Changamoto ya kutuma Maombi ya Ajira Jeshi la Polisi

Changamoto ya kutuma Maombi ya Ajira Jeshi la Polisi

je kama ulicho kifanya kwenye ajira2.tpf.go.tz hakionekani ajira.tpf.go.tz sasa uliwezaje kuingia,izo zote zinapeleka data kwenye database moja ya jeshi la polisi na zaidi ya asilimia 60 wameombea kupitia ajira2
Tuache kupigana fix bhan asilimia 60 we umeionea wapi hizo data shenzi
 
Saa 10:30 lakini bado mfumo mbovu, inaonekana kunachangamoto upande wa uploading documents lakini website inafunguka vizuri, kuna yeyote kafanikiwa ku upload?
Mimi nilifanikiwa Juzi usiku...
20240520_123953.jpg
 
Back
Top Bottom