Uchaguzi 2020 CHADEMA: Tunamuunga mkono Maalim Seif kwa Urais Zanzibar. Lissu hataendelea na kampeni, atapangiwa majukumu mengine

ICJ ni nini?
 
Ukichunguza kwa makini Lisu huyu wa leo siye yule wa zamani kabla hajapelekwa ubelgiji.
We chunguza tu utagundua.
Intelligence yake imeshuka saaana!
I am sure kuna kitu wazungu wamemfanyia kudestroy some of his brain cells.
 
Maamuzi ni kwamba kamati imeridhia mgombea Lisu asimame kupiga kampeni mpk tarehe 9/10
Tuwekee kavideo au barua hapo hata ivyo hiyo hawezi kunivunja nguvu mm kilaukombozi unagharama zake
 
Kuna harufu ya uwoga hapa.

Sasa mgombea ataanza saa ngapi kampeni za leo? Hapa tushapata majibu tayari. Kamati kuu imeufyata kwa tume.
Heheheh! Acha kulialia hebu subiri penadul injection iingie.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
 
CCM mpya chini ya Bashiru na Chakubanga mbona imeacha kuongelea mambo ya madege na madaraja? Walidhani mwanzoni kuwa wananchi watakula madaraja? Sasa kama wanajua kusoma alama za nayakati wasome. Huu uchaguzi waki mess up wanakwenda kupigwa vikwazo siyo vya dunia hii.. Yaani sisi
 
Jisemee wew sio watanzania wote watamchagua jiwe
 
Wakati mwingine ukishupaza shingo sana huwa linavunjika

NEC na kamati yao ile wanatafuta sababu ya kutoa adhabu kali zaidi na CHADEMA watafanya makosa makubwa kuingia huko mkenge. Ndio maana imebidi busara itawale zaidi na jazba ikae kando
 
Hapa usipa zungumzie ksbisa ,mme haribu Biashara zake nyingi kwa Sababu za kisiasa kinyume kabisa na Sheria.Punguza unafiki Mkuu.
Asha ambiwa akifanikisha hili la kumdhibiti lisu atashiliki kula keki ya taifa
 
Tuwekee kavideo au barua hapo hata ivyo hiyo hawezi kunivunja nguvu mm kilaukombozi unagharama zake
Kulikuwa na uzi wenye barua hiyo umeondolewa na mods. Barua inaongelea kuwa kamati kuu ya chadema imeridhia kwa kauli moja chadema na ACT kushirikiana na unasema kamati imekubaliana na maamuzi ya tume kumsimamisha mgombea urais mpk tarehe 9/10
 
Lissu anaenguliwa na Mbowe ? Na kumuunga mkono Membe au ?
 
Kinachofurahisha ni kwamba Tundu Lissu kamshikisha adabu Magufuli kwenye kampeni hizi:

1. Imelazimika polisi & NEC watumike kuokoa jahazi linalozama la Magufuli ambaye kabla ya kampeni tuliaminishwa eti anapendwa sana hahitaji nguvu yoyote kwenye kampeni 2020

2. Magufuli amelazimika kuanza kutekeleza "amri" za Tundu Lissu anazozitoa kwenye kampeni

3. Magufuli amefikia mahali anampigia Tundu Lissu magoti, tena mbele ya hadhara

4. Kupitia hotuba zake katika kampeni, Tundu Lissu amewajengea wananchi ari ya kujiamini - sasa hivi wananchi hawatishwi tena na mabomu ya polisi.

Jiandaeni tu kisaikolojia October 28!
 
Wakati mwingine ukishupaza shingo sana huwa linavunjika

NEC na kamati yao ile wanatafuta sababu ya kutoa adhabu kali zaidi na CHADEMA watafanya makosa makubwa kuingia huko mkenge. Ndio maana imebidi busara itawale zaidi na jazba ikae kando
Hii busara ndiyo mwanyq wa ccm kufanya yao
 
Wamekubwliana na tume kwamba Lisu asitishe kampeni mpk tarehe 9/10
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…