CHADEMA mtatoka na ajenda gani baada ya kurudi kwa mikutano ya hadhara ya siasa

Kwani watu wakitoka Mara Kuna ubaya gani boss? Hujui huu ni mkutano wa kwanza baada ya miaka mingi tu na kwa ufunguzi umepangiwa Mwanza na watu kutoka mikoa mingine kutakuwa na uwakilishi tu.
 
Pathetic fool
 
Si ndio vizuri hilo lichama lijiue lenyewe. Huyo dhalimu unatakiwa udhalimu wake uwekwe wazi, kisha NONDO za uhakika zimwagwe mchana kweupe.
Sawa, kesho msije mkapiga vichwa tu namikono ilimuonekane wengi.
 
Huyo muuaji nani amkubali? Tukutane kesho Furahisha. Hata chawa tunawakaribishe tuwatoe mapepo. Mtabatizwa muache uchawa na madhambi yenu mnayowatendea watz
Sawa, alafu msisahau kumakejeli huyo mnaemuita muuwaji.
 
Mkuu hili nitangazo la biashara au mimi ndio sijaelewa
 
Yaani shufghuli haijanza unapanick hivyo. Kama ni kumwaminisha mwajir wako una akili Basi naye no kiazi Kama wewe. Msubiri kuchimbuliwa tu.
 
Chadema ilikuwa ni Dk Slaa baada ya slaa kutoka pale Chadema Sasahivi Chadema nikama cha wauni tu, kipindi hicho Chadema ilikuwa ikukusanya nyomi kusikiliza nondo za dk slaa na akina Myika na Ndee waliokuwa wamepikwa vizuri na slaa, ngoja tusubiri tuone nyomi ya Mbowe maana Sasahivi walisema Chadema ni Mbowe na Mbowe ni Chadema.
 
Msaliti ambaye Rais na mwenyekiti wako wa Chama anakwenda ulaya na kuonana naye faragha kujadili ya maana?
Acha utoto bwana! Au nyie ndio wale wa yule aliyeKWEnda zake?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mama ni mama, hupenda Watoto wote watundu, wapole,Malaya, majambazi, mashoga, mateja n.k
Upendo wa mama kwa mtoto ni unconditional
 

Naona bado mko kwenye panic mode.
 

Umepewa taarifa na Nani? Wewe unapewa taarifa halafu unaongea kana kwamba wewe ndio umeona.
 
Umetumwa nini wewe. Sasa wakipata aibu wewe inakuhusu nini
 
Tuliza shobo.

Mwanamme kuwa mbea ni indicator of low testosterone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…