CHADEMA yajiondoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Waziri Jafo awashangaa kususia uchaguzi

Mbowe alichelewa sana kufanya haya maamuzi yeye na kamati kuu

Ila pamoja na hayo wamefanya vyema kutokushiriki huo ujambazi unaoitwa uchaguzi wa serikali za mitaa
 

Unajifunza propaganda lakini huzipatii, kwa hiyo uchaguzi huu uandikishaji ulikuwa siku 30?
 

Mlenta mada nawe ni ng’ombe tu. ACT itang’aaje wakati wagombea wote wameenguliwa?
 
Nyasaka hapa jijini Mwanza, mgombea mmoja kwenye fomu zake aliandika kazi yake ni dereva, akaambiwa aweke nakala ya leseni yake ya udereva kumbe hana, ila pia anaishi kwenye nyumba ya kupanga(si mkazi wa eneo hili) nasikia naye ameshindwa kuwa na vigezo jina lake limeondolewa, nauliza kama kaonewa ili nami nijiunge naye tususe kuitambua serikali ya mtaa itakayochaguliwa.
 
Jafoooo,baa.Hivi somo kweli utasimama leo na kusali sala ya isha?
 
Mleta mada na wewe ni kenge mlemavu,badala umshauli mchumia tumbo mwenzio Zitto,ili aonekane ni mpinzani wa kweli,wewe unasema ameokota dodo,hata chama chenu na kiongozi wako Mkuu msipo jitoa,ni wajinga wachache sana mliobaki kama wewe mtaenda kupiga kura.
 
Mimi nilifikiri masisie leo yangeonekana barabara kushangilia Chadema kujitoa badala yake inaumia sasa yameanza kushawishi ACT ishiriki. Pumbavu piteni bila kupingwa muanze kuchekana wenyewe
 
Sasa ndio nimepàta majibu ni kwa nini jimbo LA Chato kuna mtu alikuwa anapita ubunge bila kupingwa kwa miaka 10 mfululizo kumbe mbinu zenyewe ni za kishamba sana.

Huyo ndio zilikuwa zake, hiyo tabia yake binafsi ndio kaipandikiza katika nchi nzima.
 
Kweli zitto kapata fursa adimu kabisa aiseee
 
ndipo tulipofikia na safari bado inaendelea, Tanzania ya vibanda
 
Kawaida yao walikuwa wanatafuta mlango tu!

Hamuwezi siasa za ushindani, na huo upuuzi kupandikiza jiwe ndani vya ccm. Na kwakuwa ccm ilikuwa imechoka kushindana imeona ni sawa huu uhayawani uendelee.
 
Afadhali, INAKUBALIKA KAMA HUJAJIPANGA, UNA-RETREAT KISHA UNA-REGROUP.....
Hapa nimewapongeza chadema. Sasa mjipange vizuri, mkija hovyo 2020 WATANZANIA watawafyekelea mbali kwenye boks la kura.
 
Hamuwezi siasa za ushindani, na huo upuuzi kupandikiza jiwe ndani vya ccm. Na kwakuwa ccm ilikuwa imechoka kushindana imeona ni sawa huu uhayawani uendelee.
Mnalia lia toka 1995....
Watanzania tumewakataa upinzani huu wa kinafiki...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…