Insane wa kweli unamjua, na unamshabikia na amekufanya na wewe uwe insane!Pinga usipinge, TL ni insane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Insane wa kweli unamjua, na unamshabikia na amekufanya na wewe uwe insane!Pinga usipinge, TL ni insane
Wee fara kweli! Hiyo hukumu ni lazima itumikiwe, ingawa siyo ya haki, lakini ni ya halali. Hapa wewe, unafahamu fika wasipoitii, ni makosa, na hapo watakuwa wametengeneza kosa lingine. Na hilo ndio ombi lako litokee. Usifikirie hao jamaa ni wajinga kwa kuweza kufanya kama hayo MATAMANIO yako wewe TAGA!Binafsi naona watapoteza kura nyingi sana za wale wanaohofia kura kuibiwa. Wengi waliamini ktk msimamo usiyo yumba wa Lisu na chama. Sasa kwa maamuzi haya stori zitakuwa zile zile za miaka yote
Kwani Lisu sio mtanzania? ni mbelgiji?Hili la watanzania kuwa waoga linajulikana Sana. Na ndiyo maana wananchi tumeweka matumaini yetu makubwa kwa mtu jasiri asuyeogopa kitu...Tundu lisu.
Sasa kama ubatili huu unaheshimiwa. Badi na ubatili mwingine mkubwa wa mawakala kukataliwa na kura kuibiwa vitakuwa halali pia.Wee fara kweli! Hiyo hukumu ni lazima itumikiwe, ingawa siyo ya haki, lakini ni ya halali. Hapa wewe, unafahamu fika wasipoitii, ni makosa, na hapo watakuwa wametengeneza kosa lingine. Na hilo ndio ombi lako litokee. Usifikirie hao jamaa ni wajinga kwa kuweza kufanya kama hayo MATAMANIO yako wewe TAGA!
Ni mtanzania lkn ana msimamo wa kipekeeKwani Lisu sio mtanzania? ni mbelgiji?
Be reasonable.Kuna harufu ya uwoga hapa.
Sasa mgombea ataanza saa ngapi kampeni za leo? Hapa tushapata majibu tayari. Kamati kuu imeufyata kwa tume.
Sipo uko mkuu.Ukichunguza kwa makini Lisu huyu wa leo siye yule wa zamani kabla hajapelekwa ubelgiji.
We chunguza tu utagundua.
Intelligence yake imeshuka saaana!
I am sure kuna kitu wazungu wamemfanyia kudestroy some of his brain cells.
Mkuu nadhani tuwe watulivu tusubiri maamuzi maana kamati kuu ina wajumbe zaidi ya 20 so lazima wame debate na kuweka options zote mezani wakaona ipi ina faida kubwa zaidi.Ni busara hii hii ndiyo ilifanya 2015 tukaambiwa ooh Edo kashinda lkn muwe watulivu tutaenda ICJ. .....mpk leo kimya.
Sasa na uchaguzi huu chadema itapigwa (itaibiwa) mchana kweupee kisa busara.
Nafikiri viongozi wa Chadema Kuna kitu Cha ziada zaidi ya ukombozi wanachopigania. Wameniudhi sana, kwenda kinyume na Lisu.
Kuna barua ya maamuzi tushaiona mkuu.Mkuu nadhani tuwe watulivu tusubiri maamuzi maana kamati kuu ina wajumbe zaidi ya 20 so lazima wame debate na kuweka options zote mezani wakaona ipi ina faida kubwa zaidi.
Maana huu ni mtego wa CCM kuona reaction kwa hiyo kutakachoamuliwa leo ndio kitaamua hatma ya upinzani hapo October 28.
Mara hii umekwishasahau busara kubwa alizotumia Mbowe hadi CHADEMA ikafikia hapa?Lisu amemtega Mbowe. Ni ama aheshikike ama adhauraulike. Maamuzi ya mgombea tunayajua, maamuzi ya kamati yakiwa kinyume na yale ya mgombea Mbowe utapwaya sana
Lisu toka ateuliwa ana hasira ana dharau kubwa mno kwa wajumbe wa kamati kuuNahisi hivyo wanachama wanamkubali sana TL lakini uongozi haumkubali chini ya MBW
Ungetoa mchango wa maana sana kama ungetumia wakati kubuni nini akifanye Lissu katika muda huo wa siku saba alizopewa ili kampeni zake zizidi kuimarika zaidi.Kuna barua ya maamuzi tushaiona mkuu.
Maamuzi ni kwamba kamati kuu imeridhia adhabu ya tume kwa mgombea urais hivyo ataitumikia mok tarehe 9/10.
Kinachotakiwa ni wafuasi walioanza kujenga ujasiri wafahamu kwamba mgombea na chama wana utiifu kwa mamlaka. Ni hilo tu tukielekea oct 28.Mkuu nadhani tuwe watulivu tusubiri maamuzi maana kamati kuu ina wajumbe zaidi ya 20 so lazima wame debate na kuweka options zote mezani wakaona ipi ina faida kubwa zaidi.
Maana huu ni mtego wa CCM kuona reaction kwa hiyo kutakachoamuliwa leo ndio kitaamua hatma ya upinzani hapo October 28.
Nani kakuuliza ulipo? acha ulimbukeniNliwambia mapema hamkusikia Pambaneni na hali zenu mi nipo Hapa Denmark nakula maisha tuu
Lini ulimwamini.baada ya hapo siwezi tena muamini Lisu.
ama kweli akili za kuambiwa changanya na za kwako...
Ni jambo jema!
Mbowe ni mfanyabiashara na Tundu Lisu ni mwanaharakati so maslahi yao siasani ni tofauti sana.
Maendeleo hayana vyama!
Then wame weigh options maana pale mwenye maamuzi sio Mbowe ila ni kura na walio wengi ndio wanasikilizwa. Kwahiyo wanajua zaidi kuliko sisi tuliopo huku nje kuhusu situation.Kuna barua ya maamuzi tushaiona mkuu.
Maamuzi ni kwamba kamati kuu imeridhia adhabu ya tume kwa mgombea urais hivyo ataitumikia mok tarehe 9/10.