Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Hawa vijana huwa hoja yao ni matusiDuh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa vijana huwa hoja yao ni matusiDuh.
Siyo mbaya akianza kujinadi mapema lkn sidhani kama wanaweza kurudia kosa.Wanasubiri Membe akatwe wamchukue agombee Urais awape Kura Mamilioni kwa mamilioni wachukue "dollar"
CHADEMA WAMEPOTEZA DIRA KABISA KIUFUPIHuwezi kukiondoa madarakani chama kikongwe kama CCM kwa kulalamika kwenye vyombo vya habari, au kusubiri kigawanyike, unaweza kusubiri isiwe na kulalamika tu hakutoshi.
Hadi sasa hatuoni movement yeyote serious kuonyesha kweli mna nia ya kuingia ikulu, pamoja na operation Chadema ni msingi, kwa mfano, kuliko kuishia kufanya press conference pale Ufipa, mnaweza kuandaa makongamano ya kimataifa Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere, mkaita vyombo mbalimbali vya ndani na nje, investors, mabalozi, mkaalika known public speakers ikiwezekana kutoka nje, mkatumia fursa hiyo kueleza sera zenu na jinsi mtakavyozitekeleza mtakapochukua madaraka. Huo ni mkakati mmoja tu wa kujitangaza ndani na nje mkaaminika, kwa dunia ya leo huwezi kushinda urais bila support ya nje. Hatuoni mkifanya hivyo.
Sioni mkakati wa kuunganisha nguvu, nilisikia wapinzani wameanzisha Azimio la Zanzibar sijui limeishia wapi, nchini Kenya haikuwa kazi rahisi kuiondoa KANU, vyama vya upinzani viliungana baadhi ya viongozi wao wali sacrifice vyeo vyao.
Siyo lazima muweke wazi mikakati yote lkn angalau wapiga kura waanze kuona mwelekeo wa chama towards 2020, siyo mbali, ikiwezekana wamjue mshika kibendera siyo waje kushitukizwa dakika za mwisho kama mlivyofanya kwenye uchaguzi uliopita.
Kushinda uchaguzi ni zaidi ya sanduku la kura, ingekuwa sanduku leo Lowassa angekuwa rais kwa sababu naimani alipata kura nyingi na Self angekuwa rais wa Zanzibar, sanduku la kura ni kitendo cha kuhalalisha (legitimise) mikakati yako uliyofanya kabla, ya halali na isiyo halali.
If you don't plan you are planning to fail.
Membe anawania kupitia tiketi ya CCM na Magufuli.Kumsimamisha membe
Nani anashabikia ya CCM zaidi ya kina Musiba.Chadema wameacha yao yanayo wahudu wamebaki kushabikia migogoro ya ndan ya ccm tu
Yaani mabalozi, wawekezaji wa nje na ndani, na wengine kama hao waalikwe na CHADEMA ukumbi wa Nyerere wao kama wapigakura au vipi?Huwezi kukiondoa madarakani chama kikongwe kama CCM kwa kulalamika kwenye vyombo vya habari, au kusubiri kigawanyike, unaweza kusubiri isiwe na kulalamika tu hakutoshi.
Hadi sasa hatuoni movement yeyote serious kuonyesha kweli mna nia ya kuingia ikulu, pamoja na operation Chadema ni msingi, kwa mfano, kuliko kuishia kufanya press conference pale Ufipa, mnaweza kuandaa makongamano ya kimataifa Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere, mkaita vyombo mbalimbali vya ndani na nje, investors, mabalozi, mkaalika known public speakers ikiwezekana kutoka nje, mkatumia fursa hiyo kueleza sera zenu na jinsi mtakavyozitekeleza mtakapochukua madaraka. Huo ni mkakati mmoja tu wa kujitangaza ndani na nje mkaaminika, kwa dunia ya leo huwezi kushinda urais bila support ya nje. Hatuoni mkifanya hivyo.
Sioni mkakati wa kuunganisha nguvu, nilisikia wapinzani wameanzisha Azimio la Zanzibar sijui limeishia wapi, nchini Kenya haikuwa kazi rahisi kuiondoa KANU, vyama vya upinzani viliungana baadhi ya viongozi wao wali sacrifice vyeo vyao.
Siyo lazima muweke wazi mikakati yote lkn angalau wapiga kura waanze kuona mwelekeo wa chama towards 2020, siyo mbali, ikiwezekana wamjue mshika kibendera siyo waje kushitukizwa dakika za mwisho kama mlivyofanya kwenye uchaguzi uliopita.
Kushinda uchaguzi ni zaidi ya sanduku la kura, ingekuwa sanduku leo Lowassa angekuwa rais kwa sababu naimani alipata kura nyingi na Self angekuwa rais wa Zanzibar, sanduku la kura ni kitendo cha kuhalalisha (legitimise) mikakati yako uliyofanya kabla, ya halali na isiyo halali.
If you don't plan you are planning to fail.
Kibendera katika Ubora wakeNadhani kwa sasa wanamuacha bwana yule atambe na ajidanganye kuwa anakubalika ila wakati wa kampeni ukifika,wataanza kutema cheche na hapo bwana yule na chama chake ndio watajua wanakubalika kiasi gani.
Kwa sasa, wamebanwa, ila wanapata nafasi ya kukusanya madhaifu na kasoro za bwana yule na wakati ukifika wataanza kuyasema majukwaani.
Hata nikikuelezea huwezi kuelewa inaonekana iko juu ya uwezo wako.Yaani mabalozi, wawekezaji wa nje na ndani, na wengine kama hao waalikwe na CHADEMA ukumbi wa Nyerere wao kama wapigakura au vipi?
Huna hoja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asante kwa kuchangia.
Unachangia huku unamlaani mleta uzi kwa kuwavua nguo kwamba mpaka muda chama hakina muelekeo!
Mahaba huwa yamekuzidi hutaki kujitathimini kama hivi!
Kwa mwana cdm yeyote yupo huru kukosoa pale anapo ona pana madhaifu siyo kama ndani ya ccm maana ccm ipo chini ya mwekezaji mmoja anauemiliki 49%Umejitoa lini huko....!?
Upinzani umefungwa mikono na miguu, huku watawala wakiwa huru kufanya wanachokitaka, popote pale na escort ya polisi wanapata, media attention wanapewa...
Ni ngumu kutoboa, hata wanachama wako kukutana nao huna uhuru huo..
Mbinu zilizosalia ni kutumia nguvu ya uma, ila chadema hawako tayari ku_risk usalama wa raia wake kwa sasa...
So, maybe kuna mipango smart zaidi wanayo..ila kila physical mean wamebanwa...
Punga ni wewe unayejibu hoja ya msingi kwa matusi. Kwani ungewasilisha hoja yako bila kutukana isingeeleweka?Sasa wewe punga LA Lumumba wakwambie mikakati yao ikusaidie nin wewe endelea kuliwa hapo Lumumba.