
 
kwani mwaliko wa NEC ndio mwaliko wa Samia???

Halafu wakiambiwa Tume ya Uchaguzi sio huru wanapiga kelele tena. Hapa mleta mada anaonesha wazi kuwa Taasis ya Rais ndio ile ile ya NEC au Rais na NEC lao moja!!

Kuna kipindi najiuliza uwezo wetu wa kufikiri una walakini gani? Mleta mada hashangai hata Rais anashauri mambo kadhaa yaangaliwe. Anashindwa kujiuliza kwanini Rais (kama Rais - sio mwenyekiti wa CCM) anatoa ushauri namna mambo kadhaa yafanywe!! Kwanini Rais anaalikwa kama Rais badala ya mwenyekiti wa CCM! Je, wahudhuriaji wa hii event nao wangepata nafasi ya kuzungumza? Tuna shida sana na mamlaka ya uRais!

Mkuu, muache huyo - uelewa wake mdogo sana!!
 
Ni kwa mwenye ufinyu wa akili tu ndiyo anaweza kuandika hivi. Mpaka hapo nchi itakapoingia kwenye machafuko ya kutisha kwa UCHAFUZI wa uchaguzi ndiyo mtatia akili kichwani.
Hayo machafuko ni Chadema utopia. Tanzania ni imara na yenye amani chini ya Serikali ya CCM.
 
Unawaita Chadema wajinga wakati wewe hata watu wawili tu imeshindwa kuwaongoza,sijui kama una familia,kama unayo basi hata familia yako tu imekushinda kuiorganize.
Bwashee, hata huko kwa rais wameshaghairi asipokutana nao peke yao. Akiwaweka kwenye kundi la vyama vyote basi hawaendi!
Ujinga uliomo chadema sasa hivi hata kwa fimbo hatuwezi kuutoa.
 
Bwashee, hata huko kwa rais wameshaghairi asipokutana nao peke yao. Akiwaweka kwenye kundi la vyama vyote basi hawaendi!
Ujinga uliomo chadema sasa hivi hata kwa fimbo hatuwezi kuutoa.
Sasa nfo umeandika nini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…