Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #161
Anataka kushindana na hii akili kubwa , amechemsha !Mh. alisema wazi bila kificho kuwa atahakikisha upinzani unakufa. Sasa upinzani umewarahisishia kazi ya ku-uua. Bado mnataka uwepo kwenye uchaguzi!, mbona mnatuchanganya! Mnataka nini hasa?
Wanavyosema muuaji hana akili mnadhani huwa wanatania ?Mh. alisema wazi bila kificho kuwa atahakikisha upinzani unakufa. Sasa upinzani umewarahisishia kazi ya ku-uua. Bado mnataka uwepo kwenye uchaguzi!, mbona mnatuchanganya! Mnataka nini hasa?
Mh. alisema wazi bila kificho kuwa atahakikisha upinzani unakufa. Sasa upinzani umewarahisishia kazi ya ku-uua. Bado mnataka uwepo kwenye uchaguzi!, mbona mnatuchanganya! Mnataka nini hasa?
Wamestuka angewaweka ndani wote hadi uchaguzi mkuu upite,kama aliwezabomoa nyumba za watu nini kuwaweka ndani.Anataka wamchalenji afu awapige/ue ! Jamaa anaroho mbaya sana! Anaumia sana akiona wapinzani hawapati misukosuko!
Hajaua upinzani Bali kaua vyama vya upinzani,Bali upinzani kama upinzani unaishi ndani ya mioyo ya watanzania hivo kuuua lazima aue mtu ndo atakuwa kaua upinzani.Mh. alisema wazi bila kificho kuwa atahakikisha upinzani unakufa. Sasa upinzani umewarahisishia kazi ya ku-uua. Bado mnataka uwepo kwenye uchaguzi!, mbona mnatuchanganya! Mnataka nini hasa?
sijamsikia!Bashiru kaongea nini?
Perfect!Hajaua upinzani Bali kaua vyama vya upinzani,Bali upinzani kama upinzani unaishi ndani ya mioyo ya watanzania hivo kuuua lazima aue mtu ndo atakuwa kaua upinzani.
Akili kubwa, tena kubwa sana! Katika uzao wake wote hatapata mtu mwenye akili kama huyu!Anataka kushindana na hii akili kubwa , amechemsha !
View attachment 1258536
Mnajenga mtakachokuja kukibomoa kwa mikono yenu ha ha ha haUchaguzi 2025 tu Sasa tunajenga Nchi
Hata shetani anasingiziwaAnataka wamchalenji afu awapige/ue ! Jamaa anaroho mbaya sana! Anaumia sana akiona wapinzani hawapati misukosuko!
DamuMh. alisema wazi bila kificho kuwa atahakikisha upinzani unakufa. Sasa upinzani umewarahisishia kazi ya ku-uua. Bado mnataka uwepo kwenye uchaguzi!, mbona mnatuchanganya! Mnataka nini hasa?
Bado hajatosheka na ya akina azory, Ben, mawazo sandarusi... bado tu!Damu
kauli yake ilisikika hivyo!Labda kuuwa vyama sio kuuwa upinzani
Sio rahisi hivyo. Hata nyinyiemu wameumia sana wapinzani kujiondoa maana watakosa fursa nzuri ya kuiba kuraSafari hii vyama ACT na CHADEMA vinafutwa vyote
Ni ajabu na kweli!Mh. alisema wazi bila kificho kuwa atahakikisha upinzani unakufa. Sasa upinzani umewarahisishia kazi ya ku-uua. Bado mnataka uwepo kwenye uchaguzi!, mbona mnatuchanganya! Mnataka nini hasa?