kama unafikiri watapigwa kihalisi uko wrong side...
watapigwa kwa hiari yao, na hiyo ndiyo itakayo justify wao kuadhibiwa na Mungu. Mungu ni Mungu wa hiari, anakupa uchague uovu au utakatifu, umkane au usimkane. wakati huo utakuwa ni wa dhiki kuu ambayo bado haijaja, na mpinga kristo atakuwa ndio mtawala wa dunia hii atakayekuwa ana comand kile kitu na uchumi atashikilia yeye. maana ya dhiki kuu ni mateso ya aina hizo, ndio maana wanasema watu watatamani laiti kama wasingezaliwa kwasababu utakuwa wakati wa mateso. Yesu alisema ole wao wamama wajawazito, na akasema ombeni ili nyakati hizo zisiwe nyakazi za baridi (winter ile ya ulaya inayodondosha barafu, israel kuna winter pia), kwasababu zitakuwa ni nyakati ngumu mno.

kwa hiyo tuseme nyakati hizo ndio hizi tulizo nazo ambazo watu wana uhiari wa kutenda dhambu au wasitende, wamwabudu Mungu au wasimwabudu, waende church au la, wafanye lolote, na mpinga kristo hajaibuka (ila ameshazaliwa tayari anakua umri ukifika ndio ataanza kukinukisha, usiseme nimejuaje, jueni kuwa tayari ameshazaliwa, nusu mtu nusu jini)

ili kuikimbia 666, acheni dhambi ili Yesu akija awanyakue aende na ninyi hewani kwa miaka 7 ambayo hapa duniani mpinga kristo ndio atayatoa makucha yake yote na kufanya mateso hayo. baada ya miaka hiyo 7 Yesu m wenyewe ataashuka toka juu kuja kutawala dunia kwa miaka 1000, na atampiga mpinga kristo na mateso ndiyo yatakoma.

hapo ndipo atakapokusanya watu wote duniani na wale walokufa watafufuta, na sote tutaenda kwenye kiti cha hukumu, kila mtu atahukumiwa kulingana na matendo yake, wengine watapata uzima na kutawala ya Yesu milele, wengine watapata mateso milele na milele. kwa hiyo, wewe kama ni mtu wa Mungu wala usiogope dhiki kuu, haitakukuta, utakuwa umenyakuliwa, ila kama ni mtenda dhambi, utakimbia hadi unyasi kama mnavyokimbia vaccine ya corona.
 

16. Kwahiyo hii chanjo tunachoma kwenye mikono ya kulia au paji la uso??
17. Ni bora hata ungeongea bar code, maana bidhaa za supermarket ndio huwezi kuuza wala kununua bila kuwa na bar code!

18. Afadhali ungeniambia namba za simu ndio mnyama mwenyewe ningekuelewa maana kila mtu ana namba zake za simu [emoji2377]
 
ukisikia neno "mnyama kutoka nchi kavu- mpinga kristo" jua kuwa ni binadamu ambaye hatakuwa wa kawaida kwasababu atakuwa na nguvu sana. atafanya miujiza sana, na ndiye atakuwa mtawala wa dunia hii. maandalizi yake mengine ni new world order aina ya dini ambayo wamarekani wengi wanayo na dini hiyo inaruhusu everything na kuvumiliana, mashoga wanaruhusiwa, free mason wanaruhusiwa, yaani ni order mpya ya naman ya kuishi hapa duniani.

ni binadamu atakayetawala dunia nzima na pia atakuwa karibu sana na taifa ya israel (mnyama wa baharini).
 
🤣 😎🙁
 
Mheshimiwa Mshana Jr, bado hujachanjwa?
 
🤣 😎🙁
Usicheke Kiongozi, mambo mengine ni kutafuta kukomoana tu!!! Sitasahau siku nadaiwa mkataba wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo wakati hata mikataba ya ujenzi wa vyumba vya choo hatujawahi kuoneshwa 🤣 !!
 
Kwani watu wamelazimishwa chanjo?

Wewe toka umezaliwa umepata chanjo ngapi mpaka leo?

Ngoja ujione unavyoruka hilo swali.
 
Kwani watu wamelazimishwa chanjo?

Wewe toka umezaliwa umepata chanjo ngapi mpaka leo?

Ngoja ujione unavyoruka hilo swali.
 
"Mimi ni Mama wa Watoto 4, Bibi wa wajukuu, mke lakini pia Rais na Amir Jeshi Mkuu nisingejitoa mwenyewe kujipeleka kwenye kifo nikijua nina majukumu yote haya, hii chanjo ni ya wataalamu na wataalamu wetu wamejiridhisha, NIKO TAYARI Kuchanjwa" Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
 
mshana, kuchanjwa tunatakiwa kuchanjwa tu kwa hiari, ila uhakika hatuwezii kuwa nao kwasababu sio sisi tulioitengeneza. tunaamini kilichosemwa na third party na kuomba tu Mungu, ndio maana hata wao wanasema usaini kuonyesha kwamba ukipata athari serikali haitawajibika, na ni hiari.
 
Chanjeni haraka,mkichelewa mtachomwa sindano kwenye mbususu au kwenye dushe kwa lazima.
 
Wagalatia mnaakili za kipuuzi sana
 
Kama kuna kipindi niliwadharau wasomi wetu jumla, ni kipindi cha Magufuli. Cha ajabu msomi kama huyu ukimwambia adai katiba mpya Ili haya ya kudhalilisha taaluma yasitokee tena atasema tuache chokochoko!
Angalau alichokisema kipindi hicho kilikuwa cha kitaaluma kuliko hiki cha sasa!
 
Biblia imesema namba hiyo watu watapigwa kwenye paji la uso, na mpinga kristo anaoperate openly na kufanya miujiza yake openly, sio kwa kificho. msikimbie kivuli.
hivi akitokea mchungaji na kuipinga hii chanjo halafu akasema yeye ana upako wa kuwatibu(kinga) watu na watu kweli wakapona,kwa mazingira haya si inawezekana kabisa akatumika na huyo mpinga kristo?
 
hivi akitokea mchungaji na kuipinga hii chanjo halafu akasema yeye ana upako wa kuwatibu(kinga) watu na watu kweli wakapona,kwa mazingira haya si inawezekana kabisa akatumika na huyo mpinga kristo?
nadhani, kuna mchungaji kuongea mambo ya kimungu, na mchungaji kuongea mambo ya akili yake ya kawaida, na sio kosa kufanya yote hayo mawili kama kuna sababu ya msingi hasa kwa hiyo later.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…