#COVID19 Chanjo za Kupambana na Corona (COVID-19): Nini Maoni na Mtazamo wako?

Je, COVID-19 ni nini?
COVID-19 ni maambukizi yanayosababishwa na virusi vya Corona, virusi hivi ni sawa sawa na vile vinavyosababisha mafua ya kawaida tofauti na mafua, virusi vya corona vinaweza kuambukiza mwingine kabla hata ya huyo mtu hajaanza kuonesha dalili. Tofauti ni kwamba, watu wenye matatizo mengine ya kiafya kama matatizo ya mapafu au ugonjwa wa kisukari, wamo katika hatari kubwa ya kuhisi kuhisi matatizo makali ya mapafu...
Hawa waliochanjwa mbona naona wanasisitizwa bado kuvaa barakoa??
 
Mpumbavu haelimishiki.

Ungekuwa mjinga sawa, ningekuelimisha.
Pale kubwa la Majuha linapojifanya kuwa na uwezo wa kuelimisha wakati limeshindwa kufanya hivyo, kwa sababu linachoweza 👇 👇 👇 👇 👇 👇

Legacy.png
 
Habari!

Mimi ni mvivu wa kuandika, ningeifafanua vizuri alama hii ya Mpinga Kristo yaani 666 kama ilivyonenwa katika kitabu cha Ufunuo 13:27-18 kama ningetumia mdomo kuliko mkono(maandishi) ila nitaeleza kwa ufupi ili watu waelewe.

Neno la Mungu ni Mungu mwenyewe ndio maana linaweza kuona miaka maelfu na maelfu mbele. Alama ya Mpinga Kristo itatolewa kwa hiari kabisa ulimwenguni lakini masharti ya maisha baada ya kupigwa alama ndio yatasababisha watu waitafute wenyewe ili wapate nafuu.

Hatua muhimu kabla ya kuanza kutumika 666 duniani ni hizi hapa chini.
1. Unyakuo wa watakatifu
Baada ya unyakuo dunia itapitia great depression (kuanguka kiuchumi) miaka 3.5. uchumi wa ulimwenguni utakuwa mbaya mbaya zaidi kuliko vipindi vyote vilivyopita.

Ile great depression baada ya vita kuu ya 1 au 2 ya dunia ni ndogo sana ukilinganisha hiyo itakayotokea miaka 3.5 baada ya unyakuo.

2. Kuundwa baraza kuu la uchumi duniani litakalotoa mapendekezo ya lazima ili kuunusuru uchumi wa ulimwenguni. Mapendekezo hayo ni pamoja na;
*Dunia iwe na sarafu moja
*Kuwepo kwa siku moja tu ya ibada ulimwenguni pamoja na imani moja( dini moja).
*Dola moja (mtawala mmoja) Hiyo nchi itakuwa imepokea nguvu kutoka kwa huyo Mpinga Kristo hivyo viongozi wote ulimwenguni wataendelea kutawala kwa amri na msaada wake isipokuwa nchi moja tu ambayo baadaye watapigwa na majeshi ya ulimwenguni yote kwa mpigo au kwetu tunaita yatapigwa kwa mkumi. Watauawa kinyama na kubaki watu 144000 tu. N.k

Lengo langu ni kutaka kuwaambia kuwa 666 itafanya kazi mara baada ya unyakuo yaani kipindi cha Neema kuisha na kuja kipindi cha wokovu wa damu ya mwanadamu mwenyewe.

Hii chanjo ya UVIKO 19 haina uhusiano na chapa ya Mpinga Kristo na sababu kuu ya kupinga kwangu kwamba Unyakuo(Rapture) bado haujatokea.

666 Itafanya kazi hasa baada ya uchumi wa ulimwengu kutengamaa ambapo dunia yote itafikia uchumi wa juu. Kipindi hichi kitadumu kwa miaka 3.5 tu.
 
Habari!
Mimi ni mvivu wa kuandika, ningeifafanua vizuri alama hii ya Mpinga Kristo yaani 666 kama ilivyonenwa katika kitabu cha Ufunuo 13:27-18 kama ningetumia mdomo kuliko mkono(maandishi) ila nitaeleza kwa ufupi ili watu waelewe.
Neno la Mungu ni Mungu mwenyewe ndio maana linaweza kuona miaka maelfu na maelfu mbele.
Alama ya Mpinga Kristo itatolewa kwa hiari kabisa ulimwenguni lakini masharti ya maisha baada ya kupigwa alama ndio yatasababisha watu waitafute wenyewe ili wapate nafuu.
Hatua muhimu kabla ya kutumika 666.
1. Unyakuo wa watakatifu
Baada ya unyakuo dunia itapitia great depression (kuanguka kiuchumi) miaka 3.5. uchumi wa ulimwenguni utakuwa mbaya mbaya zaidi kuliko vipindi vyote vilivyopita.
Ile great depression baada ya ww1& ww2 ni chamtoto.
2. Kuundwa baraza kuu la uchumi duniani litakalotoa mapendekezo ya lazima ili kuunusuru uchumi wa ulimwenguni. Mapendekezo hayo ni pamoja na;
*Dunia iwe na sarafu moja
*Kuwepo kwa siku moja tu ya ibada ulimwenguni pamoja na imani moja( dini moja).
*Dola moja (mtawala mmoja)
N.k
Lengo langu ni kutaka kuwaambia kuwa 666 itafanya kazi mara baada ya unyakuo yaani kipindi cha Neema kuisha na kuja kipindi cha wokovu wa damu ya mwanadamu mwenyewe.
Hii chanjo ya UVIKO 19 haina uhusiano na chapa ya Mpinga Kristo na sababu kuu ya kupinga kwangu kwamba Unyakuo(Rapture) bado haujatokea.
correct
 
Pale kubwa la Majuha linapojifanya kuwa na uwezo wa kuelimisha wakati limeshindwa kufanya hivyo, kwa sababu linachoweza 👇 👇 👇 👇 👇 👇

View attachment 1873048

Pumbavu linaposhindwa kujielewa na kubaki kuimba ngonjera za mabeberu.

Haya kwa mabwana zako huko Marekani kimeshaumana likorona limeanza kuwaandama tena.


1627576311784.jpeg


Halafu huyo anayekukondesha unayehangaika kupambana na urithi wake umeona kesho Bombardier nyingine inakuja?

Hahahahaaa
 
Pumbavu linaposhindwa kujielewa na kubaki kuimba ngonjera za mabeberu.

Haya kwa mabwana zako huko Marekani kimeshaumana likorona limeanza kuwaandama tena.
Acha matusi dadangu....

Kama una stress za kuletewa nyumba ndogo, unachotakiwa kufanya ni kumshitaki mumeo kwa mshenga wake, na ukishindwa, fikisha malalamiko kwa wazazi, or else, keep doing what you love most 👇 👇 👇 👇 👇
Legacy.png
 
Tukimalizana na hili la chanjo na Mheshimiwa Mbowe na Katiba tutarudi kwa yule zezeta spika wa bunge, hatuwezi kuwa na spika wa bunge mjinga na mpumbavu, asifikiri kumkaushia kwamba tumemsahau, bado tunakumbuka ushuzi wake
 
Habari!
Mimi ni mvivu wa kuandika, ningeifafanua vizuri alama hii ya Mpinga Kristo yaani 666 kama ilivyonenwa katika kitabu cha Ufunuo 13:27-18 kama ningetumia mdomo kuliko mkono(maandishi) ila nitaeleza kwa ufupi ili watu waelewe.
Neno la Mungu ni Mungu mwenyewe ndio maana linaweza kuona miaka maelfu na maelfu mbele.
Alama ya Mpinga Kristo itatolewa kwa hiari kabisa ulimwenguni lakini masharti ya maisha baada ya kupigwa alama ndio yatasababisha watu waitafute wenyewe ili wapate nafuu.
Hatua muhimu kabla ya kuanza kutumika 666 duniani ni hizi hapa chini.
1. Unyakuo wa watakatifu
Baada ya unyakuo dunia itapitia great depression (kuanguka kiuchumi) miaka 3.5. uchumi wa ulimwenguni utakuwa mbaya mbaya zaidi kuliko vipindi vyote vilivyopita.
Ile great depression baada ya vita kuu ya 1 au 2 ya dunia ni ndogo sana ukilinganisha hiyo itakayotokea miaka 3.5 baada ya unyakuo.
2. Kuundwa baraza kuu la uchumi duniani litakalotoa mapendekezo ya lazima ili kuunusuru uchumi wa ulimwenguni. Mapendekezo hayo ni pamoja na;
*Dunia iwe na sarafu moja
*Kuwepo kwa siku moja tu ya ibada ulimwenguni pamoja na imani moja( dini moja).
*Dola moja (mtawala mmoja) Hiyo nchi itakuwa imepokea nguvu kutoka kwa huyo Mpinga Kristo hivyo viongozi wote ulimwenguni wataendelea kutawala kwa amri na msaada wake isipokuwa nchi moja tu ambayo baadaye watapigwa na majeshi ya ulimwenguni yote kwa mpigo au kwetu tunaita yatapigwa kwa mkumi. Watauawa kinyama na kubaki watu 144000 tu.
N.k
Lengo langu ni kutaka kuwaambia kuwa 666 itafanya kazi mara baada ya unyakuo yaani kipindi cha Neema kuisha na kuja kipindi cha wokovu wa damu ya mwanadamu mwenyewe.
Hii chanjo ya UVIKO 19 haina uhusiano na chapa ya Mpinga Kristo na sababu kuu ya kupinga kwangu kwamba Unyakuo(Rapture) bado haujatokea.
666 Itafanya kazi hasa baada ya uchumi wa ulimwengu kutengamaa ambapo dunia yote itafikia uchumi wa juu. Kipindi hichi kitadumu kwa miaka 3.5 tu.
WOTE HUU NI UPOTOSHAJI! HAYA NI MANENO YA WANADAMU WALA SIO YA MUNGU. NITARUDI TUMALIZANE HAPA!
 
Anayelinganisha Chanjo ya covid-19 na mpinga Kristo ni mchanga sana KirohoHayajui maandiko na anasoma biblia kama noval na si kwa msaada wa "Roho Mtakatifu"

Atakuja kujua mwenye baadaye kidogo kwamba alijipotosha na kuposha watu.
 
Back
Top Bottom