#COVID19 Chanjo za Kupambana na Corona (COVID-19): Nini Maoni na Mtazamo wako?
Kwani Samia ana study yoyote kafanya au ana utaalamu wowote, vivyo hivyo sioni mantiki ya kumkataza Gwajima kuongea, wajibu tu hoja zake maana Samia yeye ni mtupu kabisa kichwani hata mtu anaweza kumsifia kinafiki akafikiria kweli anasifiwa.
Angali ulivyo na maswali ya ajabu...

Ina maana hufahamu kwamba Samia ni Rais wa nchi, na Rais wa nchi amezungukwa na watalaamu, na pia taasisi husika zipo chini yake?!

Samia kabla hajafikia conclusion alianza kwanza kuunda Kamati ya Watalaamu! Huyo Gwajima maelezo yake yanatokana na kamati ipi ya kitaaluma aliyounda, na hatimae kumshauri kuongea anayoongea?
 
Angali ulivyo na maswali ya ajabu...

Ina maana hufahamu kwamba Samia ni Rais wa nchi, na Rais wa nchi amezungukwa na watalaamu, na pia taasisi husika zipo chini yake?!

Samia kabla hajafikia conclusion alianza kwanza kuunda Kamati ya Watalaamu! Huyo Gwajima maelezo yake yanatokana na kamati ipi ya kitaaluma aliyounda, na hatimae kumshauri kuongea anayoongea?
Unaposema wataamu sijui unazungumzia wataamu gani hawa waliopo TBS,TFDA au Kwa mkemia mkuu au unazungumzia wataalamu gani?
 
Kwani Samia ana study yoyote kafanya au ana utaalamu wowote, vivyo hivyo sioni mantiki ya kumkataza Gwajima kuongea, wajibu tu hoja zake maana Samia yeye ni mtupu kabisa kichwani hata mtu anaweza kumsifia kinafiki akafikiria kweli anasifiwa.
Ona unavyouliza maswali yasiyo na mantiki....

Ina maana hufahamu kwamba Samia ni Rais wa nchi, na kwamba amezungukwa na watalaamu?!

Ina maana hufahamu kwamba taasisi zinazohusiana na mada husika zipo chin ya Samia?

Kabla hajafikia conclusion, Samia aliunda Kamati ya Wataalamu... what about Gwajima?
 
NI watalaamu gani waliwafanya mtumie chanjo za surua, polio, ndui na zinginezo?! Au hizo chanjo mlitengeneza wenyewe?
Hzo chanjo zote zilipita hatua mbalimbali kuanzia na majaribio mbalimbali mpk kufikia matumizi ambapo si chini ya miaka 5-10

Pia Chanjo zote zinakuwa kinga ya ugonjwa hii ya covid si kinga kwa maana unaweza kupata covid ,unaweza kuambukiza covid na unatakiwa kuchukua hatua zote ambazo wasio na chango wanazifata sasa kama unakili kazi ya hii chanjo ni nini kama sina tofauti na wale ambao hawana chanjo?
 
Chanjo na dawa zote zinazotumuka Tanzania, majaribio yake yamefanyika Tanzania?!

Unaweza kunionesha ripoti ya chanjo za surua, ndui, polio na magonjwa mengine kama hayo ikiwa ni matokeo ya majaribio ya chanjo hizo kufanyika Tanzania?

Hiyo ni hoja ya kusema kwamba kama zamani ilikuwa safi basi na leo itakuwa safi. Yaani ni hoja ya kuuza akili yako na kuweka imani 100% kwa mtu baki.

Ngoja nikufunue kichwa ili usiendelee kulala kwenye mambo ya zamani.

Chanjo ya Polio ndo inaleta Polio Afrika.

Haya sio maneno yangu bali ni maneno ya WHO wenyewe. Wameandika kwenye ukurasa wao hapa, aya ya sabab kutoka juu kuwa:

--- nukuu ----

Today, the fight continues against all forms of poliovirus. A rare vaccine-derived version of the poliovirus is affecting African countries with low immunization coverage, particularly among remote communities and those experiencing migration or conflict. Renewed efforts are underway to rid Africa of all remaining vaccine-derived polioviruses.

--- mwisho wa nukuu ---

Sasa unapoonza maneno kama hayo ni kwamba wamejaribu kudogosha ishu ili wale waliolala muendelee kulala.

Na pili unaijua historia haswa ya chanjo ya polio ilivyopatikana?

Unafahamu kuwa chanjo ya polio ndo ilitengeneza virusi vya HIV?

Hiyo historia ipo katika kitabu kinaitwa, "The River : A Journey Back to the Source of HIV and AIDS" (kiko Amazon)

Kwa ufupi ni kwamba polio sio ugonjwa Afrika. Ulikuwa ni ugonjwa wa wazungu (kama ilivyo korona). Katika kutafiti chanjo wakaenda kufanya experiments kwa nyani nchini Congo (enzi hizo ikiwa chini ya Ubelgji, pamoja na Rwanda-Urundi).

Utafiti huo ukapeleka kutengenezwa kwa kirusi cha HIV. Majaribio ya chanjo ya polio waliyafanya mwaka 1957 kwa wakongomani na wanyarwanda-urundi. Na kwa kule Marekani waliwafanyia watu wasiowapenda (mashoga) na watu ambao hawana ndugu wa kuwalilia (yatima 20 kwenye kituo kimoja cha kulelea yatima jijini NYC).

Mwaka 1959 kesi ya kwanza ya HIV ikaibuka Kinshasa. Huku Tanzania kama unakumbuka ugonjwa uliingilia Kagera kwa wahaya kutokana na ukaribu wao na Rwanda-Urundi.

Dr. Remmy anatokea eneo la Mashariki ya Kongo ambako ndo maabara ilikuwepo kwenye mji wa Kisangani (enzi hizo ukiitwa Stanleyville). Aliujua UKIMWI mapema sana kutokana na ndugu zake na watu kadhaa anaowajua kufariki huko Kongo. Ndo alikuwa mwanamuziki wa kwanza kuimba kuhusu UKIMWI kwenye wimbo wake wa "Mambo kwa soksi"

Ila alikuwa mbele ya wakati, maana huku Bongo UKIMWI ulikuwa bado haujashika chati. Wimbo wake huo ulifungiwa na BASATA kwamba ni matusi. (Soksi alikuwa anamaanisha ni kondomu. Sasa enzi hizo za Nyerere bado yuko hai, kuongelea kondomu ilikuwa ni ishu nyeti sana).

Na kwa Marekani kama unaijua historia ya UKIMWI kule ulipoingia ulikuwa unaitwa ugonjwa wa mashoga.

Kwa hiyo mdau kuna mengi sana nyuma ya pazia. Haya ni machache yanayojulikana. Mengi yanafichwa.

Ukiona kichwa kama Magufuli anakupa warning ujue kuna vitu ameshaviona.

Sasa ni uzembe sana wa akili kuwaza kwamba "Kama zamani tumefanya basi tuendelee kufanya"

Nyerere angekuwa na akili hiyo unadhani angedai Uhuru? Maana kama amezaliwa ameukuta ukoloni sasa anadai uhuru wa nini?
 
Alikataa kushikiwa akili na wazungu?

Hivi kale ka pacemaker aliwekewa na kina nani vile?
Kutumi bidhaa sio kushikwa akili mkuu.

Na kila jambo lina mwanzo. Yaani tunazaliwa kuna mambo tunayakuta, lakini sio kwamba yote tunayaacha au kuyaendeleza kama yalivyo.

Magu amewasha moto tu, sijasema kwamba alimaliza kila kitu.
 
Mkishaanza kuchanganya siasa na sayansi mnaharibu. Kama hizi chanjo siyo nzuri kwetu, toeni sababu za kisayansi na siyo za kisiasa za kwa nini watu wasichanjwe. Kama ni side effects za chanjo, kila dawa ina side effects. Kama chanjo hazifanyi kazi, leteni takwimu zake tuzisome.
 
Mkishaanza kuchanganya siasa na sayansi mnaharibu. Kama hizi chanjo siyo nzuri kwetu, toeni sababu za kisayansi na siyo za kisiasa za kwa nini watu wasichanjwe. Kama ni side effects za chanjo, kila dawa ina side effects. Kama chanjo hazifanyi kazi, leteni takwimu zake tuzisome.
What is an Emergency Use Authorization (EUA)?
An Emergency Use Authorization (EUA) is a mechanism to facilitate the availability and use of medical countermeasures, including vaccines, during public health emergencies, such as the current COVID-19 pandemic. Under an EUA, FDA may allow the use of unapproved medical products, or unapproved uses of approved medical products in an emergency to diagnose, treat, or prevent serious or life-threatening diseases or conditions when certain statutory criteria have been met, including that there are no adequate, approved, and available alternatives.

Unataka nini kingine?
 
Kutumi bidhaa sio kushikwa akili mkuu.

Na kila jambo lina mwanzo. Yaani tunazaliwa kuna mambo tunayakuta, lakini sio kwamba yote tunayaacha au kuyaendeleza kama yalivyo.

Magu amewasha moto tu, sijasema kwamba alimaliza kila kitu.
Hakuwaamini mabeberu lakini ka pacemaker kao kalikokuwa kanamsukumia damu alikaamini?

Tena ashukuru hao wazungu maana bila wao angeshapotea siku nyingi hata tusingemfahamu
 
Anasema wanalazimisha chanjo wakati serikali haijalazimisha mtu.
Anatisha watakaomjibu na kuwaita wajinga na kwamba atawasemesha mpaka watafute taulo ya kuvaa.
Anasema chanjo haijathibitishwa kama ni salama ( hizi habari kazitoa wapi)- uongo mtupu.
Anadai watakaozaliwa baadae watageuka - uongo mtupu.
watanzania 60m kuwa majaribio, hapa anakolezea chumvi.

Gwajima anadai walichochanjwa uingereza na USA. ni tofauti na tunachochanja sisi (ametunga na hana ushahidi wowote) - uongo mtupu

Anasema wazungu wangependa tufe wote huku kashika mic aliyotengeneza mzungu - amelaza ubongo.
Anabeza hatua za kuweka record wakati magonjwa mengi tu record zinwekwa
Hela wanazotoa wazungu ni mkopo siyo bure kama anavyodai yeye- amedanganya

Cha kusikitisha hajui kwanini mtu aliyechanjwa aendelee kuchukua tahadhari.
Anadanganya waumini kuwa chanjo ina kazi nyingine. (Haya maneno kamnukuu jamaa mmoja mitandaoni) chanzo ambacho si reliable source.anadanganya tena.

Tunajua lengo lake,, ni legacy ya jiwe.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom