King Nkondo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2023
- 1,399
- 2,110
Maandamano tutafanyia playstation
Nani wa kuandamana sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani wa kuandamana sasa?
Safi sana. MaCCM lazima akili ziwakae sawa.
Wewe kapuku huiwezi Chadema hata kwa UchawiHakuna mpuuzi wa kuunga mkono ujinga na upuuzi huo wa CHADEMA. Ninyi endeleeni kuliwa Ruzuku na michango yenu huko huku mkiswagwa kama mang'ombe kupelekwa machinjioni.
"CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE",This is where Chadema does it wrong!. Matatizo ya kisiasa, yanahitaji ufumbuzi wa kisiasa, Matatizo ya kisheria, yanahitaji ufumbuzi wa kisheria. Kwavile sheria yenyewe bado ni muswada, haijatungwa, it's OK kuandamana kushinikiza mabadiliko lakini sheria ikiisha tungwa maandamano hayasaidii kitu, it needs legal redress.
Sometimes maandamano sio solutions ya kila kitu!. Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele!
Pia CHADEMA Chama cha Ajabu Sana!.Kwenda Mahakamani Kwa Non Issue, Serious Issue ya Katiba ni UKUTA!.
P
Ndiyo tatizo lenu kuyopenda kuuona na kuukubali ukweli.Akili zako za hovyo peleka lumumba huko mkajifunze jinsi ya kuongeza umasikini kwa watanzania.
Hakika !"CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE
Mijitu mipuuzi kama wewe mtajuaje umuhimu wa demokrasia. CCM wamewashikia akili wanawapelekesha kama minyumbu huku wao wakiendelea kutafuna keki ya taifa. Mipuuzi kama wewe ni zaidi ya panyaroad wa Chalamila. Bora muuawe tu. Kufulilah!Hakuna mpuuzi wa kuunga mkono ujinga na upuuzi huo wa CHADEMA. Ninyi endeleeni kuliwa Ruzuku na michango yenu huko huku mkiswagwa kama mang'ombe kupelekwa machinjioni.
Hakuna wa kuwaungeni mkono ninyi mafisi wa CHADEMAMijitu mipuuzi kama wewe mtajuaje umuhimu wa demokrasia. CCM wamewashikia akili wanawapelekesha kama minyumbu huku wao wakiendelea kutafuna keki ya taifa. Mipuuzi kama wewe ni zaidi ya panyaroad wa Chalamila. Bora muuawe tu. Kufulilah!
Naunga mkono hoja yako. Nilitegemea Sana Kwa vile serikali haijaleta schedule of amendments, huwezi kulalamikia kitu ambacho hakijafika angalau kwenye wasilisho la mwisho. Mpaka Sasa serikali inaweza kuja marekesho ambayo yatakidhi Kila kitu, je maandamano yatasimama?This is where Chadema does it wrong!. Matatizo ya kisiasa, yanahitaji ufumbuzi wa kisiasa, Matatizo ya kisheria, yanahitaji ufumbuzi wa kisheria. Kwavile sheria yenyewe bado ni muswada, haijatungwa, it's OK kuandamana kushinikiza mabadiliko lakini sheria ikiisha tungwa maandamano hayasaidii kitu, it needs legal redress.
Sometimes maandamano sio solutions ya kila kitu!. Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele!
Pia CHADEMA Chama cha Ajabu Sana!.Kwenda Mahakamani Kwa Non Issue, Serious Issue ya Katiba ni UKUTA!.
P
Mr P, Chadema haitakuwa sahihi hata siku moja, enzi za Tanu waliandamana na CCM wameandamana na maandamano hayatatui tatizo yanafanyika ili kufikisha ujumbe kwa jumuia unapokataliwa kusikilizwa, huenda hata wewe ulipokuwa chuoni uliwahi kushiriki. Mr. P, CCM inakosea sana kuogopa kupokea maoni, maoni ni maoni tu haulazimiki kuyakubali yatimizwe, mkorofi siku zote huwa na hasira anapopelekewa maoni kwa sababu anakuwa tayari ana mipango yake ambayo anataka wote wayakubali bila kutoa maoni. Kwenye 4R kuna kuvumiliana na kusikilizana na ukiamua ufanye siasa za 4R uwe tayari kusikiliza maoni na ushauri, si lazima utimize ulichopewa, hapo ndipo mnapofeli kwa kuamini wenzenu ni manyani.This is where Chadema does it wrong!. Matatizo ya kisiasa, yanahitaji ufumbuzi wa kisiasa, Matatizo ya kisheria, yanahitaji ufumbuzi wa kisheria. Kwavile sheria yenyewe bado ni muswada, haijatungwa, it's OK kuandamana kushinikiza mabadiliko lakini sheria ikiisha tungwa maandamano hayasaidii kitu, it needs legal redress.
Sometimes maandamano sio solutions ya kila kitu!. Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele!
Pia CHADEMA Chama cha Ajabu Sana!.Kwenda Mahakamani Kwa Non Issue, Serious Issue ya Katiba ni UKUTA!.
P
Chadema wanakuwaga na ujinga Mwingi wakati fulani!Unaacha kuandamana kudai katiba mpya halafu unaitisha maandamano kwa ajili ya mambo ya uchaguzi ya kugawana vyeo?.
Walimsabbotage Mwabukusi alipoitisha maandamano ya Kitu kikubwa zaidi ( KATIBA MPYA), ila eti wao wanaitisha maanadamano kwa sababu ya mambo ya uchaguzi.
Waende wakaandamane wao wanaotaka kuingia bungeni!.
Hakuna mtu yeyote makini anaweza kuona kuwa hayo maandamano yanakidhi mahitaji ya msingi ya wananchi wa Tanzania kwa sasa.
Wakipeleka maoni wajinga, maoni yao yakikataliwa kupokelewa wajinga! Kichwani mwako kuna funza wa kondoo.Chadema wanakuwaga na ujinga Mwingi wakati fulani!
Wewe uliyejaa utajiri wa fikra nenda msitari wa mbele utawaacha watoto wa Lema na Lisu wakiwa ulaya .Hongera sanaHoja yako haina mashiko , imejaa umasikini wa fikra
Mdanganyane Uchaggani huko huko mburura wahed!Wakipeleka maoni wajinga, maoni yao yakikataliwa kupokelewa wajinga! Kichwani mwako kuna funza wa kondoo.
View attachment 2870448
Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka Makao Makuu ya Chadema Mikocheni .
Maandamano hayo kabambe ya kupigania haki yataanzia Jijini Dar es Salaam na Yatafanyika 24/1/2024
Taarifa hii Kabambe iliyokuwa inasubiriwa na Wananchi wote imetangazwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe mbele ya vyombo vyote vikubwa vya Habari vya Kimataifa pamoja na vyombo vidogo vya Tanzania .
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE
Mkuu una wazazi ambao wapo hai?Bora hata ng'ombe ana akili . CHADEMA akili zao ni kama nyumbu tu.kwa sasa wamejaa uroho kama mafisi.ndio maana wanapendekeza uwepo wa wabunge wawili katika kila jimbo ili matumbo yao yapate shibe vizuri huku wananchi wakibebeshwa mzigo wa gharama za kuwalipa. CHADEMA wanafiki Sana nawasio faa hata kusikilizwa kwa lolote lile.wamekuwa wajasiriasiasa
Salute kwa hili. " Serikali yetu ni serikali ya anasa" F.MboweView attachment 2870448
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza maandamano ya amani Januari 24 mwaka huu mkoani Dar es Salaam kuishinikiza Serikali kuzingatia maoni ya wadau kuhusu masuala ya uchaguzi.
Maandamano hayo kabambe ya kupigania haki yataanzia Jijini Dar es Salaam na Yatafanyika 24/1/2024
Taarifa hii Kabambe iliyokuwa inasubiriwa na Wananchi wote imetangazwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe mbele ya vyombo vyote vikubwa vya Habari vya Kimataifa pamoja na vyombo vidogo vya Tanzania .
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE
Watanzania wapi unaowaongelea wewe kahaba? Tutaandamana na kama imekuuma paka mateLabda mbowe na mke wake tu .maana watanzania hawawezi kuunga mkono ujinga wa CHADEMA
View attachment 2870448
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza maandamano ya amani Januari 24 mwaka huu mkoani Dar es Salaam kuishinikiza Serikali kuzingatia maoni ya wadau kuhusu masuala ya uchaguzi.
Maandamano hayo kabambe ya kupigania haki yataanzia Jijini Dar es Salaam na Yatafanyika 24/1/2024
Taarifa hii Kabambe iliyokuwa inasubiriwa na Wananchi wote imetangazwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe mbele ya vyombo vyote vikubwa vya Habari vya Kimataifa pamoja na vyombo vidogo vya Tanzania .
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE