Chalamila: Namuonya Dkt. Slaa aache kupotosha taifa, Bandari haijauzwa

Chalamila: Namuonya Dkt. Slaa aache kupotosha taifa, Bandari haijauzwa

The same robot, Faiza fux
Tena ajabu sana, chadema wamemtumia kijana anaejulika kwa ushoga anaitwa Soka, ndiyo eti aanzishe maandamano ya kupinga bandari isiendeshwe na Waislam. Cheza na intelijensia ya Tanzania,

mwenyewe hakuwepo akabambwa huko huko laikojificha. akasema yeye ameahidiwa akianzisha maandamano atafanyiwa mpango apelekwe Denmark au Canada akapate ukimbizi. Akawataja na wengine wote aliowarubuni.

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Tena ajabu sana, chadema wamemtumia kijana anaejulika kwa ushoga anaitwa Soka, ndiyo eti aanzishe maandamano ya kupinga bandari isiendeshwe na Waislam. Cheza na intelijensia ya Tanzania,

mwenyewe hakuwepo akabambwa huko huko laikojificha. akasema yeye ameahidiwa akianzisha maandamano atafanyiwa mpango apelekwe Denmark au Canada akapate ukimbizi. Akawataja na wengine wote aliowarubuni.

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
[/QUOTE]
Auto reply ID xonfirmed. Now the war is real. Tanzania mainland is meant to end katika awamu hii
 
Tumeshawaelewa wanaoitakia mabaya Tanzania. Mwendazake alikuwa hacheki nao kabisa. Sasa wanamjaribu mama Samia.

Kunbe wametayarisha mabango kabisa ili wayapige picha wazichezee eti kuonesha nchi haitaki mkataba wa bandari.

Ni vyema Chalamila kaweka wazi, Tunafahamu Slaa katokea wapi na yuko wapi.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Sijui kuhusu dini ila I support bandari iendeshwe na investor, kelele nyingi lakini bandari tumefeli...
 
Anakula kuku kwa mrija
1687295730355.png
 
Kwenda wewe, tunefeki nini? Failure ni wewe. Wewe hata bandari umewshi. Kyiona?

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
JAMBO MUHIMU KWA WATANGANYIKA WOTE KUKUMBUKA:

Mosi
, aliyeratibu mkataba wa kitapeli baina ya Chief Mangungo na Karl Peters, kuuza ardhi yote ya Msovero ambayo ilikuwa ni sehemu ya Tanganyika ya kale alikuwa ni mwarabu raia wa Zanzibar aitwaye RAMADHANI.

Pili
, anayeratibu mkataba wa kitapeli baina ya Tanzania na Dubai, kuuza bandari zote za Tanganyika kwa waarabu wa Dubai ni mwanamke mwarabu kutokea Zanzibar aitwaye SAMIA HASSAN SULUHU, almaarufu kama CHIEF HANGAYA.

MORAL OF THE STORY: Stay vigilant, history is at the verge of repeating itself...
 
JAMBO MUHIMU KWA WATANGANYIKA WOTE KUKUMBUKA:

Mosi
, aliyeratibu mkataba wa kitapeli baina ya Chief Mangungo na Karl Peters, kuuza ardhi yote ya Msovero ambayo ilikuwa ni sehemu ya Tanganyika ya kale alikuwa ni mwarabu raia wa Zanzibar...
Naam na revenge inaendelea. Sikiliza leo kiongozi mmoja zenji kasemaje.
Dakika ya 9.15 hadi 12.
 
JAMBO MUHIMU KWA WATANGANYIKA WOTE KUKUMBUKA:

Mosi
, aliyeratibu mkataba wa kitapeli baina ya Chief Mangungo na Karl Peters, kuuza ardhi yote ya Msovero ambayo ilikuwa ni sehemu ya Tanganyika ya kale alikuwa ni mwarabu raia wa Zanziba...
Tatizo tumesitasita sana kumalizia kazi, da ni serikali moja, sio mbili.

 
Naam na revenge inaendelea. Sikiliza leo kiongozi mmoja zenji kasemaje.
Dakika ya 9.15 hadi 12.

Mwaka 2014 wakati Chief Hangaya ni waziri wa muungano, nilihudhuria kikao ambacho kilijadili muungano. Yeye na wazanzibari wenzake kama Dr Hirji walikuwepo. Mle ndani uliosomwa utafiti ambao wa maeneo ya makazi ya Tanzania. Ikafahamika kwamba, ndani ya 1 Square Kilometre kule Zanzibar zinakaa kaya 200, bali ndani ya 1 Square Kilometre huku Tanganyika zinakaa kaya 20 tu.

Ukizingatia jinsi wapemba wanavyopenda kuzaa hovyo kama Sungura, ndani ya muda siyo mrefu Zanzibar itakuwa haina nafasi, hivyo ni suala la muda tu. Kila siku navyorudi nyumbani napita pale Namanga Road naangalia maduka ya wapemba halafu nasema Hiiiiiiiiiii.....Kila siku wanaitukana Tanganyika lakini watawala wote wa kule akiwemo Jusa wanamiliki mali nyingi kweli huku bara na kuishi huku bara.
 
Mama anaupiga mwingi kimataifa.

========

RC Chamila: Nimeona kwenye mtandao, ndugu yangu balozi Dkt. Wilbroad Slaa na yeye akieleza mambo yake kwenye
Kama ameyasema hayo, basi Chalamila atakuwa na upunguani.

Yeye Chalamila amuonye Dr Slaa kama nani, na kwa mamlaka gani? Angekuwa na busara japo kidogo asingetumia neno kuonya, angetumia neno, 'namshauri'.

Rais Samia watakaomganya achukiwe na hawa wasaidizi waje waliokosa busara. Kwenye hili suala la mkataba wa DP, Rais Samia asipowapata wenye busara, litamharibia sana. Na akiharibikiwa, hawa ndumila kuwili alio nao, watamgeuka na kuanza kumshambulia.

Mpaka sasa Rais Samia, namwona ameamua kufuata busara kwa kukaa kimya bila shaka akitafakari na kupima upepo unavyoenda. Sasa kushindwa kwake au kufaulu ni siku atakapolitolea ufafanuzi jambo hili. Itayegemea ameamua kufuata ushauri wa watu gani, waropokaji au wenye hekima.

Kwa upande wa viongozi, mpaka sasa kiongpzi pekee aliyetoa kaulo yenye busara ni Majaliwa pekee yake.
 
Tatizo tumesitasita sana kumalizia kazi, da ni serikali moja, sio mbili.


Sisi tunataka Tanganyika yetu, hao wazanzibari kama wanaona fahari sana watoke tu waende wakajiunge na hao waarabu wa Oman ili hata nchi yao itawaliwe kupitia sharia. Wanaogopa nini ilhali Raisi ni Mzanzibar mwenzao...?
 
Tena ajabu sana, chadema wamemtumia kijana anaejulika kwa ushoga anaitwa Soka, ndiyo eti aanzishe maandamano ya kupinga bandari isiendeshwe na Waislam. Cheza na intelijensia ya Tanzania,

mwenyewe hakuwepo akabambwa huko huko laikojificha. akasema yeye ameahidiwa akianzisha maandamano atafanyiwa mpango apelekwe Denmark au Canada akapate ukimbizi. Akawataja na wengine wote aliowarubuni.

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Inaonekana mashoga wote mnajuana. Mnatumia kigezo gani kutambuana? Maana sisi wengine huwa hatuna uwezo wa kuwatambueni.

Mbona wewe pamoja na ushoga wako, bado umepewa uhuru wa kutumia JF?
 
Mwaka 2014 wakati Chief Hangaya ni waziri wa muungano, nilihudhuria kikao ambacho kilijadili muungano. Yeye na wazanzibari wenzake kama Dr Hirji walikuwepo. Mle ndani uliosomwa utafiti ambao wa maeneo ya makazi ya Tanzania. Ikafahamika kwamba, ndani ya 1 Square Kilometre kule Zanzibar zinakaa kaya 200, bali ndani ya 1 Square Kilometre huku Tanganyika zinakaa kaya 20 tu.

Ukizingatia jinsi wapemba wanavyopenda kuzaa hovyo kama Sungura, ndani ya muda siyo mrefu Zanzibar itakuwa haina nafasi, hivyo ni suala la muda tu. Kila siku navyorudi nyumbani napita pale Namanga Road naangalia maduka ya wapemba halafu nasema Hiiiiiiiiiii.....Kila siku wanaitukana Tanganyika lakini watawala wote wa kule akiwemo Jusa wanamiliki mali nyingi kweli huku bara na kuishi huku bara.
Kule zenji kuna DC aliwahi kuwa mkubwa wa UVCCM akatumbuliwa kwa kuhonga soda Dodoma, huyo kazi yake ni kusambaza Ukimw makusudi kwa Watanganyika.

Sikuizi anakimbiwa wameshamjua baadhi.
 
Tena ajabu sana, chadema wamemtumia kijana anaejulika kwa ushoga anaitwa Soka, ndiyo eti aanzishe maandamano ya kupinga bandari isiendeshwe na Waislam. Cheza na intelijensia ya Tanzania,

mwenyewe hakuwepo akabambwa huko huko laikojificha. akasema yeye ameahidiwa akianzisha maandamano atafanyiwa mpango apelekwe Denmark au Canada akapate ukimbizi. Akawataja na wengine wote aliowarubuni.

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Nyie mbona mnawatumia ACT na kina Jussa kumbe ni ajenda ya jikoni kabisa kwa wasengi ooops wazenji wote?
 
Back
Top Bottom