Pre GE2025 CHADEMA yatangaza Maandamano Kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa Bungeni

Pre GE2025 CHADEMA yatangaza Maandamano Kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa Bungeni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hakuna mpuuzi wa kuunga mkono ujinga na upuuzi huo wa CHADEMA. Ninyi endeleeni kuliwa Ruzuku na michango yenu huko huku mkiswagwa kama mang'ombe kupelekwa machinjioni.
Wewe kapuku huiwezi Chadema hata kwa Uchawi
 
This is where Chadema does it wrong!. Matatizo ya kisiasa, yanahitaji ufumbuzi wa kisiasa, Matatizo ya kisheria, yanahitaji ufumbuzi wa kisheria. Kwavile sheria yenyewe bado ni muswada, haijatungwa, it's OK kuandamana kushinikiza mabadiliko lakini sheria ikiisha tungwa maandamano hayasaidii kitu, it needs legal redress.

Sometimes maandamano sio solutions ya kila kitu!. Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele!

Pia CHADEMA Chama cha Ajabu Sana!.Kwenda Mahakamani Kwa Non Issue, Serious Issue ya Katiba ni UKUTA!.

P
"CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE",
 
Hakuna mpuuzi wa kuunga mkono ujinga na upuuzi huo wa CHADEMA. Ninyi endeleeni kuliwa Ruzuku na michango yenu huko huku mkiswagwa kama mang'ombe kupelekwa machinjioni.
Mijitu mipuuzi kama wewe mtajuaje umuhimu wa demokrasia. CCM wamewashikia akili wanawapelekesha kama minyumbu huku wao wakiendelea kutafuna keki ya taifa. Mipuuzi kama wewe ni zaidi ya panyaroad wa Chalamila. Bora muuawe tu. Kufulilah!
 
Mijitu mipuuzi kama wewe mtajuaje umuhimu wa demokrasia. CCM wamewashikia akili wanawapelekesha kama minyumbu huku wao wakiendelea kutafuna keki ya taifa. Mipuuzi kama wewe ni zaidi ya panyaroad wa Chalamila. Bora muuawe tu. Kufulilah!
Hakuna wa kuwaungeni mkono ninyi mafisi wa CHADEMA
 
This is where Chadema does it wrong!. Matatizo ya kisiasa, yanahitaji ufumbuzi wa kisiasa, Matatizo ya kisheria, yanahitaji ufumbuzi wa kisheria. Kwavile sheria yenyewe bado ni muswada, haijatungwa, it's OK kuandamana kushinikiza mabadiliko lakini sheria ikiisha tungwa maandamano hayasaidii kitu, it needs legal redress.

Sometimes maandamano sio solutions ya kila kitu!. Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele!

Pia CHADEMA Chama cha Ajabu Sana!.Kwenda Mahakamani Kwa Non Issue, Serious Issue ya Katiba ni UKUTA!.

P
Naunga mkono hoja yako. Nilitegemea Sana Kwa vile serikali haijaleta schedule of amendments, huwezi kulalamikia kitu ambacho hakijafika angalau kwenye wasilisho la mwisho. Mpaka Sasa serikali inaweza kuja marekesho ambayo yatakidhi Kila kitu, je maandamano yatasimama?
 
This is where Chadema does it wrong!. Matatizo ya kisiasa, yanahitaji ufumbuzi wa kisiasa, Matatizo ya kisheria, yanahitaji ufumbuzi wa kisheria. Kwavile sheria yenyewe bado ni muswada, haijatungwa, it's OK kuandamana kushinikiza mabadiliko lakini sheria ikiisha tungwa maandamano hayasaidii kitu, it needs legal redress.

Sometimes maandamano sio solutions ya kila kitu!. Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele!

Pia CHADEMA Chama cha Ajabu Sana!.Kwenda Mahakamani Kwa Non Issue, Serious Issue ya Katiba ni UKUTA!.

P
Mr P, Chadema haitakuwa sahihi hata siku moja, enzi za Tanu waliandamana na CCM wameandamana na maandamano hayatatui tatizo yanafanyika ili kufikisha ujumbe kwa jumuia unapokataliwa kusikilizwa, huenda hata wewe ulipokuwa chuoni uliwahi kushiriki. Mr. P, CCM inakosea sana kuogopa kupokea maoni, maoni ni maoni tu haulazimiki kuyakubali yatimizwe, mkorofi siku zote huwa na hasira anapopelekewa maoni kwa sababu anakuwa tayari ana mipango yake ambayo anataka wote wayakubali bila kutoa maoni. Kwenye 4R kuna kuvumiliana na kusikilizana na ukiamua ufanye siasa za 4R uwe tayari kusikiliza maoni na ushauri, si lazima utimize ulichopewa, hapo ndipo mnapofeli kwa kuamini wenzenu ni manyani.
 
Unaacha kuandamana kudai katiba mpya halafu unaitisha maandamano kwa ajili ya mambo ya uchaguzi ya kugawana vyeo?.

Walimsabbotage Mwabukusi alipoitisha maandamano ya Kitu kikubwa zaidi ( KATIBA MPYA), ila eti wao wanaitisha maanadamano kwa sababu ya mambo ya uchaguzi.

Waende wakaandamane wao wanaotaka kuingia bungeni!.

Hakuna mtu yeyote makini anaweza kuona kuwa hayo maandamano yanakidhi mahitaji ya msingi ya wananchi wa Tanzania kwa sasa.
Chadema wanakuwaga na ujinga Mwingi wakati fulani!
 
View attachment 2870448

Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka Makao Makuu ya Chadema Mikocheni .

Maandamano hayo kabambe ya kupigania haki yataanzia Jijini Dar es Salaam na Yatafanyika 24/1/2024

Taarifa hii Kabambe iliyokuwa inasubiriwa na Wananchi wote imetangazwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe mbele ya vyombo vyote vikubwa vya Habari vya Kimataifa pamoja na vyombo vidogo vya Tanzania .


CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE

[emoji28][emoji28][emoji28] we jamaa uwasilishaji wako unafurahisha sana
 
Bora hata ng'ombe ana akili . CHADEMA akili zao ni kama nyumbu tu.kwa sasa wamejaa uroho kama mafisi.ndio maana wanapendekeza uwepo wa wabunge wawili katika kila jimbo ili matumbo yao yapate shibe vizuri huku wananchi wakibebeshwa mzigo wa gharama za kuwalipa. CHADEMA wanafiki Sana nawasio faa hata kusikilizwa kwa lolote lile.wamekuwa wajasiriasiasa
Mkuu una wazazi ambao wapo hai?
 
View attachment 2870448
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza maandamano ya amani Januari 24 mwaka huu mkoani Dar es Salaam kuishinikiza Serikali kuzingatia maoni ya wadau kuhusu masuala ya uchaguzi.

Maandamano hayo kabambe ya kupigania haki yataanzia Jijini Dar es Salaam na Yatafanyika 24/1/2024

Taarifa hii Kabambe iliyokuwa inasubiriwa na Wananchi wote imetangazwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe mbele ya vyombo vyote vikubwa vya Habari vya Kimataifa pamoja na vyombo vidogo vya Tanzania .


CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE
Salute kwa hili. " Serikali yetu ni serikali ya anasa" F.Mbowe
 
View attachment 2870448
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza maandamano ya amani Januari 24 mwaka huu mkoani Dar es Salaam kuishinikiza Serikali kuzingatia maoni ya wadau kuhusu masuala ya uchaguzi.

Maandamano hayo kabambe ya kupigania haki yataanzia Jijini Dar es Salaam na Yatafanyika 24/1/2024

Taarifa hii Kabambe iliyokuwa inasubiriwa na Wananchi wote imetangazwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe mbele ya vyombo vyote vikubwa vya Habari vya Kimataifa pamoja na vyombo vidogo vya Tanzania .


CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE


Wanapata sifa Sana wakizuiliwa

Serikali this time waaacheni
 
Back
Top Bottom