Yuphat de king
Member
- May 15, 2024
- 27
- 1
Ukitumia link ya ajira2.tpf.go.tzacheni kudanganya watu link ajira2.tpf.go.tz na ajira.tpf.go.tz zote ni za jeshi la polisi,mimi niliwafanyia watu kupitia ajira.tpf.go.tz na baadae nikaenda kumalizia ku upload barua kwenye ajira2.tpf.go.tz hivyo zote ni za jeshi la polisi
Ukishafanikiwa kuappload barua i mean ukishafanikiwa kutuma maombi, usihame kwenye iyo link ya ajira2.tpf.go.tz, anza kuikagua anzia kwenye upande wa Education, view vyeti vyako, utakutana na vituko, yaan n vyate vya watu wengine kabisaaa
Kagua hata upande wa CV, yaan kuanzia jina na vitu vingine ulvyoviandika vinakua vipo sahihi ila shida n attachments ulizoziweka zinakua sio vyakwako vnakua n vt vya wat wengine, sasa kama iyo link n sahihi mbona inaonyesha attachment za wat wengine? Inamaana ulicho attach kwenye ajira.tpf.go.tz hakionekani kweny ajira.tpf.go.tz,
ACHENI KUDANGANYA WATU KWASABABU IYO ajira2.tpf.go.tz KWANN IPOTEZE TAARIFA NA IONYESHE
TAALIFA FEKI, ??
Kwasabab maombi yalyofanikiwa kwenye ajira2.tpf.go.tz hayaonekan kwenye ajira.tpf.go.tz
Na attachements zinazoonekana kwente ajira.tpf.go.tz hazionekan kweny ajira2.tpf.go.tz
Wakuu HI WAMEPIKA
anaesema ajira2.tpf.go.tz nisahihi aje na evidence kaitolea wapi
Kwanza kuingia penyewe inagoma mpaka uandike
Ikishafunguka inaonyesha job list then una login