CHADEMA yatangaza kumwaga mishahara kwa watendaji wake wote kuanzia ngazi ya chini Kabisa


Hebu kaa kwa kutulia boss, maana naona umeshakata pumzi.
 
Naona tunaleta mbwembwe kama za abunuasi.

Yaani kulipa mishara watendaji wa chama na kuimarisha chama?

Kama hata ofisi tu tumeshindwa ndio tutaweza kufanya haya?

View attachment 1815280

View attachment 1815307
Tumaliza ofisi za kila jimbo, mkoa then kila jiji katika Kanda tunapandisha jengo la ghorofa la maana , ili mpasuke KWA stress,

Chadema inaenda kua chama bilionea baran Afrika , chochote tutafanya KWA kujiachia
 
Luzuku hawalipwi na hawana miradi yoyote duniani fedha utatoa wapi usiwadanganye viongozi wezako PH.e.m
 
Simba na Yanga ni timu zenye washabiki wengi hapa nchini, na zina miaka zaidi ya 50@, lakini hazina viwanja vyake vya binafsi na bado wanalipa mishahara, ndio itakuwa cdm? Muuza face unakwama wapi?
Dah! Kazi ipo....
 
Simba na Yanga ni timu zenye washabiki wengi hapa nchini, na zina miaka zaidi ya 50@, lakini hazina viwanja vyake vya binafsi na bado wanalipa mishahara, ndio itakuwa cdm? Muuza face unakwama wapi?
Two wrongs don't make it right

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
 
Siku CDM wakijua mwenyekiti wao ni jamaa yetu pale down town salamander na Posta basi Jesus atakuwa amesharudi......
 
Si , unajua tena! CCM na Rushwa ni pete na kidole!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…