The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema mh Joseph Mbilinyi amesema atashiriki Maandamo ya 24 January akiwa na Watoto wake wawili Shawn na Freeman
Sugu amesema ameona ni vema Watoto wake washuhudie Mwanzo wa mabadiliko kamili nchini
My take: Sidhani kama Sugu ana Uelewa wa Haki za Watoto
Safi amefikiria vyema sio kutumia watoto wa wengine washuhudie baba akijificha mtaroni!Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema mh Joseph Mbilinyi amesema atashiriki Maandamo ya 24 January akiwa na Watoto wake wawili Shawn na Freeman
Sugu amesema ameona ni vema Watoto wake washuhudie Mwanzo wa mabadiliko kamili nchini
My take: Sidhani kama Sugu ana Uelewa wa Haki za Watoto
Ngoja tuoneSafi amefikiria vyema sio kutumia watoto wa wengine washuhudie baba akijificha mtaroni!
Wapigeni risasi watotoMjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema mh Joseph Mbilinyi amesema atashiriki Maandamo ya 24 January akiwa na Watoto wake wawili Shawn na Freeman
Sugu amesema ameona ni vema Watoto wake washuhudie Mwanzo wa mabadiliko kamili nchini
My take: Sidhani kama Sugu ana Uelewa wa Haki za Watoto
Hapa siyo GazaWapigeni risasi watoto
Na wale wa kwenu mnaowavalisha magwanda ya mboga mboga mbona hamsemiMjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema mh Joseph Mbilinyi amesema atashiriki Maandamo ya 24 January akiwa na Watoto wake wawili Shawn na Freeman
Sugu amesema ameona ni vema Watoto wake washuhudie Mwanzo wa mabadiliko kamili nchini
My take: Sidhani kama Sugu ana Uelewa wa Haki za Watoto
Hakuna wa kuandamana. Chama kilishapoteza mamlaka na uhalali wake kwa wananchiUkweli ni kuwa sasa CCM imechanganyikiwa
.
Wanahofu ya maandamano.
Kila kona wanaimba juu ya maandamano ya tar 24.
Na sisi tunaandamana nchi nzima.View attachment 2875546
Ndiyo mngealika majeshi na mitutu ya bunduki waje wawasaidieni? Nafikiri maandamano wanayoitisha ndiyo ingekuwa kipimo bora kabisa cha kupimia kukubalika kwa Chadema. Waacheni waandamane nyie hofu yenu nini?Hakuna wa kuandamana. Chama kilishapoteza mamlaka na uhalali wake kwa wananchi
Naunga mkono hoja, hata mimi nimeshauri hivyoNafikiri maandamano wanayoitisha ndiyo ingekuwa kipimo bora kabisa cha kupimia kukubalika kwa Chadema. Waacheni waandamane nyie hofu yenu nini?
Wewe ulisoma shule gani mjinga wewe. Yaani katika mambo yote wanayodai chadema wewe umeona la wabunge wawili tu? Sasaivi kuna mbunge mmoja kila jimbo mbonaHakuna mtanzania mwenye akili timamu na anayejitambua anayeweza kuunga mkono ujinga wa CHADEMA wa kutaka kuwa na wabunge wawili katika kila jimbo. Yaani sisi watanzania na akili zetu tuandamane kuwaunga mkono CHADEMA na mawazo yao finyu ya kutuongezea mzigo wa gharama ya kuwahudumia wabunge wawili wawili kila jimbo? Kwamba CHADEMA inatuona ni wajinga sisi watanzania? Au mbowe anafikiria kuwa sisi ni wajinga kama anavyowachukulia wafuasi wake kama watu wasio na akili na wanaofanana akili Na nyumbu na wanaoweza kubadilishiwa gia mahali popote pale kama alivyofanya 2015?
Sasa kama mbowe anataka maandamano aandamane yeye na mke wake na watoto wake ndio wawe mbele .na siyo kutanguliza watoto wa watu mbele huku yeye akiwa kwenye Tv akila Minofu ya nyama nakushushia bia. Mbona hajawahi kuongoza maandamano kwa kuwa mbele? Mbona watoto wake hawajawahi kushiriki maandamano? Je Watoto wake siyo Watanzania? Mbowe aache ubabaishaji na kuficha udhaifu wake wa kushindwa kuliongoza chama kutokana na kuwa na mawazo mgando na kufika kikomo cha mwisho kifikra baada ya kukaa muda mrefu madarakani tokea 2004 .
it's OK kuandamana kushinikiza mabadiliko lakini sheria ikiisha tungwa maandamano hayasaidii kitu, it needs legal redress.
Semeni kingineSafi amefikiria vyema sio kutumia watoto wa wengine washuhudie baba akijificha mtaroni!
View attachment 2870448
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza maandamano ya amani Januari 24 mwaka huu mkoani Dar es Salaam kuishinikiza Serikali kuzingatia maoni ya wadau kuhusu masuala ya uchaguzi.
Maandamano hayo kabambe ya kupigania haki yataanzia Jijini Dar es Salaam na Yatafanyika 24/1/2024
Taarifa hii Kabambe iliyokuwa inasubiriwa na Wananchi wote imetangazwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe mbele ya vyombo vyote vikubwa vya Habari vya Kimataifa pamoja na vyombo vidogo vya Tanzania .
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE
Uko sahihi,tunatarajia kukuona mstari wa mbele siku hiyo na si kubakia kuwa mtoa hamasa tu.Wewe ni mwana CCM na ushauri wako ni mbovu. Maandamano yanabadilisha Sheria kwenye nchi kubwa kama U.S sembuse huku! Sehemu nyingine hata Serikali zinatolewa kwa maandamano. Unaongea nini wewe.
Vipi una keep tabs?Uko sahihi,tunatarajia kukuona mstari wa mbele siku hiyo na si kubakia kuwa mtoa hamasa tu.