Umerogwa wewe chumia tumbo wa LumumbaMpaka Leo hawana ofisi, na hawajawahi kuandamana kushinikiza mwenyekiti wao awajengee ofisi, Leo wanaandamana kuda waongeze wabunge kwenye kila jimbo, sasa hawa si ni zaidi ya ng'ombe!!
Nenda kahiji kwenye kaburi la shujaa wenu labda utapata akiliBasi uje uandamanane na mbowe wako ili uone cha mtema kuni.
Mama yakoWenye akili za ng'ombe ni waliokuzaa
Hawezi kuacha maana njaa ndiyo inaongoza ubongo wakeAcha unafiki wewe
Sasa mbowe anataka awadanganye Watanzania halafu yeye akae pembeni na chupa ya pombe mkononi akiwa kajificha huko Machame.Mke wa Mbowe hana ujinga huo
Tutakuwepo wengi sanaaNtakuwepoooooo
We na wenzio ni mazombie tu ya MboyeUmerogwa wewe chumia tumbo wa Lumumba
Hoja yako haina mashiko , imejaa umasikini wa fikraKabla ya sisi kuandamana tunapenda kuona Mbowe , mke wa mh.Mbowe na watoto wake wakiwa msitari wa mbele kuongoza maandamano ,Pia Lisu na mke wake pamoja na watoto wakiwa msitari wa mbele .Sisi sote tutafuata.
Hao wametoka Moshi wanatafuta Mafala wa damu za kafalaNataka nione watakavyoandamana kama wale wanaojiita Sauti ya Tanzania kina Mwambukusi na wapuuzi wengine ππ
We Mmawia Tokea uanze kumpigia promo Mboye, umewahi kugawiwa karuzuku hata kiasi?? Au mibangi tu mnayovuta na smart gin mnazogawiwa?Nenda kahiji kwenye kaburi la shujaa wenu labda utapata akili
Sasa mbowe anataka awadanganye Watanzania halafu yeye akae pembeni na chupa ya pombe mkononi akiwa kajificha huko Machame.
Fisi weweNg'ombe ni babako na mamako
Machame gorofani ππSasa mbowe anataka awadanganye Watanzania halafu yeye akae pembeni na chupa ya pombe mkononi akiwa kajificha huko Machame.
Tapeli akiwa na nyumbu wake wasiojitambua wala kujielewa.
Nashauri siku hiyo hiyo yaitishwe na Mkoani MbeyaTutakuwepo wengi sanaa
Huna hoja wewe mzee wa kukurupukaUmerogwa wewe chumia tumbo wa Lumumba
Hii safi sana. CCM wametunga hiyo miswada ya uchaguzi kwa kujinufaisha wao wenyewe. CHADEMA wamewashtukia mapema sana wapuuzi wakubwa!View attachment 2870448
Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka Makao Makuu ya Chadema Mikocheni .
Maandamano hayo kabambe ya kupigania haki yataanzia Jijini Dar es Salaam na Yatafanyika 24/1/2024
Taarifa hii Kabambe iliyokuwa inasubiriwa na Wananchi wote imetangazwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE
ACT wazalendo π
Hakuna mpuuzi wa kuunga mkono ujinga na upuuzi huo wa CHADEMA. Ninyi endeleeni kuliwa Ruzuku na michango yenu huko huku mkiswagwa kama mang'ombe kupelekwa machinjioni.Hii safi sana. CCM wametunga hiyo miswada ya uchaguzi kwa kujinufaisha wao wenyewe. CHADEMA wamewashtukia mapema sana wapuuzi wakubwa!