Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pitia na hapa kwanza kisha urudi hapa tuendelee, naomba usome comment za page zoteKampeni kataa ndoa ni mlango wa pili kuhalalisha na kusimika mahusiano ya jinsia moja (USHOGA) niulize kwann??
Kampeni hii inazoofisha thamani ya mwanamke kwa mwanaume na kukuza thamani ya mahusiano ambayo kwa mwanzo yanaonesha urafiki wenye thamani zaidi ambapo hupelekea mapenzi ya jinsia moja (hii imekaa kiroho zaidi)
Hivyo tunaona nguvu kuubwa ya halalisha ushoga inatangazwa hadhari jua ya kwamba sirini walishamaliza mikakati yao kama mjuavyo mzungu (SHETANI) hakurupukagi.
NB. Nilioa ndoa ikavunjika na nikweli wanawake wanachangamoto lakini si kwamba nami ni mkamilifu nna zangu na bado natamani kuoa tena kunako majaaliwa
Katika umri wa ujana kauli za kishujaa huwa ni nyingi sana
Acha kukaza fuvu wewe na huyo mwanamke mnaishi wapi kama unabisha mtelekeze uone kitakacho kupata. Utabaki na pumbu tu“.....Kama mume na mke...”, sasa hiyo kamera iliyotuchungulia kwa miezi mitatu kuona kama tuliishi kama mume na mke sijui mtaitoa wapi [emoji23][emoji23][emoji23]..
Dada yako anaweza kuzaa na wewe?Kweli utaahira ni kipaji, hivi nikiishi na dada yangu miezi mitatu (ni mwanamke pia), kwa hizo sheria zenu anakuwa mke wangu, thats Fck up shit!
Jibu hoja, unadhibitishaje kwamba tuliishi kama mume na mke , nikikwambia tulikuwa na ugomvi kwa 90% ya muda tulioishi na hivyo tukaishi kama kaka na dada ila tukaficha tu ili kulea watoto pamoja, utabisha?Acha kukaza fuvu wewe na huyo mwanamke mnaishi wapi kama unabisha mtelekeze uone kitakacho kupata. Utabaki na pumbu tu
Walisema ukiishicna mwanamke kwa kipindi hicho, hawakusema kuishi mwanamke na kuzaa nae. Haya tufanye sio dada yangu na nimezaa nae, nikisema tulikuwa na ugomvi kwa 99% ya muda tulioishi na hivyo hatukuishi kama mume na mke bali tuliishi kama kaka na dada, ila tulificha tu ili kulea watoto, utabisha?Dada yako anaweza kuzaa na wewe?