Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Mhe. Mbowe anasema kuwa Mkoa wa Dar es Salaam wote wameenguliwa isipokuwa 24 tu, Jiji la Mbeya na Arusha wote wameenguliwa. Kweli?. Kama ni kweli siku ya kura jumla ya watu watakopiga kura hawatafika hata 10% kwa wale watu 19 Millioni waliojiandikisha. Ilikuwa busara wote waingie uwanjaniwote na CCM ingepata 96% kwenye uchaguzi huu. Viongozi mnaosimamia uchaguzi MMEKOSEA SANA. Mtakuja kujuta.
Sababu hasa ya ccm kuvuruga huu uchaguzi ni ccm kujua idadi ya watu waliojiandikisha ni wachache sana. Hivyo ili kuficha aibu ya watu wachache wameona bora wapitishe wanaccm karibia wote ili kuficha aibu ya watu kususia huo uchaguzi. Kumbuka wanajisifia kuwa wanakubalika, sasa kama wapiga kura watakuwa wachache watatambaje kukubalika?