Chalamila: Namuonya Dkt. Slaa aache kupotosha taifa, Bandari haijauzwa

Chalamila: Namuonya Dkt. Slaa aache kupotosha taifa, Bandari haijauzwa

Anamuonya huyo Dr Slaa, akiwa kama nani!! Maana imefikia wakati kila mtu ndani ya ccm anajiona ana mamlaka ya kuwakaripia/kuwafokea/kuwakoromea/kuwatishia nyau watu wengine. Hivi huu ujasiri wanautoa wapi!

Au wanajiona hii nchi ni mali yao, hivyo watu wengine hawana haki ya kuhoji, au kutoa maoni yao?
Hii nchi ishakuwa mali yao cku nyingi ndo unajua leo
 
Usianike ujinga kweny public!! Slaa kaleta uvunjifu wa amani? Jifunzeni kujibu hoja kwa hoja vitisho sio jibu la mtoa hoja!!!
Uliuliza yeye kama nani, ndio umejibiwa. Usijifiche kwenye kivuli cha kuita watu wajinga.

Kama mkuu wa Mkoa anaona kuna mtu anapotosha umma, ni wajibu wake kusema na kumuonya. Sio lazima awaze kama unavyowaza wewe.

Ujinga ni pamoja na kujidhania unaelewa zaidi majukumu ya mwengine kuliko yeye mwenyewe.
 
Anamuonya huyo Dr Slaa, akiwa kama nani!! Maana imefikia wakati kila mtu ndani ya ccm anajiona ana mamlaka ya kuwakaripia/kuwafokea/kuwakoromea/kuwatishia nyau watu wengine. Hivi huu ujasiri wanautoa wapi!

Au wanajiona hii nchi ni mali yao, hivyo watu wengine hawana haki ya kuhoji, au kutoa maoni yao?
Wako kama wameranduka.
 

"Nimeona kwenye mtandao Ndugu yangu Balozi Dkt. Wilbroud Slaa akieleza mambo yake katika mtandao. Moja ya watu kwa miaka mingi nimewaheshimu kwa umri wao,kwa nafasi zao, kwa usomi wao ni pamoja na Dkt. Slaa, Sasa na yeye pia nimuonye kwamba kwa umri wake kwa hadhi yake sio muda sahihi kutumika kulipotosha Taifa, namjua kabisa hata yeye anafahamu vizuri kuhusiana na mambo yote ambayo anayaeleza"
Regional Chawa= RC
 

"Nimeona kwenye mtandao Ndugu yangu Balozi Dkt. Wilbroud Slaa akieleza mambo yake katika mtandao. Moja ya watu kwa miaka mingi nimewaheshimu kwa umri wao,kwa nafasi zao, kwa usomi wao ni pamoja na Dkt. Slaa, Sasa na yeye pia nimuonye kwamba kwa umri wake kwa hadhi yake sio muda sahihi kutumika kulipotosha Taifa, namjua kabisa hata yeye anafahamu vizuri kuhusiana na mambo yote ambayo anayaeleza"
Bandari haijauzwa, waeleza Watanganyika Bandari imefanyiwa nini?

Ukiendelea kujadili issue ya bandari ukiwa kama mkuu wa Mkoa unaelekea kubaya .
 

"Nimeona kwenye mtandao Ndugu yangu Balozi Dkt. Wilbroud Slaa akieleza mambo yake katika mtandao. Moja ya watu kwa miaka mingi nimewaheshimu kwa umri wao,kwa nafasi zao, kwa usomi wao ni pamoja na Dkt. Slaa, Sasa na yeye pia nimuonye kwamba kwa umri wake kwa hadhi yake sio muda sahihi kutumika kulipotosha Taifa, namjua kabisa hata yeye anafahamu vizuri kuhusiana na mambo yote ambayo anayaeleza"
Alikuwa akitumia haki yake kikatiba km anakosa sifa ampeleke mahakamani
 

"Nimeona kwenye mtandao Ndugu yangu Balozi Dkt. Wilbroud Slaa akieleza mambo yake katika mtandao. Moja ya watu kwa miaka mingi nimewaheshimu kwa umri wao,kwa nafasi zao, kwa usomi wao ni pamoja na Dkt. Slaa, Sasa na yeye pia nimuonye kwamba kwa umri wake kwa hadhi yake sio muda sahihi kutumika kulipotosha Taifa, namjua kabisa hata yeye anafahamu vizuri kuhusiana na mambo yote ambayo anayaeleza"
Huyu dogo anafurukuta kulinda u RC wake awaache wanasheria wenye fani yao wazungumze
 
Mkuu wa Mkoa ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Mkoa.

Hili hulijui au unajilazimisha kulisahau kwa ushabiki?
Kama ni kweli yupo kamati ya ulinzi na usalama mbona kashindwa kulinda mali za baba zisiuzwe na mama kwa wajomba?
 

"Nimeona kwenye mtandao Ndugu yangu Balozi Dkt. Wilbroud Slaa akieleza mambo yake katika mtandao. Moja ya watu kwa miaka mingi nimewaheshimu kwa umri wao,kwa nafasi zao, kwa usomi wao ni pamoja na Dkt. Slaa, Sasa na yeye pia nimuonye kwamba kwa umri wake kwa hadhi yake sio muda sahihi kutumika kulipotosha Taifa, namjua kabisa hata yeye anafahamu vizuri kuhusiana na mambo yote ambayo anayaeleza"
Na wewe chalamila una mambo ya kijinga sijui mama ndio kakupenda ili akutumie. Bandari lugha na mashari kwenye makubaliano mliyoleta bungeni ni sawa mumeuza bandari halafu mnalazimisha tuite koleo kijiko. Hebu toeni ujinga wenu. Sisi tutaendelea kusema mumeuza bandari na kuendelea kupinga.
 

"Nimeona kwenye mtandao Ndugu yangu Balozi Dkt. Wilbroud Slaa akieleza mambo yake katika mtandao. Moja ya watu kwa miaka mingi nimewaheshimu kwa umri wao,kwa nafasi zao, kwa usomi wao ni pamoja na Dkt. Slaa, Sasa na yeye pia nimuonye kwamba kwa umri wake kwa hadhi yake sio muda sahihi kutumika kulipotosha Taifa, namjua kabisa hata yeye anafahamu vizuri kuhusiana na mambo yote ambayo anayaeleza"
Hata vipanya vinatishia eti kwa sababu navyo vina sharubu!
 
Anamuonya huyo Dr Slaa, akiwa kama nani!! Maana imefikia wakati kila mtu ndani ya ccm anajiona ana mamlaka ya kuwakaripia/kuwafokea/kuwakoromea/kuwatishia nyau watu wengine. Hivi huu ujasiri wanautoa wapi!

Au wanajiona hii nchi ni mali yao, hivyo watu wengine hawana haki ya kuhoji, au kutoa maoni yao?
Hivi huyu Chalamilo ana hata 1/100 ya uwezo wa Slaa? Watu wengine vituko kweli
 

"Nimeona kwenye mtandao Ndugu yangu Balozi Dkt. Wilbroud Slaa akieleza mambo yake katika mtandao. Moja ya watu kwa miaka mingi nimewaheshimu kwa umri wao,kwa nafasi zao, kwa usomi wao ni pamoja na Dkt. Slaa, Sasa na yeye pia nimuonye kwamba kwa umri wake kwa hadhi yake sio muda sahihi kutumika kulipotosha Taifa, namjua kabisa hata yeye anafahamu vizuri kuhusiana na mambo yote ambayo anayaeleza"
Huyu dogo Chalamila, akumbuke na alielewe soma la Ally Hapi, tena mhehe mwenziwe.
 
Rc acha kutisha watu ,tunajua umeagizwa kwa makusudi kupiga mikwala ili kuwaziba watu midomo walio kinyume na mawazo ya watawala ,tambua hili jambo LA bandari ni fukoto, na linahitaji mjadala mpana wa wasomi na watu huru kama Dr Slaa na wengine wengi.
 
Mkuu wa Mkoa ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Mkoa.

Hili hulijui au unajilazimisha kulisahau kwa ushabiki?
Mkuu wa mkoa hana haki ya kuzuia wengine kutoa maoni yao, anavunja sheria hata kama akiwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama mkoa.
 
Mkuu wa mkoa hana haki ya kuzuia wengine kutoa maoni yao, anavunja sheria hata kama akiwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama mkoa.
Sidhani kama amemzuia kutoa maoni au anajaribu kumzuia kutoa maoni, bali ametoa onyo kuhusu alichokitafsiri yeye kama ni upotoshaji.
 
Back
Top Bottom