Hakuwaamini mabeberu lakini ka pacemaker kao kalikokuwa kanamsukumia damu alikaamini?

Tena ashukuru hao wazungu maana bila wao angeshapotea siku nyingi hata tusingemfahamu

Unasemaje tukiachana na uhuru wetu tuirudishe nchi iwe koloni la wazungu?

Maana naona akili yako imeganda kabisa.
 

Legacy ya Magufuli ipo tu, wala haimtegemei Gwajima.

Badala ya kuhangaika na kila neno alilosema, jiulize swali jepesi tu. Je huko ilikotoka chanjo wamemaliza tatizo?

Je sisi hapa tuna tatizo mpaka kuhitaji chanjo?

Maana watu wanapromoti korona, lakini je kwa kipimo gani?

Kitendawili cha kipimo bado hakijatenguliwa hadi leo.
 
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾👍🏽
Chanjo na dawa zote zinazotumuka Tanzania, majaribio yake yamefanyika Tanzania?!

Unaweza kunionesha ripoti ya chanjo za surua, ndui, polio na magonjwa mengine kama hayo ikiwa ni matokeo ya majaribio ya chanjo hizo kufanyika Tanzania?
 
Swali la kwanza ni kipimo.

Unaongelea korona kwa kipimo gani?

Kimetestiwa kwa blind test kama ile ya mapapai na mbuzi na oil chafu?
 
Upuuzi mtupu.......
 
Chanjo ni hiari yako. Nenda kadungwe mkuu
 
Unasemaje tukiachana na uhuru wetu tuirudishe nchi iwe koloni la wazungu?

Maana naona akili yako imeganda kabisa.
Hahahaha hivi wewe hapo unajiona huru?

Hujioni kuwa ni koloni la mzungu tayari?

Uko mjinga sana wewe
 
Ninesoma bandiko ili nijiandae kukujibu, lakini kwa mujibu wa ulichokiandika inaonesha wazi una upeo mdogo sana wa kuchambua mambo. Kuna msemo unaosema " Asie jua maana usimwambie maana".
 
Sielewi kwa nini kitu kilicho cha hiari kinabishaniwa kiasi hiki!

Asiyetaka kuchanjwa na asichanjwe tu.

Anayetaka, achanjwe.

Very simple.
 

The first pharmaceutical used to treat malaria, quinine, was derived from the tree bark of Cinchona calisaya [5]. Quinine synthesis was first attempted in 1856 by William Henry Perkins, but synthesis was not successful until 1944.

But antimalarial drugs can cause serious side-effects. “Mefloquine may cause dizziness, balance problems, and ringing in the ears. These symptoms can occur at any time during use and can last for months to years after the drug is stopped or can be permanent,” the FDA cautions.29 Jul 2013
 
Do pharmaceutical companies bribe doctors?


In fact, drug company whistleblowers and federal prosecutors have said explicitly that in some cases the payments were actually bribes and kickbacks. And this behavior has continued despite tools like Dollars for Docs.17 Oct 2019
 
Doctors Prescribe More of a Drug If They Receive Money from a Pharma Company Tied to It. Pharmaceutical companies have paid doctors billions of dollars for consulting, promotional talks, meals and more. A new ProPublica analysis finds doctors who received payments linked to specific drugs prescribed more of those drugs ...20 Dec 2019
 
Mleta mada ninakubaliana na wewe kuwa chanjo iwe ni hiari hata hivyo wananchi wana haki ya kuelimishwa kuhusu umuhimu wa chanjo.

Ni jukumu la serikali kuleta chanjo kwani Ina dhamana ya afya na tiba ya raia. Hospitali zikifurika kwa wagonjwa serikali inatumia pesa kutoa tiba ambayo ingeweza kuzuilika na wakati huo huo inapoteza nguvu kazi.
 
How much does Big Pharma lobbying cost?

Leading lobbying industries in the U.S. 2020

In 2020, the pharmaceuticals and health products industry in the United States spent the most on lobbying efforts, totaling to about 306.23 million U.S. dollars.4 Mar 2021
 
Kwa kuongezea tu, JPM aliwahi kusema kama kutengeneza chanjo ni rahisi hivyo mbona mpaka leo hao wazungu hawajawahi kuleta chanjo ya UKIMWI wala TB na ni magonjwa yaliyoua watu wengi zaidi Duniani kuliko hata hiyo Corona.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
 
This is not uncommon

hata kura za Akina Gwajima tu they spent billions of shillings

marketing and lobbying is part of any business especially when there are competitors in the market
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…