[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee asikusikie maana utatukanwa matusi ya nguoni kwako weweeee achaa kabisaaa.Dada yetu anajitambua hawezi olewa na taga,we kalambe makubazi ya slowslow.
No way out uchaguzi ufutwe kabisaAliyekuwa Mgombea urais JMT kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu na aliyekuwa mgombea urais Zanzibar kupitiaACT-Wazalendo kuongea na waandishi wa habari
Sty tuned taarifa zaidi kukujia
Watapoteza muda watakaoandamana. Ww kafanye kazi.Sasa mbona mnataka kupoteza muda kwenye maandamano siku za kazi?
Na siku zote mvumilivu hula mbivuuTanzania hakuna Amani kuna kisiwa cha uvumilivu tu Amani hakuna ndiyo maana hata Zanzibar kuna mauaji lakini wameendelea kuvumilia
Lissu aunde serikali yake ya online ambako ndiko ana wafuasi; lakini siyo ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Yaani kila mkoa kura alizopata ni za wale waliokuwa wanahudhuria mikutano yake tu. Hakuweza kuhamasisha watu zaidi ya hapo, wengi ni wale walioathirika kwa utawala wa magufuli kwa namna moja ama nyingine; kwa mfano ndugu zao walipoteza kazi kwa sababu ya vyeti feki, au ndugu zao walibomolewa nyumba zao kwa kuwa karibu na barabara, au shughuli za maisha yao zilikuwa zinategemea mzunguko wa fedha haramu.Aliyekuwa Mgombea urais JMT kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu na aliyekuwa mgombea urais Zanzibar kupitiaACT-Wazalendo kuongea na waandishi wa habari
Sty tuned taarifa zaidi kukujia
Yaani hawajui wanachokitaka ndiyo masna wanatangatanga na hoja na matamko ya kuiabisha! Ni wakuhurumia pia na kuwapa Pole.Zimbabwe imewekewa vikwazo kwa miaka 20 sasa umeona wapinzani walifanikiwa kuchukua nchi?
Hebu jiulize, wananchi wakishajua kuwa maisha yao yanaanza kuwa l magumu kwa sababu ya vikwazo vilivyoombwa na wapinzani unafikiri watakuwa upande gani?
Nadhani pia hii ni hatua ya kushinikiza hilo ulipendekezalo.Wanataka kuionesha dunia kutokuridhika kwao.Tusubiri tuoneHayo maandamano hayawezi kuwa na tija yoyote, wabadilishe mbinu watumie mataifa ya wafadhili kuweka vikwazo, hiyo wala haiwezi kuchukua muda.
Magufuli hana uwezo wa kutawala hii nchi bila hisani ya wazungu kwani hata tukiachilia mbali misaada wakizuia mikopo tu kwa mwezi mmoja, Magufuli kwisha. Lkn mkakati wa kutumia maandamano hautafaulu kwani wengi hawatathubutu kujitokeza kwa hulka ya watanzania tulivyo.
Hao waweka vikwazo huwa wanaamua tu kuweka hivyo vikwazo?Serikali ikiwekewa vikwazo, ikashindwa kufanya miradi ya maendeleo, unakuwa umemkomoa Magufuli au unaumiza ndugu zako?
Hivi unaweza kuwa timamu na bado ukaamini maneno ya Jiwe?. Hata akikuita jina lako usiitike mpaka umeangalia kitambulisho chakoAkamatwe? This will never happen. Hao watu wanaongea tu. Zero action. Rais Assad wa Syria anaua watu daily ila hajaguswa hata sikio todate. “Mabeberu” wapo vizuri kwenye kutoa matamko tu...
U need to learn to appreciate the sense of humour. Ni JPM pekee anayeamini kwamba TZ ni dona kantreHivi unaweza kuwa timamu na bado ukaamini maneno ya Jiwe?. Hata akikuita jina lako usiitike mpaka umeangalia kitambulisho chako
kwa hiyo ramli iliyobaki ni kuitwa mezani...ha ha haaaaa mmeishiwa hoja. wa TZ watoke barabarani? mtatoka nyie kikundi cha wahuni wachache, yetu machoHili tangazo ni la hatari sana .
1. Watu wengi sana watakufa
Vifo kwa maaskari wetu maana asilima kubwa wanaishi uraiani,vifo kwa watoto wao au wake zao.
Vifo kwa watalii...
Watanzania wanajua walichokifanya, wanachokifanya na wanachotarajia kufanya. Ebu rejea tukio la COVID19 namna watanzania wakishirikiana kwa karibu na kiongozi wao rais Dr. Magufuli walivyofanikiwa kudhibiti suala la Corona kwa msaada wa Mungu.Hivi chukulia haya
Kila Mkoa na kila wilaya na kila kata kuwe na maandamano au mauaji nani atatuliza nini na wapi? Na kama internet ikiendelea hivi maana Yake hakutakuwa na taarifa watu watapanga kwa message za kawaida za kichochezi mwisho tutakumbuka haya kukiwa kuna machozi ya damu na Vifo VINGI sana.Mema yaliyofanywa hayatakumbukwa wala hakutakuwa na amani hii tena...
Utumie akili kujibu rafiki itakusaidia sana.kwa hiyo ramli iliyobaki ni kuitwa mezani...ha ha haaaaa mmeishiwa hoja. wa TZ watoke barabarani? mtatoka nyie kikundi cha wahuni wachache, yetu macho