Hii nchi ishakuwa mali yao cku nyingi ndo unajua leoAnamuonya huyo Dr Slaa, akiwa kama nani!! Maana imefikia wakati kila mtu ndani ya ccm anajiona ana mamlaka ya kuwakaripia/kuwafokea/kuwakoromea/kuwatishia nyau watu wengine. Hivi huu ujasiri wanautoa wapi!
Au wanajiona hii nchi ni mali yao, hivyo watu wengine hawana haki ya kuhoji, au kutoa maoni yao?
Uliuliza yeye kama nani, ndio umejibiwa. Usijifiche kwenye kivuli cha kuita watu wajinga.Usianike ujinga kweny public!! Slaa kaleta uvunjifu wa amani? Jifunzeni kujibu hoja kwa hoja vitisho sio jibu la mtoa hoja!!!
Wako kama wameranduka.Anamuonya huyo Dr Slaa, akiwa kama nani!! Maana imefikia wakati kila mtu ndani ya ccm anajiona ana mamlaka ya kuwakaripia/kuwafokea/kuwakoromea/kuwatishia nyau watu wengine. Hivi huu ujasiri wanautoa wapi!
Au wanajiona hii nchi ni mali yao, hivyo watu wengine hawana haki ya kuhoji, au kutoa maoni yao?
Regional Chawa= RC
"Nimeona kwenye mtandao Ndugu yangu Balozi Dkt. Wilbroud Slaa akieleza mambo yake katika mtandao. Moja ya watu kwa miaka mingi nimewaheshimu kwa umri wao,kwa nafasi zao, kwa usomi wao ni pamoja na Dkt. Slaa, Sasa na yeye pia nimuonye kwamba kwa umri wake kwa hadhi yake sio muda sahihi kutumika kulipotosha Taifa, namjua kabisa hata yeye anafahamu vizuri kuhusiana na mambo yote ambayo anayaeleza"
Bandari haijauzwa, waeleza Watanganyika Bandari imefanyiwa nini?
"Nimeona kwenye mtandao Ndugu yangu Balozi Dkt. Wilbroud Slaa akieleza mambo yake katika mtandao. Moja ya watu kwa miaka mingi nimewaheshimu kwa umri wao,kwa nafasi zao, kwa usomi wao ni pamoja na Dkt. Slaa, Sasa na yeye pia nimuonye kwamba kwa umri wake kwa hadhi yake sio muda sahihi kutumika kulipotosha Taifa, namjua kabisa hata yeye anafahamu vizuri kuhusiana na mambo yote ambayo anayaeleza"
Alikuwa akitumia haki yake kikatiba km anakosa sifa ampeleke mahakamani
"Nimeona kwenye mtandao Ndugu yangu Balozi Dkt. Wilbroud Slaa akieleza mambo yake katika mtandao. Moja ya watu kwa miaka mingi nimewaheshimu kwa umri wao,kwa nafasi zao, kwa usomi wao ni pamoja na Dkt. Slaa, Sasa na yeye pia nimuonye kwamba kwa umri wake kwa hadhi yake sio muda sahihi kutumika kulipotosha Taifa, namjua kabisa hata yeye anafahamu vizuri kuhusiana na mambo yote ambayo anayaeleza"
Kaa kimya wewe komwe.Ukishakuwa CCM wewe ni Boss mkuu,kaa ivoivo[emoji2960]
Huyu dogo anafurukuta kulinda u RC wake awaache wanasheria wenye fani yao wazungumze
"Nimeona kwenye mtandao Ndugu yangu Balozi Dkt. Wilbroud Slaa akieleza mambo yake katika mtandao. Moja ya watu kwa miaka mingi nimewaheshimu kwa umri wao,kwa nafasi zao, kwa usomi wao ni pamoja na Dkt. Slaa, Sasa na yeye pia nimuonye kwamba kwa umri wake kwa hadhi yake sio muda sahihi kutumika kulipotosha Taifa, namjua kabisa hata yeye anafahamu vizuri kuhusiana na mambo yote ambayo anayaeleza"
Kama ni kweli yupo kamati ya ulinzi na usalama mbona kashindwa kulinda mali za baba zisiuzwe na mama kwa wajomba?Mkuu wa Mkoa ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Mkoa.
Hili hulijui au unajilazimisha kulisahau kwa ushabiki?
Na wewe chalamila una mambo ya kijinga sijui mama ndio kakupenda ili akutumie. Bandari lugha na mashari kwenye makubaliano mliyoleta bungeni ni sawa mumeuza bandari halafu mnalazimisha tuite koleo kijiko. Hebu toeni ujinga wenu. Sisi tutaendelea kusema mumeuza bandari na kuendelea kupinga.
"Nimeona kwenye mtandao Ndugu yangu Balozi Dkt. Wilbroud Slaa akieleza mambo yake katika mtandao. Moja ya watu kwa miaka mingi nimewaheshimu kwa umri wao,kwa nafasi zao, kwa usomi wao ni pamoja na Dkt. Slaa, Sasa na yeye pia nimuonye kwamba kwa umri wake kwa hadhi yake sio muda sahihi kutumika kulipotosha Taifa, namjua kabisa hata yeye anafahamu vizuri kuhusiana na mambo yote ambayo anayaeleza"
Hata vipanya vinatishia eti kwa sababu navyo vina sharubu!
"Nimeona kwenye mtandao Ndugu yangu Balozi Dkt. Wilbroud Slaa akieleza mambo yake katika mtandao. Moja ya watu kwa miaka mingi nimewaheshimu kwa umri wao,kwa nafasi zao, kwa usomi wao ni pamoja na Dkt. Slaa, Sasa na yeye pia nimuonye kwamba kwa umri wake kwa hadhi yake sio muda sahihi kutumika kulipotosha Taifa, namjua kabisa hata yeye anafahamu vizuri kuhusiana na mambo yote ambayo anayaeleza"
Ukishakuwa CCM wewe ni Boss mkuu,kaa ivoivo🤭
Hivi huyu Chalamilo ana hata 1/100 ya uwezo wa Slaa? Watu wengine vituko kweliAnamuonya huyo Dr Slaa, akiwa kama nani!! Maana imefikia wakati kila mtu ndani ya ccm anajiona ana mamlaka ya kuwakaripia/kuwafokea/kuwakoromea/kuwatishia nyau watu wengine. Hivi huu ujasiri wanautoa wapi!
Au wanajiona hii nchi ni mali yao, hivyo watu wengine hawana haki ya kuhoji, au kutoa maoni yao?
Huyu dogo Chalamila, akumbuke na alielewe soma la Ally Hapi, tena mhehe mwenziwe.
"Nimeona kwenye mtandao Ndugu yangu Balozi Dkt. Wilbroud Slaa akieleza mambo yake katika mtandao. Moja ya watu kwa miaka mingi nimewaheshimu kwa umri wao,kwa nafasi zao, kwa usomi wao ni pamoja na Dkt. Slaa, Sasa na yeye pia nimuonye kwamba kwa umri wake kwa hadhi yake sio muda sahihi kutumika kulipotosha Taifa, namjua kabisa hata yeye anafahamu vizuri kuhusiana na mambo yote ambayo anayaeleza"
Mkuu wa mkoa hana haki ya kuzuia wengine kutoa maoni yao, anavunja sheria hata kama akiwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama mkoa.Mkuu wa Mkoa ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Mkoa.
Hili hulijui au unajilazimisha kulisahau kwa ushabiki?
Kitendo cha kusain mkataba usio na ukomo huku nisawa na kuuziwa mazima mpaka kifo kitakapo watenganisha,ni nini hapo hujaelewa!?Zimeuzwaje? Shilingi ngapi? Tupe uthibitisho
Sidhani kama amemzuia kutoa maoni au anajaribu kumzuia kutoa maoni, bali ametoa onyo kuhusu alichokitafsiri yeye kama ni upotoshaji.Mkuu wa mkoa hana haki ya kuzuia wengine kutoa maoni yao, anavunja sheria hata kama akiwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama mkoa.