#COVID19 Chanjo za Kupambana na Corona (COVID-19): Nini Maoni na Mtazamo wako?
Tumechanjwa chanjo nyingi sana lakini hatukutakiwa kujaza fomu ya ridhaa, kwa nini kwenye hii chanjo tunatakiwa kujaza fomu ya ridhaa?
 
Kwan ukichanjwa hutaambukizwa tena au inakuwaje? Wataalam wa chanjo nisaidieni kujua tafadhali.
 
Mm nilidhani mjinga anapaswa apewe elimu aelewe nasikulazimishwa kuelewa pasipo kueleweshwa,ww hapo unaishia kujitekenya na vijembe ila huwezipangua gia za hao wajinga zaidi ya matusi.hadi waziri mwenye dhamana kashindwa kabakia kujitekenya tuuu,kwenye hili suala tunaojita wasomi tunaenda kuangushwa na hao tunao waita wajinga.
 
Tangu Serikali iruhusu chanjo ya Corona kuingizwa nchini mjadala mkali umezuka kati ya wapinga chanjo hiyo na wale wanaoikubali, hali hii ni tofauti kabisa na mataifa mengine kama majirani zetu Kenya ua Rwanda. Mpaka sasa wapinga chanjo(anti vaxxers) wakiongozwa na jemedari wao Askofu Gwajima wanaongoza katika mtanange huu na hakuna anayeleweka kwa wakubali chanjo kuanzia January, Kigwangalla mpaka Mbowe n.k.

Kwa kuangalia nyuzi,video, mijadala na michango katika mitandao ya kijamii kuanzia hapa JF na kwingineko, kwa kuwasikiliza watu wengi ninaowafamu (wengi wao wakiwa wasomi wazuri kabisa na washika dini) wapinga chanjo na wakosoaji wake ni wengi kuliko wanaoikubali.

Wapinga chanjo(anti vaxxers) wana hoja na maswali mengi yanayodhihirisha ujinga, upumbavu na uduni wa fikra katika idadi kubwa ya raia nchini(majority).

Zaidi sana wana ujasiri na nguvu kama Simba wa kusimamia ujinga uliowajaa tofauti na wenzao. Hakuna namna ya kuwashauri kuhusu umuhimu wa chanjo, mnaofanya hivyo mnapoteza nguvu na muda wenu tu.

Hali hii inadhihirisha kiwango kikubwa sana cha ujinga katika taifa letu na inamaanisha hata wanaopigania mabadiliko mengine makubwa na muhimu katika nchi hii haitakuwa rahisi kwao kufanikiwa.

Huo ndo uhalisia na ukweli mchungu wa kusikitisha kuhusu taifa hili.Kati ya wale maadui wakubwa watatu, adui ujinga ameiganda nchi kama ruba na hatoki leo wala kesho.

Maskini Tanzania.
Ww mwerevu kachanje, tuache sisi na huo unaouita ujinga nk! Kwani unahasara gani? Chanja sepa, tuache tusioiamini hiyo chanjo majaribio! Ila tusikusikie unalia baadae!
 
Tangu Serikali iruhusu chanjo ya Corona kuingizwa nchini mjadala mkali umezuka kati ya wapinga chanjo hiyo na wale wanaoikubali, hali hii ni tofauti kabisa na mataifa mengine kama majirani zetu Kenya ua Rwanda. Mpaka sasa wapinga chanjo(anti vaxxers) wakiongozwa na jemedari wao Askofu Gwajima wanaongoza katika mtanange huu na hakuna anayeleweka kwa wakubali chanjo kuanzia January, Kigwangalla mpaka Mbowe n.k.

Kwa kuangalia nyuzi,video, mijadala na michango katika mitandao ya kijamii kuanzia hapa JF na kwingineko, kwa kuwasikiliza watu wengi ninaowafamu (wengi wao wakiwa wasomi wazuri kabisa na washika dini) wapinga chanjo na wakosoaji wake ni wengi kuliko wanaoikubali.

Wapinga chanjo(anti vaxxers) wana hoja na maswali mengi yanayodhihirisha ujinga, upumbavu na uduni wa fikra katika idadi kubwa ya raia nchini(majority).

Zaidi sana wana ujasiri na nguvu kama Simba wa kusimamia ujinga uliowajaa tofauti na wenzao. Hakuna namna ya kuwashauri kuhusu umuhimu wa chanjo, mnaofanya hivyo mnapoteza nguvu na muda wenu tu.

Hali hii inadhihirisha kiwango kikubwa sana cha ujinga katika taifa letu na inamaanisha hata wanaopigania mabadiliko mengine makubwa na muhimu katika nchi hii haitakuwa rahisi kwao kufanikiwa.

Huo ndo uhalisia na ukweli mchungu wa kusikitisha kuhusu taifa hili.Kati ya wale maadui wakubwa watatu, adui ujinga ameiganda nchi kama ruba na hatoki leo wala kesho.

Maskini Tanzania.
Ww mwerevu kachanje, tuache sisi na huo unaouita ujinga nk! Kwani unahasara gani? Chanja sepa, tuache tusioiamini hiyo chanjo majaribio! Ila tusikusikie unalia baadae!
 
Tangu Serikali iruhusu chanjo ya Corona kuingizwa nchini mjadala mkali umezuka kati ya wapinga chanjo hiyo na wale wanaoikubali, hali hii ni tofauti kabisa na mataifa mengine kama majirani zetu Kenya ua Rwanda. Mpaka sasa wapinga chanjo(anti vaxxers) wakiongozwa na jemedari wao Askofu Gwajima wanaongoza katika mtanange huu na hakuna anayeleweka kwa wakubali chanjo kuanzia January, Kigwangalla mpaka Mbowe n.k.

Kwa kuangalia nyuzi,video, mijadala na michango katika mitandao ya kijamii kuanzia hapa JF na kwingineko, kwa kuwasikiliza watu wengi ninaowafamu (wengi wao wakiwa wasomi wazuri kabisa na washika dini) wapinga chanjo na wakosoaji wake ni wengi kuliko wanaoikubali.

Wapinga chanjo(anti vaxxers) wana hoja na maswali mengi yanayodhihirisha ujinga, upumbavu na uduni wa fikra katika idadi kubwa ya raia nchini(majority).

Zaidi sana wana ujasiri na nguvu kama Simba wa kusimamia ujinga uliowajaa tofauti na wenzao. Hakuna namna ya kuwashauri kuhusu umuhimu wa chanjo, mnaofanya hivyo mnapoteza nguvu na muda wenu tu.

Hali hii inadhihirisha kiwango kikubwa sana cha ujinga katika taifa letu na inamaanisha hata wanaopigania mabadiliko mengine makubwa na muhimu katika nchi hii haitakuwa rahisi kwao kufanikiwa.

Huo ndo uhalisia na ukweli mchungu wa kusikitisha kuhusu taifa hili.Kati ya wale maadui wakubwa watatu, adui ujinga ameiganda nchi kama ruba na hatoki leo wala kesho.

Maskini Tanzania.
Ww mwerevu kachanje, tuache sisi na huo unaouita ujinga nk! Kwani unahasara gani? Chanja sepa, tuache tusioiamini hiyo chanjo majaribio! Ila tusikusikie unalia baadae!
 
Kama unahitaji chanjo, jipeleka ukachanjwe. Hakuna mwenye analazimishwa chanjo
 
KWANINI CHANJO YA KORONA IMELETWA

Kama kuchanja ni hiyari, na Mh. Rais ameamua kupigia debe chanjo, basi ni haki pia kwa wale ambao hawaungi mkono chanjo nao kupigia debe upande wao.

Sioni sababu ya wanaopinga chanjo kama Mh. Gwajima kutolewa kauli za vitisho na baadhi ya wana-CCM. Ndo maana ya hiyari hiyo. Hiyari ina pande mbili.

Sababu kuu haswa ya kuletwa chanjo nchini Tanzania ni kwa sababu Magufuli hayupo. Angekuwepo zisingekanyaga hapa. Kifo cha Magufuli kitatugharimu sana waTanzania.

Sababu ya pili ni ikumbukwe kwamba maudhui ya kuleta chanjo ilikuwa ni kuwasaidia mahujaji na waTanzania wengine wanaotaka kusafiri kwenda kwenye nchi ambazo zinahitaji chanjo. Lakini hata waSaudi wenyewe ni kwamba hawana imani na chanjo; na ndo maana wameamua kupiga marufuku mahujaji wa kutoka nje ya nchi yao.

Kwa mfano tuna chanjo ya homa ya manjano hapa Tanzania, lakini hakuna mtu anayehangaika nayo isipokuwa tu kama unataka kusafiri kwenda kwenye nchi ambayo wanataka uwe umechanjwa ndo wakupokee. Na hata hiyo chanjo yenyewe ya homa ya manjano kuchanja ni hiyari. Unaweza ukailipia tu na kupewa kadi kuwa umechanja ili usisumbuliwe huko uendako.

Sababu ya tatu ni ubeberu. Mh. Rais tuliona aliwapigia simu mabeberu wa EU siku ile akawaweka na loudspeaker. Kwa kuwa amejipendekeza mwenyewe kwenye anga zao ni lazima wampelekeshe wanavyotaka wao. Mabeberu siku zote hawapendi kuona fikra huru ya Mwafrika. Hawakufuruhishwa kabisaaaa na msimamo tofauti na ambao ulikuwa unaonesha matokeo chanya wa Magufuli. Matokeo chanya kwa maana ya kwamba waTanzania tumeishi kwa uhuru bila matatizo yoyote wakati wao mabeberu wakifungia ndani kama kuku.

Kwa wale wenye uzoefu naamini mtakubaliana nami kwamba Mzungu hata siku moja hayuko tayari kupokea wazo jipya na tofauti na anachojua yeye kutoka kwa ngozi nyeusi. Duniani huko watu wanatudharau ngozi nyeusi kwa kiasi kikubwa. Hilo sio tatizo. Tatizo ni pale sisi wa ngozi nyeusi tunapoanza kujidharau wenyewe. Hilo ni tatizo kubwa sana ambalo linawatafuna waAfrika wengi sana.

Leo hii mTanzania ukimwambia aachane na Ukristo au Uislam kwa kuwa sio falsafa za kiAfrika mtazozana sana.

Sasa kwa kujidharau huku leo hii tunaona serikali ikiwa imekamatwa akili na mabeberu, inaanza kufuata miongozo yao na kuagiza chanjo. Kwa hiyo sababu ya tatu ni hiyo ya ubeberu. Mabeberu walikuwa wanapambana kuhakikisha kuwa mwafrika anaendelea kuwa kwenye usingizi na kuwa kwenye himaya yao kifikra. Mwafrika kama Magufuli aliyezinduka dunia nzima kwa fikra tofauti alikuwa ni tishio kubwa kwa ubeberu.

Sasa kinachotia wasiwasi ni kauli kama ile ya kusema "Tutachanja 60%".

Ila tukirejea kwenye sababu ya pili, ni kwamba Mh. Rais ameonesha kwamba ni mpenzi wa safari za nje ya nchi. Kwa yeye kuchanja inawezekana kuwa ni lazima, maana hatujui atakwenda nchi gani safari zijazo.

Na Mh. Rais akishakuwa ni msafiri, viongozi wengine nao kama mawaziri, wakurugenzi, n.k. nao wataanza tu kusafiri.

Sasa kuyatambua mambo kama haya ndo msingi wa kujua ni tatizo gani haswa wanalojaribu kutatua kwa kupitia hizi chanjo. Sio unafuata mkumbo tu, wakati wewe maisha yako ni ya hapahapa Bongo.

Ingekuwa chanjo zimeletwa kwa ajili ya kupambana na "korona" basi zisingekuwa hiyari. Hatua zingine zinazoletwagwa kwa ajili ya kupambana na "korona" huwa si za hiyari (kama vile amri za kuvaa barakoa kwenye majengo na mabasi).

Mwisho kabisa nimalizie kwa kusema kuwa kama wewe ni Mwafrika unayeamini kwamba kichwa chako kina akili, na unaweza kufikiri, kwamba hauna haja ya kutegemea fikra za Mzungu, basi usimsahau huyu kiongozi wetu aliyetutoka. Uthubutu alioonesha na jinsi alivyokataa kabisa kushikwa akili na wazungu katika masuala fulani muhimu (madini na korona) ni jambo moja la muhimu sana katika ukombozi wa Mwafrika, ambayo bado ni safari ndefu sana. Kila kizazi kina jukumu la kusukuma gurudumu.

1627415975303.jpeg


Na kwa CHADEMA mliokuwa mnamlalamikia sijui mambo ya demokrasia naamini sasa hivi mmeshamuelewa kama kweli mna akili za kikubwa. Ni kwamba alikuwa anayajua matatizo yake ya moyo na kwamba alijua anakufa saa yoyote ndo maana alijitahidi sana kupeleka mambo kwa kasi atimize kabla hajafa.

Haya mambo ya kutaka kupigapiga siasa kila saa (zile Operesheni Operesheni mlizokuwa mnazipenda) hayana tija yoyote kwa mustakabali wa taifa. Naamini mnaendeshwa kwa falsafa za kiMarekani. Sasa Marekani hawajaendelea kwa sababu ya demokrasia, basi wameleta demokrasia baada ya kuendelea. Na kama mnavyoona demokrasia yao ni upuuzi mtupu, hakuna kinachofanyika kule wanazozana tu kila siku.
 
Hoja za Rais zinatokana na matokeo ya study na majaribio ya kitaalamu yaliyofanywa kuhusu chanjo husika!

Sasa wewe unataka Wahuni kama akina Gwajima nao waachwe waendelee kuwajaza watu ujinga kwa kuzingatia study zipi alizofanya?!

Huyo Gwajima amefanya study yoyote kuthibitisha madai yake?

Huyo Gwajima ana utalaamu wowote wa field husika kuthibitisha madai yake?

Huyo Gwajima ana maabara wapi aliyotumia kufanya uchunguzi wa hizo chanjo?!

Btw, unadai eti huoni sababu ya Gwajima kutolewa vitisho... umemsikia Gwajima kaongea nini hasa?!
 
Huu ndio ujinga ninaouzungumzia, kama huu utakaoifanya serikali itenge muda na rasilimali kujibu hoja za watu waliobeba vichwa kama mifuko ya kuhifadhia meno badala ya kufikiri.

Jibu hoja mbona.
Unaleta hadithi za nini?
 
Hoja za Rais zinatokana na matokeo ya study na majaribio ya kitaalamu yaliyofanywa kuhusu chanjo husika!!!

Sasa wewe unataka Wahuni kama akina Gwajima nao waachwe waendelee kuwalisha watu ujinga kwa kuzingatia study zipi alizofanya?...
Kwani Samia ana study yoyote kafanya au ana utaalamu wowote, vivyo hivyo sioni mantiki ya kumkataza Gwajima kuongea, wajibu tu hoja zake maana Samia yeye ni mtupu kabisa kichwani hata mtu anaweza kumsifia kinafiki akafikiria kweli anasifiwa.
 
Hayo majaribio yamefanyika Tanzania?

Kama ni ndiyo, hebu naomba ripoti yake.
Chanjo na dawa zote zinazotumuka Tanzania, majaribio yake yamefanyika Tanzania?!

Unaweza kunionesha ripoti ya chanjo za surua, ndui, polio na magonjwa mengine kama hayo ikiwa ni matokeo ya majaribio ya chanjo hizo kufanyika Tanzania?
 
Back
Top Bottom