Chalamila: Namuonya Dkt. Slaa aache kupotosha taifa, Bandari haijauzwa

Chalamila: Namuonya Dkt. Slaa aache kupotosha taifa, Bandari haijauzwa

Kama ameyasema hayo, basi Chalamila atakuwa na upunguani.

Yeye Chalamila amuonye Dr Slaa kama nani, na kwa mamlaka gani? Angekuwa na busara japo kidogo asingetumia neno kuonya, angetumia neno, 'namshauri'.

Rais Samia watakaomganya achukiwe na hawa wasaidizi waje waliokosa busara. Kwenye hili suala la mkataba wa DP, Rais Samia asipowapata wenye busara, litamharibia sana. Na akiharibikiwa, hawa ndumila kuwili alio nao, watamgeuka na kuanza kumshambulia.

Mpaka sasa Rais Samia, namwona ameamua kufuata busara kwa kukaa kimya bila shaka akitafakari na kupima upepo unavyoenda. Sasa kushindwa kwake au kufaulu ni siku atakapolitolea ufafanuzi jambo hili. Itayegemea ameamua kufuata ushauri wa watu gani, waropokaji au wenye hekima.

Kwa upande wa viongozi, mpaka sasa kiongpzi pekee aliyetoa kaulo yenye busara ni Majaliwa pekee yake.
Chalamila uso wake ulivyokaa kaa tu unamuona ana akili? Yupo kama mongolian idiots
 
Kati ya hawa wawili, endapo utapata nafasi ya kuwasiliza kwa hoja zao kwa jambo lolote lile je utachagua nani?
 
Mkuu wa Mkoa ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Mkoa.

Hili hulijui au unajilazimisha kulisahau kwa ushabiki?
Hilo jambo Sio level yake Chalamila kama anataka kulinda heshima yake aangaike na mama ntilie, wamachinga, daladala, kujua mgomo wa wafanyabiashara hayo ya bandari mwachie Rais, mbarawa na mwanasheria mkuu wa serikali.
 
I am sure Chalamila kwenye isue ya Bandari hayupo upande wa JK
 
Back
Top Bottom