La Chadema kususa kutambua viongozi wa mitaa,vijijini na vitongoji maisha ya wanachadema wenye kushikilia hiyo misimamo maisha yao hayatasonga sababu hawataweza kuuza au kununua migodi ,mashamba ,nyumba nk bila kuidhinishwa na viongozi wa vitongozi,vijiji au mitaaCuf walisusia uchaguzi mkuu Zanzibar na maisha yanamesonga wazee
Haya kapokee buku 7 yako upesi.Mbowe wewe ni kiongozi wa chama cha siasa.
Lengo kuu la chama chochote ni kushika dola.
Unatakiwa kutambua kususia uchaguzi maana yake ni kuwadhulumu wananchi.
Sio kila mtaa majina yamekatwa, sasa madudu mliyofanya huko kwenu Hai unataka tuumie na tusiousika.
Hiki chama sio cha viongozi, maana ya maamuzi yenu ni kuua chama, serikali inaanzia mtaani, kama mnaona hamtendewi haki mbona ubunge mnaendelea?
Mbowe ni jipu litumbuliwe.
Au waliouziwa mtihani feki sasa kapewa wa ukweli anukataa, akitaka ule feki.Hapa ni sawa na mwanafunzi aliyezoe kupiga chabo kwenye mtihani akapangwa darasa zima peke yake
Ndio umewatambua hapo ukiomba muhuri wake mkuu acha mambo ya kuchekeanaHutumii akili zako vizuri ndugu kumbuka kukuchekea siyo kufurahi na wewe
Mbowe wewe ni kiongozi wa chama cha siasa.
Lengo kuu la chama chochote ni kushika dola.
Unatakiwa kutambua kususia uchaguzi maana yake ni kuwadhulumu wananchi.
Sio kila mtaa majina yamekatwa, sasa madudu mliyofanya huko kwenu Hai unataka tuumie na tusiousika.
Hiki chama sio cha viongozi, maana ya maamuzi yenu ni kuua chama, serikali inaanzia mtaani, kama mnaona hamtendewi haki mbona ubunge mnaendelea?
Mbowe ni jipu litumbuliwe.
Kinachoendelea utamsikia Jiwe akisema wenyeviti hao watakaochaguliwa walipwe mshahara na malupulupu ili wawatumikie wananchi vizuri, usafiri shangingi la kwenda ofisini, at nchi tajiri. Mavi kabisaKweli kabisa kazi imeanza. Ngoja tuone nani ata bow down. Time always tells the truth.
Ukweli siku zote ni mchungu! Na dawa chungu ndio huponesha.Bora baba ako angetumia mpira ila si kwa uchafu huu alioleta duniani.
Wataandika kwenye safari wafuasi deli wa CDM na kujipigia kura. Ukienda vituoni utakuta wako bize kujaza Kira walixoigia nyumbani kwenye masanduku
Viongozi wenu wanasema wawasusie viongozi watakaochaguliwa. Mi nakubali. Lakini viongozi hao walifikiria kabla ya kutoa tamko?Kinachoendelea utamsikia Jiwe akisema wenyeviti hao watakaochaguliwa walipwe mshahara na malupulupu ili wawatumikie wananchi vizuri, usafiri shangingi la kwenda ofisini, at nchi tajiri. Mavi kabisa
Safi Mbowe kacheza Kama Mchezaji wa zamani wa Moira Pele.DJ kanyooka anamgwaya meko balaa, yani kiufupi kaufyata sasa anawauza wenzie awamu ya pili
Awamu ya kwanza kawauza kwa EDO
Awamu ya pili anawauza kususia uchaguzi eti hatutawatambua viongozi ambao watachaguliwa yani utoto utoto tu hivi hawa si walisema hawatamtambua meko wakasusia mpaka kikao siku anahutubia bunge je leo bado hawamtambui
DJ kawauza wenzake tena CDM imernda na Dr slaa.
Mi nilishanawa mikono siku nyingi.Hakuna kushiriki wajipitishe wenyewe tu, tuone.
Kwa upande wa uchaguzi hauwezi kwenda kwa maelekezo kwa kuwa ni chombo huru kinachojitegemea.
Ivi unaelewa maana ya kutengwa wewe na familia yako huko vijijini. Kwa sehemu ambazo upinzani mdogo haitasumbua but .... huko kwingine watapata shida, kumbuka kuna maisha mengine nje ya siasa Ndio watakavyofanyiwa hao wenyeviti. Kuuza au kununua migodi unatumia wakili mnamalizana mahakamani, kama mahakama itamhitaji huyo kibaraka wa ccm kivyake.La Chadema kususa kutambua viongozi wa mitaa,vijijini na vitongoji maisha ya wanachadema wenye kushikilia hiyo misimamo maisha yao hayatasonga sababu hawataweza kuuza au kununua migodi ,mashamba ,nyumba nk bila kuidhinishwa na viongozi wa vitongozi,vijiji au mitaa
Uwezo huo hawana. Tatizo ambalo limesumbua sana upinzani kwa muda mrefu ni kuwa wanasiasa ndio wana mikakati wa upinzani. Matokeo yake haya unayoyaona mtalaumu Magufuli bure. Hawakuwa na mbinu nyingine yeyote wakati wa JK; unafikiri watapata sasa? Upinzani hauitaji mbinu nyingine tu; unahitaji uongozi mpya kabisa. Kama wangeniuliza mimi. Hapa mtazungushana hadi hawa wengine watazeeka huku mkiwaangalia; angalieni ya kina Besigye... na yaliyowakuta kina Tshikedi..
Ukate Rufaa wakati unajua fika kabisa hakuna utawala wa sheria nchi hii!?Huwezi jua mkuu,rufaa ndio ingeamua lakini ndio hivyo kwa bahati mbaya mwenyekiti kabadili gia angani.
. Kuuza au kununua migodi unatumia wakili mnamalizana mahakamani, kama mahakama itamhitaji huyo kibaraka wa ccm kivyake.