CHADEMA yajiondoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Waziri Jafo awashangaa kususia uchaguzi

Wao wanavyocheza rafu hawaoni kama wananyima wananchi haki?

Hata hivyo hiyo haki haipatikani kwa kuwapigia kura wagombea wa
CHADEMA tu

Wahamasishe wananchi wapigie kura wagombea wa CCM ili haki yao isipotee!

Wanasiasa wanatufanya sisi wajinga sana kwakweli.
 
Who gains and who loses referee akiwapa ushindi ivyo ivyo na TFA wakiwazawadia 3 juu?

Unapofanya maamuzi lazima ufikirie yana impact gani kwako vinginevyo ni kujirudisha nyuma wewe mwenyewe.

Hakuna mwenye akili timamu anaona walichofanyiwa ni sawa, lakini kususa sio solution ni kama kumpiga chura teke it’s is gain not yours.
 
Kitendo cha viongozi wa upinzani kususia uchaguzi kwa kuorodhesha mapungufu kadhaa huenda ikawa na athari kwa uchaguzi wa mwakani kwa wafuasi wao kususia uchaguzi ujao,kwani hata kama watahamasishwa na vyama vyao bado wanachama wao wataona hakuna kilichobadilika na hivyo kutoona umuhimu kushiriki uchaguzi huo. Kwa hiyo waliyofanya leo mavuno mwakani.

NAWASILISHA.
 
Hizo ni hisia zako. Yeye ndio rais WAKO na wa Tanzania kwa mujibu wa katiba. Hivyo alishinda uchaguzi. Hutaki acha.

Yeye ni rais wangu kwa mujibu wa katiba na sio kwa kura yangu. Yeye ndio anayenajisi box la kura kwa sasa hapa nchini fullstop.
 
Haya maamuzi sahihi ila yamechelewa sana,sijui hata mlipopanga kushiriki mlikuwa mnafikiria nini.

Huwezi kufanya siasa na mtu asiyetayari kushindwa.
Hii ndo evidence based kila mtu anajua
 
MaCCM wote ni MAPUMBAVU sana. Huyu malaya wa cheo ni zaidi ya MPUMBAVU kabisa kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…