Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
"Nimeona kwenye mtandao, ndugu yangu balozi Dkt. Wilbroad Slaa na yeye akieleza mambo yake kwenye mtandao, moja ya watu ambao kwa miaka mingi nimewaheshimu, kwa umri wao, kwa nafasi zao, kwa usomi wao ni pamoja na Dkt Wilbroad Slaa.
Sasa na yeye pia nimuonye kwamba kwa umri wake, kwa hadhi yake, sio muda sahihi kutumika kulipotosha Taifa.
Ninamjua kabisa hata yeye anafahamu vizuri kuhusiana na mambo yote ambayo nayaeleza, Tanzania ya dkt Samia Suluhu Hassan anayokusudia kuijenga na aliyoanza kuijenga ni Tanzania yenye umoja.
Na ni Tanzania ambayo kwa mtu yoyote ana azma ya kutaka kufahamu, Serikali imekuwa very polite kwa mtu yeyote anayetaka kuja jambo kwa ufasaha."
Pia soma > Bandari na DP World: Dkt. Slaa asema ni uuzaji wa Nchi. Adai Serikali iliyopo ina uhalali wa wasiwasi