The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema mh Joseph Mbilinyi amesema atashiriki Maandamo ya 24 January akiwa na Watoto wake wawili Shawn na Freeman
Sugu amesema ameona ni vema Watoto wake washuhudie Mwanzo wa mabadiliko kamili nchini
My take: Sidhani kama Sugu ana Uelewa wa Haki za Watoto
Haki za watoto ni kuvaa sare za Chipukizi ......!!